Hitma ya kuwaombea dua Waumini waliotangulia mbele ya haki Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-UVZGA7nK5Zs/VoaiXatgcJI/AAAAAAAIPyQ/hnwa1omfy0s/s72-c/4e7a1ac7-83b0-4682-9b95-b78473aead78.jpg)
Rais Mstaafu wa Zanzibar Awamu ya Tano Dr. Salmin Amour kati kati akibadilishana mawazo na Makamu wa Rais Mstaafu wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal (kushoto) na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi nyumbani kwake Kidombo mara baaya ya chakula cha mchana.Hafla hiyo inayojumuisha mamia ya waumini wa Dini ya Kiislamu kutoka pembe zote za Unguja huambatana pia na Maulidi ya Kuzaliwa kwa Kiongozi wa Dini ya Kiislamu Duniani Mtume Muhammad { SAW } wakati wa usiku ukiwa ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
PFF yazibeba familia za waliotangulia mbele za haki
MFUKO wa Pensheni wa PPF, umetumia zaidi ya sh milioni 770 kugharamia masomo ya watoto 1,100 wa wanachama wa mfuko huo waliyofariki wakiwa kazini. Aidha, mapato ya uwekezaji ya mfuko...
10 years ago
Michuzi19 Jan
10 years ago
VijimamboHITMA YA KUMBUKUMBU YA KUWAOMBEA WANACUF WALIOFARIKI 2001
9 years ago
Michuzi13 Dec
KUELEKEA MIAKA 37 YA MLIMANI PARK ORCHESTRA: LIST YA WANAMUZIKI WA SIKINDE WALIOTANGULIA MBELE YA HAKI…
LISTI YA WANAMUZIKI WA SIKINDE WALIOTANGULIA MBELE YA HAKI…
1. Abdallah Dogodogo2. Abel Baltazar3. Adam Bakari4. Ally Makunguru5. Charles John “Ngosha” (2011)6. Chipembele Said “Bob Chipe”7. Fadhili Uvuruge “Santimaa”8. Gaspar Kanuti9. George Kessy10. Gervas Herman11. Hamisi Juma “Maalim Kinyasi”12. Haruna Lwali13. John Malyanga14. Joseph Mulenga “King Spoiler”15. Juma Banduki16. Juma Hassan Town (1997)17. Kassim Mponda...
9 years ago
StarTV29 Dec
Waumini wa Kiislamu Singida wafanya dua maalum kumuombea Magufuli.
Waumini wa dini ya Kiislamu mkoani Singida wamefanya dua maalum ya kumuombea Rais John Pombe Magufuli ili Mungu ampe afya njema, nguvu na ujasiri wa kuendelea kupambana na wezi wa mali za umma, ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka pamoja na vitendo vya ufisadi nchini.
Lengo ni kuhakikisha kuwa Rais Magufuli anajenga uaminifu na uadilifu miongoni mwa watumishi wa umma kwa kutumia kauli mbiu yake ya kutumbua majipu ili kurejesha imani zaidi kwa wananchi.
Katika Msikiti wa Mhajirina uliopo...
9 years ago
GPLMKE WA RAIS WA ZANZIBAR AENDELEA NA ZIARA YAKE KUWAOMBEA KURA WAGOMBEA WA CCM ZANZIBAR
9 years ago
VijimamboMKE WA RAIS WA ZANZIBAR MAMA MWANAMWEMA SHEIN, AENDELEA NA ZIARA YAKE KUWAOMBEA KURA WAGOMBEA WA CCM ZANZIBAR.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC1422AAA-768x413.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME ILIOFANYIKA VIWANJA VYA AFISI KUU YA CCM ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s640/DSC1422AAA-768x413.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC1428AAAA-1024x609.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-h1J9axrKcFk/U0K1APhmxcI/AAAAAAAFZM0/Apd4yl4blF4/s72-c/IMG_9895.jpg)
HITMA YA MAREHEMU MZEE KARUME YASOMWA LEO ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-h1J9axrKcFk/U0K1APhmxcI/AAAAAAAFZM0/Apd4yl4blF4/s1600/IMG_9895.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--nKN_-Jgag0/U0K1AAsB7VI/AAAAAAAFZM8/gdz5u_Jz_-0/s1600/IMG_9912.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10