PFF yazibeba familia za waliotangulia mbele za haki
MFUKO wa Pensheni wa PPF, umetumia zaidi ya sh milioni 770 kugharamia masomo ya watoto 1,100 wa wanachama wa mfuko huo waliyofariki wakiwa kazini. Aidha, mapato ya uwekezaji ya mfuko...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UVZGA7nK5Zs/VoaiXatgcJI/AAAAAAAIPyQ/hnwa1omfy0s/s72-c/4e7a1ac7-83b0-4682-9b95-b78473aead78.jpg)
Hitma ya kuwaombea dua Waumini waliotangulia mbele ya haki Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-UVZGA7nK5Zs/VoaiXatgcJI/AAAAAAAIPyQ/hnwa1omfy0s/s640/4e7a1ac7-83b0-4682-9b95-b78473aead78.jpg)
10 years ago
Michuzi19 Jan
9 years ago
Michuzi13 Dec
KUELEKEA MIAKA 37 YA MLIMANI PARK ORCHESTRA: LIST YA WANAMUZIKI WA SIKINDE WALIOTANGULIA MBELE YA HAKI…
LISTI YA WANAMUZIKI WA SIKINDE WALIOTANGULIA MBELE YA HAKI…
1. Abdallah Dogodogo2. Abel Baltazar3. Adam Bakari4. Ally Makunguru5. Charles John “Ngosha” (2011)6. Chipembele Said “Bob Chipe”7. Fadhili Uvuruge “Santimaa”8. Gaspar Kanuti9. George Kessy10. Gervas Herman11. Hamisi Juma “Maalim Kinyasi”12. Haruna Lwali13. John Malyanga14. Joseph Mulenga “King Spoiler”15. Juma Banduki16. Juma Hassan Town (1997)17. Kassim Mponda...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-iuB_w20-8Q4/VDaxPeyqspI/AAAAAAAASNc/4wITkEIKILk/s72-c/5.jpg)
KINANA AWATAKA VIONGOZI KUWA MSTARI WA MBELE KATIKA KUTENDA HAKI MUFINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-iuB_w20-8Q4/VDaxPeyqspI/AAAAAAAASNc/4wITkEIKILk/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qYR4M0lFOyU/VDaxQFPSbHI/AAAAAAAASNo/0zcv6b_goPg/s1600/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_rzFpKRosK8/VDaxQQaTDpI/AAAAAAAASNs/xmgy__uGhdY/s1600/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MvjMf4Ci8ag/VDaxQ81LNdI/AAAAAAAASNw/T2xAi41VlO0/s1600/8.jpg)
5 years ago
Bongo514 Feb
Juventus na Monaco mbele kwa mbele UEFA, Barca na Dortmund nje
Timu za Juventus na Monaco zimefanikiwa kufuzu katika hatua ya nusu fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya (Uefa) usiku wa Jumatano huku zikiungana na Real Madrid na Atletico Madrid ambazo zilifuzu katika hatua hiyo siku ya Jumanne.
Juventus imefanikiwa kuingia katika hatua hiyo kwa kuitoa Barcelona ya Hispania kwa jumla ya mabao 3-0 ambayo walishinda katika mchezo wao wa kwanza wiki iliyopita huku katika mchezo wa jana wakitoka sare ya 0-0.
Nao Monaco wametinga hatua hiyo kwa...
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Simba SC yatakata Mkoani Tanga, Mbeya City taabani, Azam Fc mbele kwa mbele!!
Kikosi cha Simba SC kilichoifunga 1-0 African Sports leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga (Picha kwa hisani ya mtandao wa http://www.binzubeiry.co.tz
Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamevunja mwiko wa kutoshinda kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga baada ya kuigaragaza African Sports kwa bao 1-0.
Simba leo iliingia katika mchezo huo ikiwa na presha baada ya kutoshinda mchezo wowote kwenye uwanja huo kwa miaka mitatu mfulilizo. Bao la Simba katika mchezo huo limefungwa na...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xEsE-6NdbF0/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Mbowe: Ukawa sasa ni mbele kwa mbele
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Shabbb.jpg)
SHABIB: CCM GAIRO MBELE KWA MBELE