Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUMBE UJAUZITO WA AUNTY EZEKIEL NI WA HUYU JAMAA!


Kwa siku za nyuma uliwahi kusikia kwamba Msanii wa bongo movie Aunty Ezekiel aliwahi kulala na Mose Iyobo ambaye ni dancer wa Diamond Platnumz sasa kwa taarifa zilizopo ni kwamba ndiye mmiliki wa mimba ya Aunty Ezekiel, Mose Iyobo.Kupitia instagrm ya Mose Iyobo alipost picha hii hapa chini na kuandika hivi;‘Lazima tujifunze kutofautisha kati ya kitambi na mimba lakini hapa kuna utata…..mimi ni mmoja kati ya wasio elewa hiki ni nini….au wewe ulikuwa unaonaje hiki ni kitambi au mimba….. na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Huyu Hapa ‘Cookie’ Mtoto wa Aunty Ezekiel na Mose Iyobo

Staa wa Bongo movies, Aunty Ezekiel ame ‘share’ nasi  picha hii kwenye ukurasa wake mtandaoni akiwa na mzazi mwenzie, Mose Iyobo pamoja na mtoto wao waliompa jina la COOKIE

"La Family @cookie_la_princessa at hosp Sio kwa Ubusy huo looh! Watu na Cookie zao"-Aunty ameabika mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu.

Mzee wa Ubuyu

 

10 years ago

Dewji Blog

Cassim Mganga, Aunty Ezekiel watembelea mjengo mweupe, Aunty asaini kitabu ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Washington, Dc

IMG_5858

Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.

 Aunty Ezekiel akipata picha ndani ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania Washington, DC  Aunty akipata picha nje ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.  Aunty na Cassim Mganga wakipata menu ndani ya jiji la Washington, DC.  Cassim Mganga akipata picha nje ya mjengo mweupe wa Obama

Aunty Ezekiel akipata picha nje ya mjengo wa Obama.

IMG_5896

Shabiki akipata picha...

 

10 years ago

Michuzi

CASSIM MGANGA, AUNTY EZEKIEL WATEMBELEA MJENGO MWEUPE, AUNTY ATIA SAINII KITABU UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI, WASHINGTON, DC



 Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014. Aunty Ezekiel akipata picha ndani ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania Washington, DC Aunty akipata picha nje ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani. Aunty na Cassim Mganga wakipata menu ndani ya jiji la Washington, DC Shabiki akipata picha na wasanii Aunty na Cassim Mganga  Shabiki akipata picha na wasanii Aunty na Cassim Mganga

 

10 years ago

Vijimambo

SOMO LA KONDOM JAMAA KA FALL KABISA HATIMAYE DIAMOND AMPA UJAUZITO ZARI

USHAHIDI WA UJAUZITO HUOUsiku wa jana, Dimaond aliweka ujumbe unaosema “I can not wait to have you on my hands #Chibu_Junior” akimaanisha “siwezi kusubiri kukuweka kwenye mikono yangu #Chibu_Junior” huku akiambatanisha na picha ya Ultrasound aliyoupiga na Zari (Kama hujui Ultrasound ni nini Tafadhali google) na baadaye Zari naye akapost picha yake akichukuliwa vipimo hivyo bila kuandika kitu chochote na kuwaacha wananchi wakimwagika na comment za kutosha kuhusu picha hizo ambazo fika...

 

10 years ago

CloudsFM

AUNTY EZEKIEL MJAMZITO?

Habari zimeenea kuwa staa wa filamu za Kibongo,Aunty Ezekiel kuwa ni mjamzito,kupitia mtandao wa Instagram baadhi ya mashabiki wake wamekuwa wakimuuliza kuwa kama ni mjamzito kutokana na muonekano wa tumbo lake kwa sasa kuwa ni kubwa kama linavyoonekana kwenye picha wakati akimlisha keki msanii mwenzake JB wakati wa sherehe ya kuadhimisha miaka kadhaa ya kuzaliwa.Baadhi ya maswali yalikuwa hivi: mamibeuty wow mum kijacho look gud my dia congrlnt@auntyezekiel jweekendy_girl Mbona km mama...

 

10 years ago

Mwananchi

Aunty Ezekiel afunguka

Mwigizaji wa filamu nchini, Aunty Ezekiel amekanusha uvumi ulioenea kuwa alikwenda nchini Marekani akifuatana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu .

 

9 years ago

Bongo Movies

Aunty Ezekiel Hataki Kufuatiliwa

STAA wa Bongo Movie ambaye kwa sasa ni mama wa mtoto mmoja Aunty Ezekiel amesema huwa anakerwa na watu ambao wanapenda kufuatilia mahusiano yake na baba mtoto wake Moses Iyobo, dansa wa Diamond Platinumz.

Aunty Ezekiel alisema, kuna baadhi ya watu wanapenda kumfuatilia mahusiano yake na kudai yeye amemzidi umri dansa huyo kitu ambacho hapendezwi nacho.

Alisema huwa anawashangaa sana baadhi ya watu ambao wanashidwa kufanya mambo yao na kumjadili maisha yake.

 “Jamani mimi sipendi maneno ya...

 

9 years ago

Bongo5

Rita Ora ana ‘bwana’ mpya, ni huyu jamaa (Picha)

Kuna couple mpya nchini Marekani. Imebainika kuwa Rita Ora na mpiga drums maarufu, Travis Barker wana uhusiano wa kimapenzi. Wawili hao walikutana kwa mara ya kwanza kwenye mechi ya kikapu ya mastaa iliyoandaliwa Power 106 wiki chache zilizopita huko Los Angeles. “Me and the beautiful @ritaora at @power_106 #Power106AllStars,” Barker aliandika kwenye picha aliyoweka Instagram […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani