Lupita: Wazazi wanataka niolewe
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa filamu nchini Kenya ambaye kwa sasa anaishi nchini Marekani, Lupita Nyong’o, amesema wazazi wake wanamshawishi aolewe ili wapate wajukuu.
Lupita kwa sasa anafanya vizuri katika filamu nchini Marekani na amefanikiwa kuchukua tuzo za Oscar mapema mwaka huu, hivyo baada ya kupata tuzo hiyo alitembelea nchini Kenya na kukutana na familia yake ambapo ilimtaka aolewe.
“Nilipokuwa nchini Kenya wiki chache zilizopita nilikutana na familia yangu ambapo miaka mingi tulikuwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3BsuWbWVu8bNBKMlmv6ZaW-lEzSSMixQNKcvPlYNdf19aMSbwMuQhfyXCUInoUrWlm-6d5IChoxjrNb4I7lcBKk/wolper...jpg?width=650)
WOLPER: LAZIMA NIOLEWE NJE YA NCHI
10 years ago
BBCSwahili04 Jul
Ugiriki:Wakopeshaji wanataka kutudhulumu
9 years ago
Habarileo02 Nov
‘Watanzania wanataka mabadiliko ya maendeleo’
MBUNGE wa Viti Maalumu mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe, amesema ushindi wa kishindo wa Dk John Magufuli, ni ishara kuwa Watanzania wanataka mabadiliko ya maendeleo na si bora mabadiliko.
11 years ago
Habarileo05 Feb
Kinana- Wananchi wanataka mtumishi si mtukufu
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ametangaza sifa za mgombea ubunge, atakayerithi jimbo lililoachwa wazi na aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa. Kabla ya kifo chake, Dk Mgimwa alikuwa Mbunge wa Jimbo la Kalenga, wilayani Iringa mkoani Iringa.
10 years ago
Bongo Movies11 Apr
Shilole: Igunga Wanataka Nikagombee Ubunge
Staa mrembo wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameeleza kuwa ni yake ya ya kugombea ubunge jimbo la Igunga , Tabora nyumbani alipozailwa bado ipo pale pale japo anahofaia maisha yake yanaweza kuwa hatarini.
Shilole alieleza kuwa amepokea simu nyingi kutoka Igunga zinazomtaka ajitose kuwania nafasi hiyo, lakini bado yupo njia panda.
“Unajua siasa ni ngumu mimi bado nipo kwenye mjadala wa kugombea na hii ni baada ya kuona watu wanataka kuongozwa, lakini bado...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkTNz-F-b8arF783wczZ5Kp7e0epAlJSBJslC6daDQsDb3JWp78cBYuvC0geb2PtsCoVE37EvHYBP-bwzidRW11YOX-ccqKu/rayc61.png?width=650)
RAY C: KUNA WATU WANATAKA KUNIUA!
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Watanzania wanataka maisha bora si maadhimisho
LEO Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaadhimisha miaka 37 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977, ambapo sherehe zake zitafanyika katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. CCM iliundwa Februari 5, mwaka 1977 chini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ0FG59iSyIfwvMG-jEGdLJqkySJvOqQ8grjUbQ*xYzm0Auf12twYBYN5wXBr1JDfAs56Dlvrd9rU-BCctv-B9dc/wastara.jpg)
WASTARA: WANATAKA KUNIOA ILI WANITUMIE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cZ399qCqOaGP9DQxsD0jtdoh3VgjpxEsRaI*j3HYGzh6Yd8G5aHGp8TgoioUCG-*o-5RBLCkweshyegzNHSN3Lq7Gt5O3lv7/SNURA.jpg?width=650)
SNURA: WABAYA WANGU WANATAKA KUNISHUSHA