Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngoma azipendazo ankal: CCM MBELE KWA MBELE

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

SHABIB: CCM GAIRO MBELE KWA MBELE

Mgombea Ubunge wa jimbo la Gairo kwa tiketi ya CCM, Ahmed Shabiby. “Nimeamua kugombea tena ubunge kwa sababu najua wananchi wa Gairo wananihitaji, mafanikio makubwa niliyowaletea katika kipindi chote nilichokuwa mbunge yamewafurahisha na wanaamini kwamba mimi ndiye mkombozi wao. “Kwa kipindi chote nilichokuwa madarakani nimeshafanya mambo mengi ya kuwasaidia wananchi na wao ni mashahidi wa hilo ndiyo maana...

 

9 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

ngoma azipendazo ankal: spesho kwa wapenda kwao siku hii ya valentine


Ngoma ya Black Blood ya 'A.I.E. 1975' ni zawadi ya Ras Makunja kwa wapendanao

 

5 years ago

Bongo5

Juventus na Monaco mbele kwa mbele UEFA, Barca na Dortmund nje

Timu za Juventus na Monaco zimefanikiwa kufuzu katika hatua ya nusu fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya (Uefa) usiku wa Jumatano huku zikiungana na Real Madrid na Atletico Madrid ambazo zilifuzu katika hatua hiyo siku ya Jumanne.

Juventus imefanikiwa kuingia katika hatua hiyo kwa kuitoa Barcelona ya Hispania kwa jumla ya mabao 3-0 ambayo walishinda katika mchezo wao wa kwanza wiki iliyopita huku katika mchezo wa jana wakitoka sare ya 0-0.

Nao Monaco wametinga hatua hiyo kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Simba SC yatakata Mkoani Tanga, Mbeya City taabani, Azam Fc mbele kwa mbele!!

SIMBaaaaaKikosi cha Simba SC kilichoifunga 1-0 African Sports leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga (Picha kwa hisani ya mtandao wa http://www.binzubeiry.co.tz

Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamevunja mwiko wa kutoshinda kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga baada ya kuigaragaza African Sports kwa bao 1-0.

Simba leo iliingia katika mchezo huo ikiwa na presha baada ya kutoshinda mchezo wowote kwenye uwanja huo kwa miaka mitatu mfulilizo. Bao la Simba katika mchezo huo limefungwa na...

 

11 years ago

Michuzi

ngoma azipendazo ankal

Ngoma ya 'Malaika' na Ngoma African Band wana FFU Ughaibuni chini ya Ras Makunja

 

11 years ago

Michuzi

ngoma azipendazo ankal

ODYSSEY WANAKUPA 'GOING BACK TO MY ROOTS' MWAKA 1981
-Makala hii ni kwa udhamini wa The Legend is Back @ Isumba Lounge, Dar es salaam ambao wameingia mkataba na Globu ya Jamii leo hii kurudisha enzi za enzi za disco katika miondoko ya Old School. Usikose kuchungulia hapa kila siku kuanzia saa 12 asubuhi usikie na kuona mambo ya Isumba Lounge kwa mwezi huu mzima wa Februari 2014.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani