Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askari JWTZ waaswa kuzingatia mafunzo

Askari na maofisa wa Kamandi ya Anga ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wametakiwa kuzingatia mafunzo wanayopewa kwani yanawaweka tayari kukabilina na majukumu makubwa yanayoweza kutokea nchini na kimataifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali waaswa kuzingatia viwango

WAJASIRIAMALI wadogo na wa kati nchini wametakiwa kuzalisha bidhaa bora kwa kuzingatia viwango vinavyotakiwa kwa mtumiaji. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam juzi, Msemaji wa Shirika la ViwangoTanzania...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi waaswa kuzingatia usafi wa mazingira

IMG_6063

Afisa Afya wa Manispaa ya Temeke Bw.Willium Muhemu akifafanua kwa waandishi wa habari mafanikio yaliyofikiwa na Manispaa hiyo katika kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi pamoja na watu wote wanaochafua mazingira,Kulia ni Afisa Uhusiano wa Manispa hiyo Bi. Joyce Nsumba.(Picha zote na FRANK MVUNGI-maelezo).

IMG_6115

Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke Bw.Ernest Mamuya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu hatua...

 

9 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WAASWA KUZINGATIA AFYA BORA YA MOYO

Dkt. Manoj Kumar Agarwala, Mshauri Mwandamizi na Mtaalamu wa Magonjwa ya Moyo na Mishipa ya Moyo katika Hospitali ya Apollo Hyderabad.



Na Mwandishi Wetu,Dar Es Salaam, Oktoba 2015:IkiwazimepitasikutatutokakuhadhimishwasikuyaMoyodunianimwakahuu, Watanzaniawameshauriwakufanyamaamuzibinafsikatikakujaliafyayamoyo. KaulimbiuyaSikuyaMoyodunianimwaka2015 inahusukuchaguaafyabora yamoyokwakilamtunakilamahali. Piainalengakuonyeshamatokeoambayomazingirayetuyanawezakuletajuuyauwezowetuwakufanyamaamuzi...

 

10 years ago

StarTV

Wakaguzi hesabu za Serikali waaswa kuzingatia sheria.

Na Jackson Monela,

Morogoro.

Wakaguzi na Wadhibiti wa Hesabu za Serikali nchini wametakiwa kuzingatia sheria na kanuni za ukaguzi wa mahesabu katika utendaji kazi ikiwa ni pamoja na kufuata maadili ya kazi zao.

Rai hiyo imetolewa na Kaimu Katiba Tawala Mkoa wa Morogoro Lucas Mwaisaka katika ufunguzi wa mafunzo kwa wakaguzi wakuu wa kanda na mikoa.

Amesema wakaguzi wengi wamekuwa wakifanya ukaguzi kwa makini lakini tatizo limekuwepo katika uandikaji wa ripoti zinazohusiana na kaguzi...

 

9 years ago

Michuzi

WASIMAMIZI WAASWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU

 Mwanasheria wa tume ya uchaguzi Bw.Mtibora Seleman akifafanua jambo wakati wa semina hiyo. Wanasemina wakifatilia kwa karibu mafunzo hayo yanayofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.UCHAGUZI MKUU MAANDALIZI KANDA YA ZIWA YAENDELEA VIZURINa Atley Kuni- The Power of Media grew.IMEFAHAMIKA kwamba maandalizi muhimu ya uchaguzi mkuu kwa mikoa ya kanda ya ziwa yanaendelea vizuri huku, waratibu wa uchaguzi, wasimamizi na maafisa uchaguzi kutoka mikoa ya Mwanza na Mara wakiaswa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Askari wanaswa na sare za JWTZ



Wakutwa na mamilioni ya noti bandia

Na Chibura Makorongo, SimiyuASKARI wa Jeshi la Polisi na Magereza, wametiwa mbaroni kwa kukutwa na noti bandia pamoja na sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ). Kamanda Charles MkumboAskari hao ni Konstebo Seleman Juma (25) wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) mkoani Simiyu na Edmund Masaga (28), ambaye ni askari Magereza wilayani Bariadi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Charles Mkumbo, alisema askari hao walitiwa mbaroni juzi saa 9:00 alasiri...

 

10 years ago

Mwananchi

JWTZ yamtimua kazi askari

Jeshi wa Wananchi Tanzania (JWTZ) kikosi cha nchi kavu, limemfukuza kazi askari wake wa Kikosi 128 KJ cha Nyandoto, baada ya kudaiwa kuhusika katika tukio la kurushiana risasi na Polisi wa Kituo cha Stendi, wilayani Tarime.

 

10 years ago

Mwananchi

Askari wa JWTZ watakaowapiga raia kukiona

>Uongozi wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), umesema utawafukuza kazi askari wote watakaojihusisha na vitendo vya utovu wa nidhamu ikiwamo  kuwapiga raia wanaokosana nao mitaani.

 

10 years ago

Mtanzania

Askari JWTZ auawa, anyofolewa viungo

Na Shomari Binda, Musoma

ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Kikosi cha 27 Makoko kilichopo Musoma, Praiveti Wilfred Koko amekutwa ameuawa na kuondolewa sehemu ya viungo vya mwili katika eneo la kikosi hicho.

Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi mkoani Mara ilisema askari huyo MT-78227, aliokotwa katika eneo la jeshi Januari 30, mwaka huu saa sita mchana mwili wake ukiwa hauna baadhi ya viungo ukiweamo mguu wa kulia, viganja vya mikono yote na sehemu za siri.

Kaimu Kamanda wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani