Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


wanamichezo wakongwe wa dar es salaam wakumbuka wenzao waliotangulia mbele ya haki

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

PFF yazibeba familia za waliotangulia mbele za haki

MFUKO wa Pensheni wa PPF, umetumia zaidi ya sh milioni 770 kugharamia masomo ya watoto 1,100 wa wanachama wa mfuko huo waliyofariki wakiwa kazini. Aidha, mapato ya uwekezaji ya mfuko...

 

9 years ago

Michuzi

Hitma ya kuwaombea dua Waumini waliotangulia mbele ya haki Zanzibar

 Rais Mstaafu wa Zanzibar Awamu ya Tano Dr. Salmin Amour kati kati akibadilishana mawazo na Makamu wa Rais Mstaafu wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal (kushoto)  na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi nyumbani kwake Kidombo mara baaya ya chakula cha mchana.Hafla hiyo inayojumuisha mamia ya waumini wa Dini ya Kiislamu kutoka pembe zote za Unguja huambatana pia na Maulidi ya Kuzaliwa kwa Kiongozi wa Dini ya Kiislamu Duniani Mtume Muhammad { SAW  } wakati wa usiku ukiwa ni...

 

9 years ago

Michuzi

KUELEKEA MIAKA 37 YA MLIMANI PARK ORCHESTRA: LIST YA WANAMUZIKI WA SIKINDE WALIOTANGULIA MBELE YA HAKI…

Inline image 1

LISTI  YA WANAMUZIKI WA SIKINDE WALIOTANGULIA MBELE YA HAKI…
1.       Abdallah Dogodogo2.       Abel Baltazar3.       Adam Bakari4.       Ally Makunguru5.       Charles John “Ngosha” (2011)6.       Chipembele Said “Bob Chipe”7.       Fadhili Uvuruge  “Santimaa”8.       Gaspar Kanuti9.       George Kessy10.   Gervas Herman11.   Hamisi Juma “Maalim Kinyasi”12.   Haruna Lwali13.   John Malyanga14.   Joseph Mulenga “King Spoiler”15.   Juma Banduki16.   Juma Hassan Town (1997)17.   Kassim Mponda...

 

9 years ago

Michuzi

PANONE FC YASONGA MBELE LIGI YA SHIRIKISHO YA AZAM,YAIFUNGA POLISI DAR ES SALAAM BAO 2 KWA 1

Moja ya heka heka langoni mwa timu ya Panone fc.Baadhi ya Mashabiki waliojitokeza katika mchezo huo.Vikosi vya timu za Polisi Dar na Panone fc vikiwa tayari kuingia uwanjani.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

Meya wa Halmashauri ya Tabora, Gulam Dewji akijitetea mbele ya Baraza la Maadili jijini Dar es Salaam leo.

 Meya wa Halmashauri ya Tabora, Gulam Dewji akijitetea mbele ya Baraza la Maadili jijini Dar es Salaam leo. Mstahiki Ghulam anatuhumiwa kwa kumiliki mali mbalimbali, zikiwamo pikipiki 422, viwanja vitano; vinne kati yake, katika eneo la Ipuli na kimoja Isule na nyumba moja yenye thamani ya Sh milioni 16 katika eneo la Kazehili. Meya wa Halmashauri ya Tabora, Mstahiki Gulam Dewji akilegeza koo wakati akijitetea  Mwenyekiti wa Barala la Maadili wa Viongozi wa Umma, Jaji mstaafu Hamis Msumi...

 

10 years ago

Michuzi

JK akutana na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu Ikulu jijini Dar es salaam leo

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu Jaji Augustino  Ramadhani wakati jaji huyo alipomtembelea na kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es  Salaam leo. Picha na Freddy Maro

 

11 years ago

Mwananchi

Mhando, mkewe na wenzao wafikishwa kizimbani D’Salaam

Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Geofrey Mhando na mkewe Eva Mhando wamepandishwa kizimbani, huku Mhando akikabiliwa na shtaka moja la matumizi mabaya ya madaraka na mkewe mashtaka manne, likiwamo la kughushi.

 

10 years ago

Vijimambo

JAJI MARK BOMANI MGENI RASMI UTOAJI TUZO KWA WATANZANIA WALIOTOA MCHANGO MKUBWA KUTETEA HAKI NA JAMII NCHINI DAR ES SALAAM JANA‏

Jaji mstaafu Mark Bomani (kulia) akimkabidhi Tuzo ya maono mapevu, Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila.Jaji mstaafu Mark Bomani akimvisha skafu yenye Neno Tanzania Mkurugenzi wa Under the Same Sun,Vicky Ntetema.Jaji mstaafu Mark Bomani akimkabidhi Tuzo ya uwazi na ukweli Mkurugenzi wa Under the Same Sun,Vicky Ntetema tuzo ya ubunifu, tuzo ambazo zimetolewa na taasisi ya Dream Success Enterprises.Jaji mstaafu Mark Bomani akimvisha Skafu Saed Kubenea. Jaji mstaafu Mark Bomani akimkabidhi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani