WASTARA: WANATAKA KUNIOA ILI WANITUMIE
![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ0FG59iSyIfwvMG-jEGdLJqkySJvOqQ8grjUbQ*xYzm0Auf12twYBYN5wXBr1JDfAs56Dlvrd9rU-BCctv-B9dc/wastara.jpg)
Stori: Hamida Hassan Msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma amefunguka kuwa tangu mume wake Juma Kilowoko ‘Sajuki’ afariki dunia, wamekuwa wakijitokeza wanaume kibao wakitaka kumuoa lakini amegundua wengi wana nia ya kunitumia tu. Msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Wastara alisema kama mwanamke amekuwa akitamani kumpata mwanaume wa kumfariji lakini kinachomchanganya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DQJfSV8aXRYys47CxEaArYy7-dSq6Ph8p2Qlc3STMlUje0xEtx0TQmJH1HnFYY2fSf5-kiSgWH7QVAAckQ*L2Lq/WASTARA.jpg?width=650)
WASTARA: NAMPA BOND NAFASI YA KUNIOA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-yF_1IfhyzA4/VZTUbeQQEnI/AAAAAAAAw5g/5tNWcHk7Cw8/s72-c/wastaranabond.jpg)
Wastara: Nimeamua Kumpa Bond Nafasi ya Kunioa, Mimi Bado Damu Changa Nikisema Siwezi Kuolewa Tena Najidanganya..Nimempa Bond Sharti Hili...
![](http://4.bp.blogspot.com/-yF_1IfhyzA4/VZTUbeQQEnI/AAAAAAAAw5g/5tNWcHk7Cw8/s640/wastaranabond.jpg)
Wastara na Bond MapenziniBrighton Masalu
WASTARA Juma Issa Abeid amekiri kuzidiwa na hisia za kuwa na mwenza kutokana na ukweli kwamba damu yake bado changa, hivyo suala la kuolewa halikwepeki huku akimpa nafasi kubwa msanii mwenzake, Bond Bin Sinan endapo atakidhi vigezo na masharti.Akifungulia ‘koki’ ya maneno mbele ya paparazi wetu kwa njia ya simu mwanzoni mwa wiki hii, Wastara ambaye kwa sasa yuko bize kusaka ubunge nyumbani kwao Morogoro Vijijini, alisema hawezi kudanganya kwamba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d*xx8iAX09Ucp3z*0ovvgVzlb4qqnmyObB7kscWSTpzwOAP07w*os1PlqqO7hH5QB1nC3bTOb8USz9MuHhV2zfsH8BWHfwRN/front.jpg)
WEMA: MUME WA ZARI ANATAKA KUNIOA
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Lupita: Wazazi wanataka niolewe
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa filamu nchini Kenya ambaye kwa sasa anaishi nchini Marekani, Lupita Nyong’o, amesema wazazi wake wanamshawishi aolewe ili wapate wajukuu.
Lupita kwa sasa anafanya vizuri katika filamu nchini Marekani na amefanikiwa kuchukua tuzo za Oscar mapema mwaka huu, hivyo baada ya kupata tuzo hiyo alitembelea nchini Kenya na kukutana na familia yake ambapo ilimtaka aolewe.
“Nilipokuwa nchini Kenya wiki chache zilizopita nilikutana na familia yangu ambapo miaka mingi tulikuwa...
9 years ago
Habarileo02 Nov
‘Watanzania wanataka mabadiliko ya maendeleo’
MBUNGE wa Viti Maalumu mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe, amesema ushindi wa kishindo wa Dk John Magufuli, ni ishara kuwa Watanzania wanataka mabadiliko ya maendeleo na si bora mabadiliko.
10 years ago
BBCSwahili04 Jul
Ugiriki:Wakopeshaji wanataka kutudhulumu
11 years ago
Habarileo05 Feb
Kinana- Wananchi wanataka mtumishi si mtukufu
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ametangaza sifa za mgombea ubunge, atakayerithi jimbo lililoachwa wazi na aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa. Kabla ya kifo chake, Dk Mgimwa alikuwa Mbunge wa Jimbo la Kalenga, wilayani Iringa mkoani Iringa.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkTNz-F-b8arF783wczZ5Kp7e0epAlJSBJslC6daDQsDb3JWp78cBYuvC0geb2PtsCoVE37EvHYBP-bwzidRW11YOX-ccqKu/rayc61.png?width=650)
RAY C: KUNA WATU WANATAKA KUNIUA!
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Watanzania wanataka maisha bora si maadhimisho
LEO Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaadhimisha miaka 37 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977, ambapo sherehe zake zitafanyika katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. CCM iliundwa Februari 5, mwaka 1977 chini...