Wastara: Nimeamua Kumpa Bond Nafasi ya Kunioa, Mimi Bado Damu Changa Nikisema Siwezi Kuolewa Tena Najidanganya..Nimempa Bond Sharti Hili...
![](http://4.bp.blogspot.com/-yF_1IfhyzA4/VZTUbeQQEnI/AAAAAAAAw5g/5tNWcHk7Cw8/s72-c/wastaranabond.jpg)
Wastara na Bond MapenziniBrighton Masalu
WASTARA Juma Issa Abeid amekiri kuzidiwa na hisia za kuwa na mwenza kutokana na ukweli kwamba damu yake bado changa, hivyo suala la kuolewa halikwepeki huku akimpa nafasi kubwa msanii mwenzake, Bond Bin Sinan endapo atakidhi vigezo na masharti.Akifungulia ‘koki’ ya maneno mbele ya paparazi wetu kwa njia ya simu mwanzoni mwa wiki hii, Wastara ambaye kwa sasa yuko bize kusaka ubunge nyumbani kwao Morogoro Vijijini, alisema hawezi kudanganya kwamba...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DQJfSV8aXRYys47CxEaArYy7-dSq6Ph8p2Qlc3STMlUje0xEtx0TQmJH1HnFYY2fSf5-kiSgWH7QVAAckQ*L2Lq/WASTARA.jpg?width=650)
WASTARA: NAMPA BOND NAFASI YA KUNIOA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NQ48wH9Dt2TNpBjeIUgYS8Q70rp9dRy1R2M8*SEj-GvVl66oZarqS4CJTTIPYjUIMRdgkrdPebbx7fXoSLko-*cSd4n3Xx4H/wastaranabond.jpg)
BOND: NIBEMBELEZEENI WASTARA NIMUOE!
10 years ago
Bongo Movies29 Dec
Lisemwalo..:Mahusiano ya Wastara na Bond
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka huu wa 2014 niameona sio mbaya nikawapa ubuyu huu, wa kile kinachodaiwa kuwa mwigizaji wa filamu za hapa bongo, Wastara Juma sasa hivi anatoka na mtangazaji na mwigizaji Bond Bin Sinnan.
Mbali na wawili hawa kuwa na mahusiano ya kizazi, kwani walishaigiza pamoja filamu kama “Uamini Fudhaifu” iliyotoka mwaka huu ambayo ina dhima ya mapenzi na vichekesho, inasemekana kwamba wawili hawa wameshavuka mstari na kutengeneza mausianao ya mtu na mpenzi...
9 years ago
Bongo Movies04 Oct
Ndoa ya Wastara, Bond Baada ya Uchaguzi
SASA imethibitika kuwa ndoa kati ya muigizaji nyota wa filamu Wastara Juma na Mtangazaji Bond Suleiman itafanyika mara baada ya uchaguzi mkuu ujao.
Bond ambaye pia ni muigizaji, aliliambia gazeti hili kuwa wawili hao wameshafikia muafaka wa kuoana lakini Wastara yupo bize na kampeni, kwani baada ya kuanguka katika ubunge wa viti maalum kwa tiketi ya CCM, sasa anazunguka mikoani na Samia Suluhu ambaye ni mgombea mwenza wa John Magufuli jambo ambalo limesababisha washindwe kufanya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39cFltF2QjMtGt5*8zrK8tWzvmGb2TwSK4cEjhGIomjbNNLMf*3nppNU7iLyvgsvjDxfIwRmwZG4EgGjNqQfKjDM/bond.jpg?width=650)
UKWELI KUHUSU UHUSIANO WA WASTARA NA BOND
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZhVsrLD0LniPfaDFIHalfuwhjfddscduEGI7YVAx*-tejFJz0J7kz5PrxRqxh3DIwNhB8kcLCicjsWu5EK3FOzVw-1--X-0L/Wastara.jpg?width=650)
NDOA WASTARA, BOND BAADA YA UCHAGUZI
10 years ago
Bongo526 Sep
China: Kujiunga chuo, kujifunza udereva, ukitaka kuoa au kuolewa sharti uchangie damu
10 years ago
Bongo Movies14 Feb
Wastara: Bond we ni Zaidi ya Maneger, My Director, My Friend, My Boy and My Lov....
Wastara aliyatoa maneno haya siku ya leo ambapo Bon Bin Sinnan anasherekea siku yake ya kuzaliwa.
Mbali na wawili hawa kuwa karibu zaidi na kuhisiwa kuwa wapo kwenye mahusiano ya kimapenzi hizi jumbe mbili alizobandika leo zinakitu ndani yake kama ukizisoma “between the lines”, alianza na huu
Happy birthday Bond Bin Sinnan Mungu akupe umri mrefu, sina jipya la kukwambia maneno yoote umeshayasikia midomoni kwa watu ila touti ni vitendo tu ambavyo si vyote uliwahi kuviona na kufanyia...
10 years ago
Bongo Movies24 Jan
Ubuyu: Wastara Amchunguza na Kumpiga Msasa Bond Kabla ya Kumuweka "Ofisho"!!
Baada ya tetesi kuzagaa mitaani kwamba wasanii wa filamu Bongo, Wastara Juma na Bondi Bin Salim wanatoka kimapenzi, bidada huyo ameibuka na kufunguka kuwa bado hajamkubalia jumla Bondi kwani bado anamchunguza.
Akipiga stori na paparazi wa GPL, Wastara alisema anamrekebisha baadhi ya vitu ili aweze kuwa wake na kama hatabadilika, atampiga chini.
“Bondi ninamchunguza kwanza na kumpiga msasa awe wa tofauti na alivyokuwa zamani sijamtangaza rasmi kwa sababu kuna vitu bado sijajiridhisha kwake...