Ugiriki:Wakopeshaji wanataka kutudhulumu
Waziri wa fedha nchini Ugiriki ametoa taarifa siku moja kabla ya kuandaliwa kwa kura ya maoni juu ya mpango wa kulipa deni lake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
Neruma Bunda wawatosa wakopeshaji binafsi
KUTOKANA na kuibuka kwa wakopeshaji binafsi wanaotoza riba kubwa kwa watu wanaokopeshwa fedha, wakulima, wafanyabiashara na watumishi wa serikali Kata ya Neruma, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, wameamua kuanzisha Chama...
9 years ago
Habarileo02 Nov
‘Watanzania wanataka mabadiliko ya maendeleo’
MBUNGE wa Viti Maalumu mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe, amesema ushindi wa kishindo wa Dk John Magufuli, ni ishara kuwa Watanzania wanataka mabadiliko ya maendeleo na si bora mabadiliko.
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Lupita: Wazazi wanataka niolewe
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa filamu nchini Kenya ambaye kwa sasa anaishi nchini Marekani, Lupita Nyong’o, amesema wazazi wake wanamshawishi aolewe ili wapate wajukuu.
Lupita kwa sasa anafanya vizuri katika filamu nchini Marekani na amefanikiwa kuchukua tuzo za Oscar mapema mwaka huu, hivyo baada ya kupata tuzo hiyo alitembelea nchini Kenya na kukutana na familia yake ambapo ilimtaka aolewe.
“Nilipokuwa nchini Kenya wiki chache zilizopita nilikutana na familia yangu ambapo miaka mingi tulikuwa...
10 years ago
Habarileo03 Oct
'Kuna Wazanzibari wanataka kuvunja Muungano'
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, ametoa ufafanuzi wa aina mbili ya Wazanzibari.
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Wakulima wanataka masilahi yao yazingatiwe
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ0FG59iSyIfwvMG-jEGdLJqkySJvOqQ8grjUbQ*xYzm0Auf12twYBYN5wXBr1JDfAs56Dlvrd9rU-BCctv-B9dc/wastara.jpg)
WASTARA: WANATAKA KUNIOA ILI WANITUMIE
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkTNz-F-b8arF783wczZ5Kp7e0epAlJSBJslC6daDQsDb3JWp78cBYuvC0geb2PtsCoVE37EvHYBP-bwzidRW11YOX-ccqKu/rayc61.png?width=650)
RAY C: KUNA WATU WANATAKA KUNIUA!
11 years ago
Habarileo23 Apr
'Wananchi waulizwe wanataka Serikali ngapi'
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ezekiah Oluoch amemwomba Rais Jakaya Kikwete kuchukua hatua ya kuwasilisha muswada katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa hati ya dharura ili kuifanyia marekebisho Sheria ya Marekebisho ya Katiba.
10 years ago
Bongo Movies11 Apr
Shilole: Igunga Wanataka Nikagombee Ubunge
Staa mrembo wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameeleza kuwa ni yake ya ya kugombea ubunge jimbo la Igunga , Tabora nyumbani alipozailwa bado ipo pale pale japo anahofaia maisha yake yanaweza kuwa hatarini.
Shilole alieleza kuwa amepokea simu nyingi kutoka Igunga zinazomtaka ajitose kuwania nafasi hiyo, lakini bado yupo njia panda.
“Unajua siasa ni ngumu mimi bado nipo kwenye mjadala wa kugombea na hii ni baada ya kuona watu wanataka kuongozwa, lakini bado...