Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania waaswa kutunza vipato vyao wawe na maisha bora

Mwezeshaji wa Taasisi ya MAYEPS Tanzania Lucas Marco (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) hivi karibuni jijini Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa kitabu kiitwacho “NITUNZE NIKUTUNZE FAINALI UZEENI”, chenye maudhui ya kuwasaidia watu wanaofanyakazi ya kujiajiri au kuajiriwa kufanya maamuzi yaliyosahihi ili waweze kuishi maisha bora wakati wakiwa kwenye ajira na baada ya kustaafu. Katikati ni Mwenyekiti wa Taasisi hiyo Rose Mang’enya na kushoto ni Meneja wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KUNA ULAZIMA WOWOTE WANANDOA KUFICHANA VIPATO VYAO?

NIANZE kwa kumshukuru Mungu wa Mbinguni kwa kunikutanisha na wewe msomaji wangu katika safu hii ya Show The Love. Huu ndiyo uwanja pekee ambao tunaweza kupashana masuala mbalimbali yahusuyo mapenzi.
Niwashukuru wale wote mnaotuma maoni yenu kuashiria mnaguswa na mada ambazo tumekuwa tukizijadili katika safu hii kila Jumamosi. Cha msingi ni kujifunza na kuyafanyia kazi yale yote ambayo tumekuwa tukiyajadili ili kudumisha maisha...

 

10 years ago

GPL

KUNA ULAZIMA WOWOTE WANANDOA KUFICHANA VIPATO VYAO?-2

NI wikiendi nyingine tunakutana katika eneo letu la kupata darasa huru la uhusiano. Bila shaka mpenzi msomaji uko vizuri na unaendelea na maisha kama kawaida, karibu!Wiki iliyopita tuliianza mada yenye kichwa cha habari kilichopo hapo juu. Tuliweza kujadili kama kuna umuhimu wowote wanandoa kufichana vipato vyao. Niliishia pale nilipoonesha tabia za wanawake ambao wanaficha mapato yao ili wayatumie katika vitu vyao binafsi na...

 

9 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WAASWA KUZINGATIA AFYA BORA YA MOYO

Dkt. Manoj Kumar Agarwala, Mshauri Mwandamizi na Mtaalamu wa Magonjwa ya Moyo na Mishipa ya Moyo katika Hospitali ya Apollo Hyderabad.



Na Mwandishi Wetu,Dar Es Salaam, Oktoba 2015:IkiwazimepitasikutatutokakuhadhimishwasikuyaMoyodunianimwakahuu, Watanzaniawameshauriwakufanyamaamuzibinafsikatikakujaliafyayamoyo. KaulimbiuyaSikuyaMoyodunianimwaka2015 inahusukuchaguaafyabora yamoyokwakilamtunakilamahali. Piainalengakuonyeshamatokeoambayomazingirayetuyanawezakuletajuuyauwezowetuwakufanyamaamuzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania wanataka maisha bora si maadhimisho

LEO Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaadhimisha miaka 37 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977, ambapo sherehe zake zitafanyika katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. CCM iliundwa Februari 5, mwaka 1977 chini...

 

10 years ago

Michuzi

WATANZANA WAASWA KUTUNZA NA KUTHAMINI MAZINGIRA

002Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Binilith Mahenge akimkaribisha mgeni Rasmi ili aweze kuzindua maadhimisho ya wiki ya Mazingira duniani katika viwanja vya Tangamano jijini Tanga.001Mkurugenzi wa Mazingira katika Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Julius Ningu akitoa maelezo kwa mgeni Rasmi Mheshimiwa Samuel Sitta alipotembelea banda la Ofisi ya Makamu wa Rais katika maadhimisho ya wiki ya siku ya mazingira jijini Tanga. Wengine wanaosikiliza ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

UWANJA WA NDEGE MPANDA WAASWA KUTUNZA MIUNDOMBINU

Na Saidi Mkabakuli, Mpanda

Kufuatia kukamilika kwa ukarabati na upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Mpanda, mkoani Katavi, Serikali imewaasa watumiaji wa uwanja huo kutunza miundombino ya uwanja huo ili kuweza kuhudumia wakazi na wageni wapitao uwanjani hapo kwa muda mrefu.

Wito huo umetolewa na Kiongozi wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri wakati walipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya miundombinu katika Uwanja wa Ndege wa Mpanda,...

 

11 years ago

Michuzi

Wananchi Wilayani Mpanda waaswa kutunza vyanzo vya maji na mazingira

Na Kibada Kibada –Katavi
Wananchi wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda wamepewa changamoto kutunza vyanzo vya maji na kuhifadhi  mazingira  kwani kuharibu mazingira kunapelekea kuchangia ukame na kukosekana na maji ambayo  ndiyo uhai wa viumbe na tegemeo la maisha ya wanadamu na wanyama.
Changamoto hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mpanda Kibiriti Yasini wakati akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Milala Kata ya Kabungu kwenye  maandalizi ya wiki ya maji inayotarajiwa kufanyika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani