SHABIB: CCM GAIRO MBELE KWA MBELE
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Shabbb.jpg)
Mgombea Ubunge wa jimbo la Gairo kwa tiketi ya CCM, Ahmed Shabiby. “Nimeamua kugombea tena ubunge kwa sababu najua wananchi wa Gairo wananihitaji, mafanikio makubwa niliyowaletea katika kipindi chote nilichokuwa mbunge yamewafurahisha na wanaamini kwamba mimi ndiye mkombozi wao. “Kwa kipindi chote nilichokuwa madarakani nimeshafanya mambo mengi ya kuwasaidia wananchi na wao ni mashahidi wa hilo ndiyo maana...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xEsE-6NdbF0/default.jpg)
5 years ago
Bongo514 Feb
Juventus na Monaco mbele kwa mbele UEFA, Barca na Dortmund nje
Timu za Juventus na Monaco zimefanikiwa kufuzu katika hatua ya nusu fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya (Uefa) usiku wa Jumatano huku zikiungana na Real Madrid na Atletico Madrid ambazo zilifuzu katika hatua hiyo siku ya Jumanne.
Juventus imefanikiwa kuingia katika hatua hiyo kwa kuitoa Barcelona ya Hispania kwa jumla ya mabao 3-0 ambayo walishinda katika mchezo wao wa kwanza wiki iliyopita huku katika mchezo wa jana wakitoka sare ya 0-0.
Nao Monaco wametinga hatua hiyo kwa...
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Simba SC yatakata Mkoani Tanga, Mbeya City taabani, Azam Fc mbele kwa mbele!!
Kikosi cha Simba SC kilichoifunga 1-0 African Sports leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga (Picha kwa hisani ya mtandao wa http://www.binzubeiry.co.tz
Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamevunja mwiko wa kutoshinda kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga baada ya kuigaragaza African Sports kwa bao 1-0.
Simba leo iliingia katika mchezo huo ikiwa na presha baada ya kutoshinda mchezo wowote kwenye uwanja huo kwa miaka mitatu mfulilizo. Bao la Simba katika mchezo huo limefungwa na...
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Mbowe: Ukawa sasa ni mbele kwa mbele
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Ukawa mbele kwa mbele
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
Ronaldo mbele kwa ufuasi Facebook
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tVoXeKwILOM/VbMSdDSuShI/AAAAAAAAStQ/V5sPuYAonAU/s72-c/DSCF5951%2B%25281280x960%2529.jpg)
WATIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI KUPITIA CCM WAJINADI MBELE YA WAJUMBE KATA YA MAWENZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-tVoXeKwILOM/VbMSdDSuShI/AAAAAAAAStQ/V5sPuYAonAU/s640/DSCF5951%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dip-LVPmoAc/VbMSTS4FA8I/AAAAAAAASss/tpf0RH2j0gY/s640/DSCF5945%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0ojaUBuq1Co/VbMSpeY56CI/AAAAAAAASt0/G0f8wmSB8PY/s640/DSCF5969%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7CIoSmTlhGA/VbMST0VISvI/AAAAAAAASs8/jJ_fkfr2kjM/s640/DSCF5944%2B%25281280x960%2529.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
BBCSwahili13 May
Waziri auawa kwa kusinzia mbele ya rais
11 years ago
BBCSwahili09 May
Chama cha ANC mbele kwa kura