PANONE FC YASONGA MBELE LIGI YA SHIRIKISHO YA AZAM,YAIFUNGA POLISI DAR ES SALAAM BAO 2 KWA 1
![](http://4.bp.blogspot.com/-b-ZzS2Hz--Y/VlFP4DcTRpI/AAAAAAAAW1A/SRUNzvwSg6o/s72-c/IMG_9462%2B%25281024x683%2529.jpg)
Moja ya heka heka langoni mwa timu ya Panone fc.
Baadhi ya Mashabiki waliojitokeza katika mchezo huo.
Vikosi vya timu za Polisi Dar na Panone fc vikiwa tayari kuingia uwanjani.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo26 Jul
YANGA YASONGA MBELE KWA USHINDI MWEMBAMBA SASA KUKUTANA NA AZAM JUMATATO PATACHIMBIKAJE
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/Yanga-vs-KNC-6.jpg)
Mshambuliaji wa Yanga Amis Tambwe (katikati) akishangilia goli lake kwa kuwapungia mkono mashabiki
Mabingwa wa Tanzania bara Young Africans ‘Yanga’, leo wameibuka na ushindi mwembamba wa goli 1-0 mbele ya Khartoum Nalitonal Club katika mwendelezo wa michuano ya Kagame Cup mechi iliyopigwa leo jioni kwenye dimba la Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo ulianza kwa kasi lakini Khartoum walionekana kuwamudu vyema Yanga dakika za mwanzoni na walifanikiwa kutengeneza nafasi kadhaa lakini hawakuweza...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-I7IzdgeALC4/VUhIpnzBmVI/AAAAAAAA8T8/Rk-cMrtqGVI/s72-c/A%2B1.jpg)
ARSENAL YAIFUNGA HULL CITY BAO 3-1 KATIKA LIGI KUU ENGLAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-I7IzdgeALC4/VUhIpnzBmVI/AAAAAAAA8T8/Rk-cMrtqGVI/s640/A%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ui7-46xYhKs/VUhIqJpLz1I/AAAAAAAA8T0/ckFUsFbCChs/s640/A%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a4-41Q1KTv4/VUhIqZTXPiI/AAAAAAAA8UA/yCpEisME2RU/s640/A%2B3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wmIUthkBZz0/VUhIrVSyBGI/AAAAAAAA8UE/Xb3YInv-Sog/s640/A%2B4.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s72-c/MMGL0780.jpg)
YANGA YABAMIZWA BAO 2 - 1 KUTOKA KWA AZAM NA KUWA MABINGWA WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA 2014 - 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s1600/MMGL0780.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w8qZvZaS9us/VUpReV155nI/AAAAAAAHVwM/cByfPFyn_2g/s1600/IMG_9943.jpg)
Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-iY0FeOWICQU/VUpReAtC49I/AAAAAAAHVwE/kH01q9iQUHo/s1600/IMG_9925.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oCJlwSPYvC0/U7heJupiEdI/AAAAAAAFvQs/hvBXMkXg3Yo/s72-c/article-2681713-1F699DCC00000578-862_634x423.jpg)
Argentina yasonga nusu fainali kwa kuibanjua Ubelgiji bao 1-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-oCJlwSPYvC0/U7heJupiEdI/AAAAAAAFvQs/hvBXMkXg3Yo/s1600/article-2681713-1F699DCC00000578-862_634x423.jpg)
10 years ago
MichuziMchezo wa Kirafiki Kati ya Simba na Polisi Usiku Huu Uwanja wa Amaan Simba Ikiwa mbele kwa bao 2--0
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Simba SC yatakata Mkoani Tanga, Mbeya City taabani, Azam Fc mbele kwa mbele!!
Kikosi cha Simba SC kilichoifunga 1-0 African Sports leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga (Picha kwa hisani ya mtandao wa http://www.binzubeiry.co.tz
Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamevunja mwiko wa kutoshinda kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga baada ya kuigaragaza African Sports kwa bao 1-0.
Simba leo iliingia katika mchezo huo ikiwa na presha baada ya kutoshinda mchezo wowote kwenye uwanja huo kwa miaka mitatu mfulilizo. Bao la Simba katika mchezo huo limefungwa na...
9 years ago
Habarileo12 Oct
Magharibi yasonga mbele Zanzibar
TIMU ya soka ya Wilaya ya Magharibi imefanikiwa kusonga mbele katika michuano ya Zanzibar CUP baada ya kuifunga Wilaya ya Kaskazini B mabao 3-2.
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Taifa Stars yasonga mbele
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Yanga SC yasonga mbele CAF
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10