WATANZANIA WAASWA KUZINGATIA AFYA BORA YA MOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZXR5sma9c1M/VhDKV4nr7gI/AAAAAAAAH8M/Hf54Tz9JhQY/s72-c/Dr%2BManoj%2BAgarwal.jpg)
Dkt. Manoj Kumar Agarwala, Mshauri Mwandamizi na Mtaalamu wa Magonjwa ya Moyo na Mishipa ya Moyo katika Hospitali ya Apollo Hyderabad.
Na Mwandishi Wetu,Dar Es Salaam, Oktoba 2015:IkiwazimepitasikutatutokakuhadhimishwasikuyaMoyodunianimwakahuu, Watanzaniawameshauriwakufanyamaamuzibinafsikatikakujaliafyayamoyo. KaulimbiuyaSikuyaMoyodunianimwaka2015 inahusukuchaguaafyabora yamoyokwakilamtunakilamahali. Piainalengakuonyeshamatokeoambayomazingirayetuyanawezakuletajuuyauwezowetuwakufanyamaamuzi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
Watanzania washauriwa kuzingatia Afya bora ya Moyo
Ikiwa zimepita siku tatu toka kuhadhimishwa siku ya Moyo duniani mwaka huu, Watanzania wameshauriwa kufanya maamuzi binafsi katika kujali afya ya moyo. Kauli mbiu ya Siku ya Moyo duniani mwaka 2015 inahusu kuchagua afya bora ya moyo kwa kila mtu na kila mahali. Pia inalenga kuonyesha matokeo ambayo mazingira yetu yanaweza kuleta juu ya uwezo wetu wa kufanya maamuzi bora kwa ajili afya bora kwa moyo wa binaadamu. Pia siku hiyo inatumika kuelimisha jinsi ambavyo mazingira tunayoishi yanaweza...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5Ci5pngqRg8/U9t0F0cU67I/AAAAAAAF8OM/jzKRXrAFz68/s72-c/pic+no.+1.jpg)
WATUMISHI WA UMMA WAASWA KUZINGATIA KANUNI ZA MAADILI YA UTENDAJI KAZI ILI KUJENGA UTAWALA BORA.
Rai hiyo imetolewa na Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji (Mst.) Salome Kaganda wakati akizindua filamu ya “The Minister” iliyoandaliwa na Kampuni ya Equity Links Enterprises (ELE) katika ukumbi wa CENTURY CINEMAX THEATRE Jijini Dar es Salaam.
Mhe. Kaganda alifafanua kuwa katika utumishi wa umma kuna Kanuni za Maadili ya utendaji ...
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Watanzania waaswa kupima afya
WATANZANIA wametakiwa kuwajibika kwa ajili ya afya zao kwa kwenda hospitali kupima mara kwa mara. Wito huo umetolewa jijini Dar es Salaam jana na Dk. Amyn Alidina, mtaalamu wa saratani katika Hospitali ya Aga Khan, alipokuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HPL5vosY_ac/VBFW5Z5oQEI/AAAAAAAGixY/XRROZF9d91o/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Watanzania waaswa kutunza vipato vyao wawe na maisha bora
![](http://4.bp.blogspot.com/-HPL5vosY_ac/VBFW5Z5oQEI/AAAAAAAGixY/XRROZF9d91o/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-C-ciR67CT-Y/VVRg-TreATI/AAAAAAAHXNc/K3n3I9JiX3M/s72-c/unnamed%2B(68).jpg)
WAZIRI WA AFYA AIPONGEZA MUHIMBILI KUFANIKISHA MATIBABU YA MOYO KWA WATANZANIA
Hayo ameyasema alipotembelea Hospitali hiyo kuona namna ambavyo wataalam wetu kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Prince Sultan Cardiac Centre iliyoko Riyadhi nchini Saudi Arabia ambao wamekuwepo Muhimbili toka tarehe 9 Mei na wanatarajiwa kuondoka...
10 years ago
Michuzi01 Jul
WAZIRI MKUU AHIMIZA WANANCHI KUEPUKANA NA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KWA KUPIMA AFYA ZAO NA KUZINGATIA MTINDO BORA WA MAISHA
![1nh](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/1nh.jpg)
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na umati wa watu waliokisanyika katika banda la NHIF juu ya umuhimu wa watu kupima afya zao mara kwa mara na kuzingatia kanuni bora za maisha ili kuepuka maginjwa yasiyoambikiza ambayo mengi husababishwa na unene uliokithiri.
![2nh](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/2nh.jpg)
![nh3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/nh3.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Wajasiriamali waaswa kuzingatia viwango
WAJASIRIAMALI wadogo na wa kati nchini wametakiwa kuzalisha bidhaa bora kwa kuzingatia viwango vinavyotakiwa kwa mtumiaji. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam juzi, Msemaji wa Shirika la ViwangoTanzania...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Askari JWTZ waaswa kuzingatia mafunzo
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wananchi waaswa kuzingatia usafi wa mazingira
Afisa Afya wa Manispaa ya Temeke Bw.Willium Muhemu akifafanua kwa waandishi wa habari mafanikio yaliyofikiwa na Manispaa hiyo katika kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi pamoja na watu wote wanaochafua mazingira,Kulia ni Afisa Uhusiano wa Manispa hiyo Bi. Joyce Nsumba.(Picha zote na FRANK MVUNGI-maelezo).
Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke Bw.Ernest Mamuya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu hatua...