Askari JWTZ waaswa kuzingatia mafunzo
Askari na maofisa wa Kamandi ya Anga ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wametakiwa kuzingatia mafunzo wanayopewa kwani yanawaweka tayari kukabilina na majukumu makubwa yanayoweza kutokea nchini na kimataifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Wajasiriamali waaswa kuzingatia viwango
WAJASIRIAMALI wadogo na wa kati nchini wametakiwa kuzalisha bidhaa bora kwa kuzingatia viwango vinavyotakiwa kwa mtumiaji. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam juzi, Msemaji wa Shirika la ViwangoTanzania...
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wananchi waaswa kuzingatia usafi wa mazingira
Afisa Afya wa Manispaa ya Temeke Bw.Willium Muhemu akifafanua kwa waandishi wa habari mafanikio yaliyofikiwa na Manispaa hiyo katika kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi pamoja na watu wote wanaochafua mazingira,Kulia ni Afisa Uhusiano wa Manispa hiyo Bi. Joyce Nsumba.(Picha zote na FRANK MVUNGI-maelezo).
Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke Bw.Ernest Mamuya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu hatua...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZXR5sma9c1M/VhDKV4nr7gI/AAAAAAAAH8M/Hf54Tz9JhQY/s72-c/Dr%2BManoj%2BAgarwal.jpg)
WATANZANIA WAASWA KUZINGATIA AFYA BORA YA MOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZXR5sma9c1M/VhDKV4nr7gI/AAAAAAAAH8M/Hf54Tz9JhQY/s320/Dr%2BManoj%2BAgarwal.jpg)
Na Mwandishi Wetu,Dar Es Salaam, Oktoba 2015:IkiwazimepitasikutatutokakuhadhimishwasikuyaMoyodunianimwakahuu, Watanzaniawameshauriwakufanyamaamuzibinafsikatikakujaliafyayamoyo. KaulimbiuyaSikuyaMoyodunianimwaka2015 inahusukuchaguaafyabora yamoyokwakilamtunakilamahali. Piainalengakuonyeshamatokeoambayomazingirayetuyanawezakuletajuuyauwezowetuwakufanyamaamuzi...
10 years ago
StarTV07 Jan
Wakaguzi hesabu za Serikali waaswa kuzingatia sheria.
Na Jackson Monela,
Morogoro.
Wakaguzi na Wadhibiti wa Hesabu za Serikali nchini wametakiwa kuzingatia sheria na kanuni za ukaguzi wa mahesabu katika utendaji kazi ikiwa ni pamoja na kufuata maadili ya kazi zao.
Rai hiyo imetolewa na Kaimu Katiba Tawala Mkoa wa Morogoro Lucas Mwaisaka katika ufunguzi wa mafunzo kwa wakaguzi wakuu wa kanda na mikoa.
Amesema wakaguzi wengi wamekuwa wakifanya ukaguzi kwa makini lakini tatizo limekuwepo katika uandikaji wa ripoti zinazohusiana na kaguzi...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Xa-yJtOOCwQ/Vg53srDXxWI/AAAAAAAH8WI/CjUgItHUsbY/s72-c/4.jpg)
WASIMAMIZI WAASWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xa-yJtOOCwQ/Vg53srDXxWI/AAAAAAAH8WI/CjUgItHUsbY/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_f1sCC9bEaU/Vg53r0iKktI/AAAAAAAH8WA/_E3mLl6dXo8/s640/2.jpg)
10 years ago
Uhuru NewspaperAskari wanaswa na sare za JWTZ
Wakutwa na mamilioni ya noti bandia
Na Chibura Makorongo, SimiyuASKARI wa Jeshi la Polisi na Magereza, wametiwa mbaroni kwa kukutwa na noti bandia pamoja na sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
10 years ago
Mwananchi06 Oct
JWTZ yamtimua kazi askari
10 years ago
Mwananchi08 Jun
Askari wa JWTZ watakaowapiga raia kukiona
10 years ago
Mtanzania02 Feb
Askari JWTZ auawa, anyofolewa viungo
Na Shomari Binda, Musoma
ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Kikosi cha 27 Makoko kilichopo Musoma, Praiveti Wilfred Koko amekutwa ameuawa na kuondolewa sehemu ya viungo vya mwili katika eneo la kikosi hicho.
Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi mkoani Mara ilisema askari huyo MT-78227, aliokotwa katika eneo la jeshi Januari 30, mwaka huu saa sita mchana mwili wake ukiwa hauna baadhi ya viungo ukiweamo mguu wa kulia, viganja vya mikono yote na sehemu za siri.
Kaimu Kamanda wa...