KUMBUKUMBU
![](http://1.bp.blogspot.com/-JAEJaR4fQjs/UvId6tQp-1I/AAAAAAAFK_s/aLTWMU3vP3c/s72-c/New+Picture.png)
OMWANA THERESIA NYAMICHWO RUTAGERUKA
TAREHE 6 – FEBRUARI 2014, UMETIMIZA MIAKA 20 TANGU MWENYEZI MUNGU ALIPOKUTWAA TOKA HAPA DUNIANI. PAMOJA NA KWAMBA KIMWILI HAUPO NASI, KIROHO TUNAKUKUMBUKA DAIMA.
TUNAADHIMISHA KUMBUKUMBU HII TUKIENDELEA KUMUOMBA MWENYEZI MUNGU AWAKUTANISHE KWENYE RAHA YA MILELE NA MUME WAKO MPENDWA MWALIMU NOVATI RUTAGERUKA AMBAYE SIKU ZOTE ALIKUKUMBUKA KATIKA SALA ZAKE KABLA NAYE HAJATWALIWA NA BWANA TAREHE 5 MEI 2010.
MNAKUMBUKWA DAIMA NA WATOTO WENU FROLIDA,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Jul
Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU. Jamaa ana kumbukumbu sana.
![](https://scontent-lga1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/s480x480/10401981_10206449526990889_6289542229888818994_n.jpg?oh=81839c90cb8deef7131498511492f2b8&oe=565CB2A8)
Afikirie "uchafu" wote waliosema Lowassa anao, bado aonekane "msafi kuwakilisha chama kuliko yeye"Ni hapo unapotamani uwe na SELECTIVE AMNESIASijui kuna sauti ngapi kichwani mwake sasa?Na sijui kama kuna inayomuasa kufanya "maamuzi magumu"?:
SOURCE.:.MUBELWA BANDIO