Wastara:Sura ya Sajuki Haijanitoka,Nikifikilia Machozi Yananitoka
Mwigizaji wa filamu, Wastara Juma leo hii aliweka picha hio hapo juu akiwa na marehemu mume wake (Sajuki) na kuandika maneno haya.
“Mbali nami mpenzi umekwenda moyo wangu jeraha umeweka,sura yako haijanitoka nikifikilia machozi yanitoka,baby wangu rudi”.
Wastara aliendelea kusema.
"Ijumaa ya 02.01.2015 kutakuwa na kudhuru kaburi la marehemu mume wangu Juma Kilowoko (sajuki) kwenye hapo kutakuwa na kisomo na chakula cha mchana kipenzi changu,kipenzi chenu,kipenzi cha watanzania wapenda...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Wastara amkumbuka Sajuki
MSANII nyota wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema anakutana na changamoto nyingi katika kuandaa filamu zake tangu alipofiwa na mume wake mpendwa, Sajuki Juma aliyekuwa msaada mkubwa kwake. Sajuki alifariki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k3CULkKWsLZ-J92LkRC3s90TMJxTat4OYN5N-ichXufJPJp7-FGr94rmTrxaQMOIsxd*ZTUQbgJzlf8bPCGjAr0ToFSXHauh/wastara.jpg?width=650)
WASTARA KUMUANIKA MRITHI WA SAJUKI
10 years ago
GPLWASTARA ASOMA DUA KUMUENZI SAJUKI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uqLqBDFuIfAEj-7GQXDWs9G0afEEkSYHGxvJhNL6o8TZHLGD5yU*EY8QRRiXo-pojRyMm4s0XkLsNfOvQaAq-pQ1OY5MhwDf/WASTARA.jpg?width=650)
WASTARA: PENZI TAMU NILILIPATA KWA SAJUKI TU!
10 years ago
Bongo529 Dec
Wastara: Sajuki aliondoka na nusu ya akili yangu
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
Wastara:Marehemu Sajuki Alisema Atatakufa Mwaka Mpya
"Hii siku ya tal 31 mpka tal 2 January ni siku mbaya sana kwangu unifanya nilie kuliko siku zote uumwa sababu ya mawazo niliambiwa neno ambalo sikuwa tayari kulipokea, marehemu sajuki alisema.nitakufa huku watu bado wanasheherekea mwaka mpya nami nitakufa mwaka mpya alianza kuhesabu saa yake kufa tal 31 na kweli ilipofika tal 1 aliniomba nimtoroshe hosptal nimpelke beach akashike maji ya bahari kwa ya mwisho, ni rahisi sana wew kusoma haya maneno lakini ni maneno mazito na yenye kuchoma moyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*NkXh1cvm97VDUcsNXb0dmDjuUEbjR0zbvbyax6IWATp0OqV4*RUkAPQ3UvjvoMPXeVrWnaxTm-bzwRCdSKJnBGY/wastara.jpg?width=650)
WASTARA ALIA MASTAA KUSUSIA KISOMO CHA SAJUKI
10 years ago
Bongo Movies06 Jan
Wastara Azungumzia Mastaa Kususia Kisomo Cha Sajuki
Mwigizaji wa filamu Bongo, Wastara Juma amelizungumzia swala la mastaa wengi wa filamu kuto udhuria kisomo cha marehemu mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’.
Mwishoni mwa wiki iliyopita Wastara aliandaa kisomo cha kumuenzi marehemu Sajuki ambapo dua ilianzia kwenye makaburi ya Kisutu alipozikwa na kumalizika nyumbani kwake maeneo ya Tabata Barakuda jijini Dar. Tukio ambalo lilihudhuriwa na mastaa wachache kutoka kwenye tasnia ya filamu ambapo yeye Wastara hadi sasa yupo na hata marehemu mmewe...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox5JsEM9JmnVmV2Qs43oCK0hbRvy7iFuW*f7A-q7dQkGfBUZBSyKA1S*BDOv15QKhaReSoi7a92nECO7Ii1Omm-W/sajuki.jpg?width=650)
KUMBUKUMBU YA SAJUKI... BONGO MOVIE WAMFANYIA MBAYA WASTARA