Wastara: Huyu Jamaa Nampenda Mfano Hakuna, Anafanana Vingi na Sajuki
Wastara na Mlela
Mama na mwana mama na baba nimeipenda kama ilivyo ila kiukweli huyu jamaa nampenda mfano hakuna, mpole muelewa hana makuu anao ubinadaamu hana ugomvi na mtu, mpole ajui kufoka wala kugombana akikasirika dk 2 tu anarudi kuwa normal. Sichoki kufanya nae kazi namchukulia ni mdogo wangu wa tumbo moja namfananisha vitu vingi na Sajuki si mwingine ni Yusuph Mlela au Mlelandro.
Hayo ni maneno ya mwigizaji Wastara Juma kwenye moja ya post zake kwenye mtandao picha wa instagram...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies02 Aug
Wastara: Yusuph Mlela Anafanana Vitu Vingi na Sajuki
Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amefunguka na kumwagia sifa muigizaji mwenzake, Yusuph Mlela kuwa ni mtu ambaye anafanana vitu vingi na aliyekuwa mume wake, marehemu Sajuki na kusisitiza kuwa huwa hachoki kufanya naye kazi.
Kupitia ukurasa wakekwenye mtandao wa instagram, Wastara aliweka picah hiyo hapo juu na kuandika;
“Mama na mwana mama na baba nimeipenda kma ilivyo ila kiukweli huyu jamaa nampenda mfano hakuna mpole muelewa hana makuu anao ubinadaamu hana ugomvi na mtu mpole ajui...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Wastara amkumbuka Sajuki
MSANII nyota wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema anakutana na changamoto nyingi katika kuandaa filamu zake tangu alipofiwa na mume wake mpendwa, Sajuki Juma aliyekuwa msaada mkubwa kwake. Sajuki alifariki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k3CULkKWsLZ-J92LkRC3s90TMJxTat4OYN5N-ichXufJPJp7-FGr94rmTrxaQMOIsxd*ZTUQbgJzlf8bPCGjAr0ToFSXHauh/wastara.jpg?width=650)
WASTARA KUMUANIKA MRITHI WA SAJUKI
10 years ago
GPLWASTARA ASOMA DUA KUMUENZI SAJUKI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uqLqBDFuIfAEj-7GQXDWs9G0afEEkSYHGxvJhNL6o8TZHLGD5yU*EY8QRRiXo-pojRyMm4s0XkLsNfOvQaAq-pQ1OY5MhwDf/WASTARA.jpg?width=650)
WASTARA: PENZI TAMU NILILIPATA KWA SAJUKI TU!
10 years ago
Bongo529 Dec
Wastara: Sajuki aliondoka na nusu ya akili yangu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox5JsEM9JmnVmV2Qs43oCK0hbRvy7iFuW*f7A-q7dQkGfBUZBSyKA1S*BDOv15QKhaReSoi7a92nECO7Ii1Omm-W/sajuki.jpg?width=650)
KUMBUKUMBU YA SAJUKI... BONGO MOVIE WAMFANYIA MBAYA WASTARA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*NkXh1cvm97VDUcsNXb0dmDjuUEbjR0zbvbyax6IWATp0OqV4*RUkAPQ3UvjvoMPXeVrWnaxTm-bzwRCdSKJnBGY/wastara.jpg?width=650)
WASTARA ALIA MASTAA KUSUSIA KISOMO CHA SAJUKI
10 years ago
Bongo Movies30 Dec
Wastara:Sura ya Sajuki Haijanitoka,Nikifikilia Machozi Yananitoka
Mwigizaji wa filamu, Wastara Juma leo hii aliweka picha hio hapo juu akiwa na marehemu mume wake (Sajuki) na kuandika maneno haya.
“Mbali nami mpenzi umekwenda moyo wangu jeraha umeweka,sura yako haijanitoka nikifikilia machozi yanitoka,baby wangu rudi”.
Wastara aliendelea kusema.
"Ijumaa ya 02.01.2015 kutakuwa na kudhuru kaburi la marehemu mume wangu Juma Kilowoko (sajuki) kwenye hapo kutakuwa na kisomo na chakula cha mchana kipenzi changu,kipenzi chenu,kipenzi cha watanzania wapenda...