Wasali kuombea maisha bora
>Wachungaji kutoka ndani na nje ya nchi wamekusanyika kwenye Kiwanja cha Cathedral of Joy International Kiluvya-Gogoni kuwaombea Watanzania walioumizwa na hali mbaya ya uchumi, utawala, dini, migongano ya kijamii na kisiasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Jun
Kiwango maisha bora chapanda
MAENDELEO ya Watanzania na kuongezeka kwa ubora wa maisha yao sasa ni dhahiri baada ya chapisho la tatu la Taarifa za Msingi za Kidemografia, Kijamii na Kiuchumi, linalotokana na Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012, kuonesha hatua walizopiga katika maisha yao.
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Wassira: Maisha bora yanahitaji jitihada
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira, amesema serikali haiwezi kuleta maisha bora kwa kila Mtanzania bila mtu husika kujituma ili kuweza kujiletea maendeleo yake binafsi....
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Watanzania wanataka maisha bora si maadhimisho
LEO Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaadhimisha miaka 37 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977, ambapo sherehe zake zitafanyika katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. CCM iliundwa Februari 5, mwaka 1977 chini...
10 years ago
Mwananchi05 Sep
‘Sera bora ya nishati itarahisisha maisha’
11 years ago
Mwananchi09 May
Mtindo bora wa maisha unavyoleta mageuzi kiafya
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Maisha bora ni yale unayopanga ungali kijana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HPL5vosY_ac/VBFW5Z5oQEI/AAAAAAAGixY/XRROZF9d91o/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Watanzania waaswa kutunza vipato vyao wawe na maisha bora
![](http://4.bp.blogspot.com/-HPL5vosY_ac/VBFW5Z5oQEI/AAAAAAAGixY/XRROZF9d91o/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
9 years ago
StarTV26 Nov
Maisha bora uzeeni  Wazee wengi nchini walalamikia kutelekezwa
Licha ya Serikali na wadau mbalimbali kuweka mikakati ya kuwahudumia wazee kwa kuwapatia pensheni, mazingira bora ya makazi na matibabu, wazee wengi nchini wanakabiliwa na matatizo mengi ambayo yanadaiwa kuwakatisha tamaa kutokana na kutelekezwa na kutothamini na jamii licha ya kulitumikia Taifa wakati wa ujana wao.
Kilio kikubwa cha wazee hao ni kutokupata huduma au usaidizi pindi wanapopata matatizo.
Baadhi ya Wazee wengi nchini hasa waishio vijijini bado wanakabiliwa na...
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Viongozi wetu na kipimo cha maisha bora kwa kila Mtanzania