Mbowe: Ukawa sasa ni mbele kwa mbele
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kamwe hautarudi nyuma katika makubaliano yaliyofikiwa juzi, likiwamo la kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi mbalimbali za uongozi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Ukawa mbele kwa mbele
5 years ago
Bongo514 Feb
Juventus na Monaco mbele kwa mbele UEFA, Barca na Dortmund nje
Timu za Juventus na Monaco zimefanikiwa kufuzu katika hatua ya nusu fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya (Uefa) usiku wa Jumatano huku zikiungana na Real Madrid na Atletico Madrid ambazo zilifuzu katika hatua hiyo siku ya Jumanne.
Juventus imefanikiwa kuingia katika hatua hiyo kwa kuitoa Barcelona ya Hispania kwa jumla ya mabao 3-0 ambayo walishinda katika mchezo wao wa kwanza wiki iliyopita huku katika mchezo wa jana wakitoka sare ya 0-0.
Nao Monaco wametinga hatua hiyo kwa...
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Simba SC yatakata Mkoani Tanga, Mbeya City taabani, Azam Fc mbele kwa mbele!!
Kikosi cha Simba SC kilichoifunga 1-0 African Sports leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga (Picha kwa hisani ya mtandao wa http://www.binzubeiry.co.tz
Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamevunja mwiko wa kutoshinda kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga baada ya kuigaragaza African Sports kwa bao 1-0.
Simba leo iliingia katika mchezo huo ikiwa na presha baada ya kutoshinda mchezo wowote kwenye uwanja huo kwa miaka mitatu mfulilizo. Bao la Simba katika mchezo huo limefungwa na...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xEsE-6NdbF0/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Shabbb.jpg)
SHABIB: CCM GAIRO MBELE KWA MBELE
10 years ago
Vijimambo26 Jul
YANGA YASONGA MBELE KWA USHINDI MWEMBAMBA SASA KUKUTANA NA AZAM JUMATATO PATACHIMBIKAJE
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/Yanga-vs-KNC-6.jpg)
Mshambuliaji wa Yanga Amis Tambwe (katikati) akishangilia goli lake kwa kuwapungia mkono mashabiki
Mabingwa wa Tanzania bara Young Africans ‘Yanga’, leo wameibuka na ushindi mwembamba wa goli 1-0 mbele ya Khartoum Nalitonal Club katika mwendelezo wa michuano ya Kagame Cup mechi iliyopigwa leo jioni kwenye dimba la Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo ulianza kwa kasi lakini Khartoum walionekana kuwamudu vyema Yanga dakika za mwanzoni na walifanikiwa kutengeneza nafasi kadhaa lakini hawakuweza...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-PxeFW3o0ntY/VPULzAQQyBI/AAAAAAAAR10/huzHnwesYEc/s72-c/mbowe_Red%2BBrigade.jpg)
RED BRIGADE WALA KIAPO CHA UTII MBELE YA MH FREEMAN MBOWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-PxeFW3o0ntY/VPULzAQQyBI/AAAAAAAAR10/huzHnwesYEc/s640/mbowe_Red%2BBrigade.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vRyN5-mpjX0/VPUMRSqd5TI/AAAAAAAAR2E/_dDVe9HRv0I/s640/Lwakatare.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GRijV9EBiQM/VPULzEL8w9I/AAAAAAAAR14/iJmM4VuWOnY/s640/red%2Bbrigade2.jpg)
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Ukawa wakunjana mbele ya mgombea mwenza
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Wamkataa Dk Makaidi mbele ya vigogo wa Ukawa