Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania wanataka maisha bora si maadhimisho

LEO Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaadhimisha miaka 37 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977, ambapo sherehe zake zitafanyika katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. CCM iliundwa Februari 5, mwaka 1977 chini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Watanzania waaswa kutunza vipato vyao wawe na maisha bora

Mwezeshaji wa Taasisi ya MAYEPS Tanzania Lucas Marco (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) hivi karibuni jijini Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa kitabu kiitwacho “NITUNZE NIKUTUNZE FAINALI UZEENI”, chenye maudhui ya kuwasaidia watu wanaofanyakazi ya kujiajiri au kuajiriwa kufanya maamuzi yaliyosahihi ili waweze kuishi maisha bora wakati wakiwa kwenye ajira na baada ya kustaafu. Katikati ni Mwenyekiti wa Taasisi hiyo Rose Mang’enya na kushoto ni Meneja wa...

 

9 years ago

Habarileo

‘Watanzania wanataka mabadiliko ya maendeleo’

MBUNGE wa Viti Maalumu mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe, amesema ushindi wa kishindo wa Dk John Magufuli, ni ishara kuwa Watanzania wanataka mabadiliko ya maendeleo na si bora mabadiliko.

 

10 years ago

Mwananchi

“Watanzania wanataka mabadiliko...watayatafuta nje ya CCM"

>Kauli ya hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kuwa Watanzania wanataka mabadiliko na wasipoyapata ndani ya CCM, watayatafuta nje ya CCM inaweza kutimia mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Wasali kuombea maisha bora

>Wachungaji kutoka ndani na nje ya nchi wamekusanyika kwenye  Kiwanja cha Cathedral of Joy International Kiluvya-Gogoni  kuwaombea Watanzania walioumizwa na hali mbaya ya uchumi,  utawala, dini, migongano ya kijamii na kisiasa.

 

11 years ago

Habarileo

Kiwango maisha bora chapanda

Rais Jakaya Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi chapisho la tatu la taarifa za msingi za kidemografia, kijamii na kiuchumi pamoja na tovuti katika kupata taarifa za Sensa na Makazi katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam jana. Kutoka kushoto ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, mwakilishi wa UNFPA, Mariam Khan, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum na Kamishna wa Sensa na Makazi, Amina Mrisho. (Picha na Freddy Maro).MAENDELEO ya Watanzania na kuongezeka kwa ubora wa maisha yao sasa ni dhahiri baada ya chapisho la tatu la Taarifa za Msingi za Kidemografia, Kijamii na Kiuchumi, linalotokana na Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012, kuonesha hatua walizopiga katika maisha yao.

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AONGOZA WATANZANIA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO

Rais Dk. Jakaya Kikwete na viongozi mbalimbali wa serikali wakiwa katika maadhimisho ya muungano. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete leo amewaongoza Watanzania katika maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Maadhimisho hayo kitaifa yamefanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali. ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wassira: Maisha bora yanahitaji jitihada

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira,  amesema serikali haiwezi kuleta maisha bora kwa kila Mtanzania bila  mtu husika kujituma ili kuweza kujiletea maendeleo yake binafsi....

 

10 years ago

Mwananchi

‘Sera bora ya nishati itarahisisha maisha’

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema ikiwa Serikali itaandaa sera nzuri ya gesi na mafuta, Watanzania wengi watanufaika na rasilimali hiyo.

 

11 years ago

Michuzi

WATANZANIA WAISHIO MJINI SHANGHAI WALIVYOSHEREHEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA

Baadhi ya Watanzania waishio katika mji wa Shanghai nchini China wamesherehekea maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania kwa kukutana pamoja na kuzungumza mambo mbali mbali ya kimaendeleo. Licha ya sherehe hizo za Miaka 50 ya Muungano,pia ziliambatana na kuwaaga baadhi ya wahitimu kutoka vyuo mbalimbali wanaotarajia kumaliza mwaka huu. Baadhi ya Watanzania waishio Shanghai wakipiga picha ya pamoja katika shamra shamra za Maadhimisho ya Miaka 50 Muungano wa Tanzania,yaliyofanyika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani