WASIMAMIZI WAASWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU

Mwanasheria wa tume ya uchaguzi Bw.Mtibora Seleman akifafanua jambo wakati wa semina hiyo.
Wanasemina wakifatilia kwa karibu mafunzo hayo yanayofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.UCHAGUZI MKUU MAANDALIZI KANDA YA ZIWA YAENDELEA VIZURINa Atley Kuni- The Power of Media grew.IMEFAHAMIKA kwamba maandalizi muhimu ya uchaguzi mkuu kwa mikoa ya kanda ya ziwa yanaendelea vizuri huku, waratibu wa uchaguzi, wasimamizi na maafisa uchaguzi kutoka mikoa ya Mwanza na Mara wakiaswa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
UCHAGUZI MKUU MAANDALIZI KANDA YA ZIWA YAENDELEA VIZURI, Wasimamizi waaswa kuzingatia Sheria, kanuni na taratibu





Imefahamika kwamba maandalizi muhimu ya uchaguzi mkuu kwa mikoa ya kanda ya ziwa yanaendelea...
10 years ago
StarTV01 Oct
Waratibu, wasimamizi watakiwa kuzingatia sheria
Waratibu, wasimamizi wa uchaguzi na wasaidizi wao katika majimbo mbalimbali nchini wametakiwa kuhakikisha wanazifahamu vyema sheria, kanuni na taratibu zinazotawala mchakato huo na kuzizingatia ipasavyo wakati wote wa utekekelezaji wa majukumu waliyopewa.
Lengo ni kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu ujao unakuwa huru na haki kwa kusimamia vyema zoezi la upigaji kura, kuhesabu, kujumlisha na kutangaza matokeo ili kudumisha amani na utulivu uliopo.
Zikiwa zimebaki siku 24 kabla ya kufanyika kwa...
10 years ago
Michuzi
BASATA LAWATAKA WAANDAAJI WA MASHINDANO/MATUKIO YA SANAA KUZINGATIA KANUNI NA TARATIBU ZAO

Pia,amewataka waandaaji wa mashindano na matamasha katika vitongoji kuwa makini katika kusimamia taratibu kwani ndiyo wanaoandaa washiriki ambao baadaye wanakuja kushiriki kwenye ngazi ya...
5 years ago
Michuzi
Kagurumjuli awataka BVR Kits Operators, wandishi waSaidizi kuzingatia kanuni na taratibu katika uboreshaji awamu ya pili daftari la mpigakura.



Watumishi wa BVR Oparetas Kts na waandishi wa saidizi wakiwa kwenye mafunzo ya namna ya kutumia mashine hizo pindi watakapokuwa kwenye majukumu ya kuwahudumia wananchi watakaofika kuhakiki taarifa zao ili waweze kupata kitambulisho cha mpiga kura.

Afisa mwandikishaji ambaye ndio Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Bwana Aron Kagurumjuli akizungumza na watumishi hawapo pichani waliokuwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura katika shule ya msingo...
11 years ago
Michuzi
WATUMISHI WA UMMA WAASWA KUZINGATIA KANUNI ZA MAADILI YA UTENDAJI KAZI ILI KUJENGA UTAWALA BORA.
Rai hiyo imetolewa na Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji (Mst.) Salome Kaganda wakati akizindua filamu ya “The Minister” iliyoandaliwa na Kampuni ya Equity Links Enterprises (ELE) katika ukumbi wa CENTURY CINEMAX THEATRE Jijini Dar es Salaam.
Mhe. Kaganda alifafanua kuwa katika utumishi wa umma kuna Kanuni za Maadili ya utendaji ...
10 years ago
Dewji Blog19 Oct
MAAFISA WA TUME YA UCHAGUZI: Watakiwa kufanyakazi zao kwa kuzingatia Sheria na taratibu!
baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku mbili kwa maafisa wa tume ya uchaguzi yaliyofanyika katika shule ya msingi Ikungi mchanganyiko
Na.Jumbe Ismailly.
[Ikungi-SINGIDA] Mkuu wa wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida ametoa wito kwa maafisa wa tume ya uchaguzi ngazi ya kata kuhakikisha viongozi watakaopatikana katika uchaguzi mkuu ujao wa Rais,wabunge na madiwani ni wale ambao wanatakiwa na wananchi na siyo wanaotakiwa na viongozi wa vyama vya siasa.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa wilaya ya...
11 years ago
Dewji Blog01 Sep
Tume ya Utumishi wa Umma yaendelea kuimarisha uzingatiaji wa sheria, kanuni na taratibu za masuala ya ajira
Naibu Katibu wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma Bi. Neema Tawale akieleza kwa waandishi wa Habari (Hawapo pichani) kuhusu tathmini ya Tume juu ya uzingatiaji wa sheria,kanuni na taratibu za masuala ya ajira katika utumishi wa uuma, wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Kaimu Katibu Msaidizi wa Tume hiyo Bw. John Mbisso.
Kaimu Katibu Msaidizi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma Bw. John Mbisso akiongea na waandishi wa (Hawapo pichani) kuhusu...
9 years ago
StarTV15 Nov
Wanahabari washauriwa kuzingatia sheria, na kanuni za uandikaji habari za bunge
Waandishi wa habari nchini wameshauriwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za uendeshwaji wa Bunge wakati wa kutoa habari zinazohusu Bunge kwa kuripoti habari zenye kuwagusa wananchi moja kwa moja kwa manufaa ya Watanzania .
Ushauri huo umetolewa na waandishi habari waandamizi ambao wamewataka waandishi kuacha kuandika habari kwa ushabiki usiokuwa na tija kwa wananchi bali kuzingatia miiko ya taaluma hiyo.
Wakati wabunge wateule wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wakiendelea na Usajili...
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
MSEMAJI WA SERIKALI: Uteuzi wa Wakuu wapya wa Wilaya uliofanywa na Rais ulizingatia Sheria,Kanuni na taratibu
Mkurugenzi Idara ya Habari, Assah Mwambene (kulia) akionesha kitabu cha Katiba ya Tanzania kifungu kinachompa mamlaka Rais kufanya uteuzi ilikuboresha Serikali yake awapo madarakani. kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Vicent Tiganya. Mkutano huo umefanyika leo katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Kufuatia vyombo vya habari nchini kuripoti ...