Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugiriki:Wakopeshaji wanataka kutudhulumu

Waziri wa fedha nchini Ugiriki ametoa taarifa siku moja kabla ya kuandaliwa kwa kura ya maoni juu ya mpango wa kulipa deni lake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Neruma Bunda wawatosa wakopeshaji binafsi

KUTOKANA na kuibuka kwa wakopeshaji binafsi wanaotoza riba kubwa kwa watu wanaokopeshwa fedha, wakulima, wafanyabiashara na watumishi wa serikali Kata ya Neruma, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, wameamua kuanzisha Chama...

 

9 years ago

Habarileo

‘Watanzania wanataka mabadiliko ya maendeleo’

MBUNGE wa Viti Maalumu mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe, amesema ushindi wa kishindo wa Dk John Magufuli, ni ishara kuwa Watanzania wanataka mabadiliko ya maendeleo na si bora mabadiliko.

 

9 years ago

Mtanzania

Lupita: Wazazi wanataka niolewe

Lupita-8NEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa filamu nchini Kenya ambaye kwa sasa anaishi nchini Marekani, Lupita Nyong’o, amesema wazazi wake wanamshawishi aolewe ili wapate wajukuu.

Lupita kwa sasa anafanya vizuri katika filamu nchini Marekani na amefanikiwa kuchukua tuzo za Oscar mapema mwaka huu, hivyo baada ya kupata tuzo hiyo alitembelea nchini Kenya na kukutana na familia yake ambapo ilimtaka aolewe.

“Nilipokuwa nchini Kenya wiki chache zilizopita nilikutana na familia yangu ambapo miaka mingi tulikuwa...

 

10 years ago

Habarileo

'Kuna Wazanzibari wanataka kuvunja Muungano'

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, ametoa ufafanuzi wa aina mbili ya Wazanzibari.

 

9 years ago

Mwananchi

Wakulima wanataka masilahi yao yazingatiwe

Hivi karibuni Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (Mviwata), Mkoa wa Manyara kwa kutambua nafasi yao wakiwa wazalishaji wakuu wa mazao ya chakula na biashara, walikutana mjini Babati na kutoa vipaumbele wanavyoitaka vitekelezewe na wagombea.

 

11 years ago

GPL

WASTARA: WANATAKA KUNIOA ILI WANITUMIE

Stori: Hamida Hassan
Msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma amefunguka kuwa tangu mume wake Juma Kilowoko ‘Sajuki’ afariki dunia, wamekuwa wakijitokeza wanaume kibao wakitaka kumuoa lakini amegundua wengi wana nia ya kunitumia tu. Msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Wastara alisema kama mwanamke amekuwa akitamani kumpata mwanaume wa kumfariji lakini kinachomchanganya...

 

9 years ago

GPL

RAY C: KUNA WATU WANATAKA KUNIUA!

 Staa wa muziki Bongo, Rehema Chalamila `Ray C’. Mayasa Mariwata
Yamekuwa hayo tena! Staa wa muziki Bongo, Rehema Chalamila `Ray C’ yupo kwenye hofu nzito ya kutaka kuuawa kwa kile alichodai ni chuki za binadamu wasiomtakia mema. Wikiendi iliyopita Ray C alitupia ujumbe mzito mtandaoni uliosomeka: “Nacheka lakini sina furaha ila najua kabisa mpango wao kwangu ni kuniua kabisa nipotee! Sitakufa bali...

 

11 years ago

Habarileo

'Wananchi waulizwe wanataka Serikali ngapi'

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ezekiah Oluoch amemwomba Rais Jakaya Kikwete kuchukua hatua ya kuwasilisha muswada katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa hati ya dharura ili kuifanyia marekebisho Sheria ya Marekebisho ya Katiba.

 

10 years ago

Bongo Movies

Shilole: Igunga Wanataka Nikagombee Ubunge

Staa mrembo wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameeleza kuwa ni  yake ya ya kugombea ubunge jimbo la Igunga , Tabora nyumbani alipozailwa bado ipo pale pale japo anahofaia maisha yake yanaweza kuwa hatarini.

Shilole alieleza kuwa amepokea simu nyingi kutoka Igunga zinazomtaka ajitose kuwania nafasi hiyo, lakini bado yupo njia panda.

“Unajua siasa ni ngumu mimi bado nipo kwenye mjadala wa kugombea na hii ni baada ya kuona watu wanataka kuongozwa, lakini bado...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani