Watanzania waaswa kutunza vipato vyao wawe na maisha bora
![](http://4.bp.blogspot.com/-HPL5vosY_ac/VBFW5Z5oQEI/AAAAAAAGixY/XRROZF9d91o/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Mwezeshaji wa Taasisi ya MAYEPS Tanzania Lucas Marco (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) hivi karibuni jijini Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa kitabu kiitwacho “NITUNZE NIKUTUNZE FAINALI UZEENI”, chenye maudhui ya kuwasaidia watu wanaofanyakazi ya kujiajiri au kuajiriwa kufanya maamuzi yaliyosahihi ili waweze kuishi maisha bora wakati wakiwa kwenye ajira na baada ya kustaafu. Katikati ni Mwenyekiti wa Taasisi hiyo Rose Mang’enya na kushoto ni Meneja wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aRRMkt7UURWg7kD3YSCJnh6JCHUfYzC34CsUyUrw5NtRqhf-XLqzj-rJhSFPKguQT882xXp*fAuUz1E3bUsC8vC/A.jpg?width=650)
KUNA ULAZIMA WOWOTE WANANDOA KUFICHANA VIPATO VYAO?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq-vKsfLbCBpW6X4lOHYvbFNCR23Lc8iPNR*h8-FCWlOVOHL8P9lL67LLYnBHP*JLHzXEVSQFT6GIi*qekHpXsZY/b.jpg?width=650)
KUNA ULAZIMA WOWOTE WANANDOA KUFICHANA VIPATO VYAO?-2
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZXR5sma9c1M/VhDKV4nr7gI/AAAAAAAAH8M/Hf54Tz9JhQY/s72-c/Dr%2BManoj%2BAgarwal.jpg)
WATANZANIA WAASWA KUZINGATIA AFYA BORA YA MOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZXR5sma9c1M/VhDKV4nr7gI/AAAAAAAAH8M/Hf54Tz9JhQY/s320/Dr%2BManoj%2BAgarwal.jpg)
Na Mwandishi Wetu,Dar Es Salaam, Oktoba 2015:IkiwazimepitasikutatutokakuhadhimishwasikuyaMoyodunianimwakahuu, Watanzaniawameshauriwakufanyamaamuzibinafsikatikakujaliafyayamoyo. KaulimbiuyaSikuyaMoyodunianimwaka2015 inahusukuchaguaafyabora yamoyokwakilamtunakilamahali. Piainalengakuonyeshamatokeoambayomazingirayetuyanawezakuletajuuyauwezowetuwakufanyamaamuzi...
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Watanzania wanataka maisha bora si maadhimisho
LEO Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaadhimisha miaka 37 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977, ambapo sherehe zake zitafanyika katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. CCM iliundwa Februari 5, mwaka 1977 chini...
10 years ago
Michuzi02 Jun
WATANZANA WAASWA KUTUNZA NA KUTHAMINI MAZINGIRA
![002](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/002.jpg)
![001](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/001.jpg)
10 years ago
VijimamboUWANJA WA NDEGE MPANDA WAASWA KUTUNZA MIUNDOMBINU
Kufuatia kukamilika kwa ukarabati na upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Mpanda, mkoani Katavi, Serikali imewaasa watumiaji wa uwanja huo kutunza miundombino ya uwanja huo ili kuweza kuhudumia wakazi na wageni wapitao uwanjani hapo kwa muda mrefu.
Wito huo umetolewa na Kiongozi wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri wakati walipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya miundombinu katika Uwanja wa Ndege wa Mpanda,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-N6hVAR_KmwQ/UyBoU4CG41I/AAAAAAAFTGQ/CYSzqau5vsI/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Wananchi Wilayani Mpanda waaswa kutunza vyanzo vya maji na mazingira
Wananchi wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda wamepewa changamoto kutunza vyanzo vya maji na kuhifadhi mazingira kwani kuharibu mazingira kunapelekea kuchangia ukame na kukosekana na maji ambayo ndiyo uhai wa viumbe na tegemeo la maisha ya wanadamu na wanyama.
Changamoto hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mpanda Kibiriti Yasini wakati akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Milala Kata ya Kabungu kwenye maandalizi ya wiki ya maji inayotarajiwa kufanyika...