Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askari wanaswa na sare za JWTZ



Wakutwa na mamilioni ya noti bandia

Na Chibura Makorongo, SimiyuASKARI wa Jeshi la Polisi na Magereza, wametiwa mbaroni kwa kukutwa na noti bandia pamoja na sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ). Kamanda Charles MkumboAskari hao ni Konstebo Seleman Juma (25) wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) mkoani Simiyu na Edmund Masaga (28), ambaye ni askari Magereza wilayani Bariadi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Charles Mkumbo, alisema askari hao walitiwa mbaroni juzi saa 9:00 alasiri...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

JWTZ yaonya wanaovaa sare zake

JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeonya juu ya matumizi ya sare na vifaa vingine vya majeshi kwa watu wasiohusika. Limetangaza kuwa hatua kali za kisheria, zitachukuliwa dhidi ya watu hao.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiongozi Red Briged atuhumiwa kukutwa na sare za JWTZ, panga

Watu wawili, akiwamo kiongozi mmoja wa kikundi cha Red Briged cha Chadema Wilaya ya Momba, mkoani hapa wamekamatwa kwa madai ya kukutwa na sare za Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), visu, mapanga na manati.

 

10 years ago

Mwananchi

JWTZ yamtimua kazi askari

Jeshi wa Wananchi Tanzania (JWTZ) kikosi cha nchi kavu, limemfukuza kazi askari wake wa Kikosi 128 KJ cha Nyandoto, baada ya kudaiwa kuhusika katika tukio la kurushiana risasi na Polisi wa Kituo cha Stendi, wilayani Tarime.

 

10 years ago

Mtanzania

Askari JWTZ auawa, anyofolewa viungo

Na Shomari Binda, Musoma

ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Kikosi cha 27 Makoko kilichopo Musoma, Praiveti Wilfred Koko amekutwa ameuawa na kuondolewa sehemu ya viungo vya mwili katika eneo la kikosi hicho.

Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi mkoani Mara ilisema askari huyo MT-78227, aliokotwa katika eneo la jeshi Januari 30, mwaka huu saa sita mchana mwili wake ukiwa hauna baadhi ya viungo ukiweamo mguu wa kulia, viganja vya mikono yote na sehemu za siri.

Kaimu Kamanda wa...

 

10 years ago

Mwananchi

JWTZ liwatimue askari wake wanaolidhalilisha

Tukio la wiki iliyopita ambapo kundi la askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), lilirushiana risasi na polisi wa Kituo cha Stendi, wilayani Tarime, mkoani Mara ni la kushangaza na la kusikitisha.

 

11 years ago

Habarileo

Askari feki JWTZ jela miaka 3

MAHAKAMA ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela mwanamume aliyejifanya askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na kufanya utapeli.

 

10 years ago

Habarileo

Waasi waua askari wawili wa JWTZ

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moonWANAJESHI wawili wa Tanzania ambao wako kwenye jeshi la kulinda amani la Umoja wa Mataifa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), wameuawa katika vita na waasi wa eneo hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Askari JWTZ waaswa kuzingatia mafunzo

Askari na maofisa wa Kamandi ya Anga ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wametakiwa kuzingatia mafunzo wanayopewa kwani yanawaweka tayari kukabilina na majukumu makubwa yanayoweza kutokea nchini na kimataifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Askari wa JWTZ watakaowapiga raia kukiona

>Uongozi wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), umesema utawafukuza kazi askari wote watakaojihusisha na vitendo vya utovu wa nidhamu ikiwamo  kuwapiga raia wanaokosana nao mitaani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani