UCHAGUZI MKUU MAANDALIZI KANDA YA ZIWA YAENDELEA VIZURI, Wasimamizi waaswa kuzingatia Sheria, kanuni na taratibu
![](http://3.bp.blogspot.com/-0Nw7hzIETds/Vg68r_D1Y-I/AAAAAAAD_N8/-pKDh0Yusbc/s72-c/1.jpg)
Mwanasheria wa tume ya uchaguzi Bw.Mtibora Seleman akifafanua jambo wakati wa semina hiyo.
Wanasemina wakifatilia kwa karibu mafunzo hayo yanayofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.
Wanasemina ya masuala ya Uchaguzi kanda ya ziwa wakiwa darasani.
Msisitizo kutoka kwa mwanasheria.
Bi. Jessica Mongi kutoka tume ya uchaguzi hapa akionesha mfano wa utaratibu wa upigaji kura utakavyokuwa.
Imefahamika kwamba maandalizi muhimu ya uchaguzi mkuu kwa mikoa ya kanda ya ziwa yanaendelea...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Xa-yJtOOCwQ/Vg53srDXxWI/AAAAAAAH8WI/CjUgItHUsbY/s72-c/4.jpg)
WASIMAMIZI WAASWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xa-yJtOOCwQ/Vg53srDXxWI/AAAAAAAH8WI/CjUgItHUsbY/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_f1sCC9bEaU/Vg53r0iKktI/AAAAAAAH8WA/_E3mLl6dXo8/s640/2.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-NKipWL9_Isw/Vg562LUUItI/AAAAAAABhkQ/9sQkrVIl8kg/s72-c/1.jpg)
MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU KANDA YA ZIWA YAENDELEA VIZURI
![](http://4.bp.blogspot.com/-NKipWL9_Isw/Vg562LUUItI/AAAAAAABhkQ/9sQkrVIl8kg/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_a9bQACOGxQ/Vg562SkgRTI/AAAAAAABhkY/S8_HGP6erXY/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-q2yn7Wkng9s/Vg562bCG_MI/AAAAAAABhkU/7LxlDw8VptA/s640/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1G0OxAuQDTA/Vg563JfX-zI/AAAAAAABhko/d6YU9Oqs8Ic/s640/5.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Kanda ya Ziwa
Imefahamika kwamba maandalizi muhimu ya uchaguzi mkuu kwa mikoa ya kanda ya ziwa yanaendelea...
10 years ago
Dewji Blog01 Sep
Tume ya Utumishi wa Umma yaendelea kuimarisha uzingatiaji wa sheria, kanuni na taratibu za masuala ya ajira
Naibu Katibu wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma Bi. Neema Tawale akieleza kwa waandishi wa Habari (Hawapo pichani) kuhusu tathmini ya Tume juu ya uzingatiaji wa sheria,kanuni na taratibu za masuala ya ajira katika utumishi wa uuma, wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Kaimu Katibu Msaidizi wa Tume hiyo Bw. John Mbisso.
Kaimu Katibu Msaidizi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma Bw. John Mbisso akiongea na waandishi wa (Hawapo pichani) kuhusu...
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
MAAFISA WA TUME YA UCHAGUZI: Watakiwa kufanyakazi zao kwa kuzingatia Sheria na taratibu!
baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku mbili kwa maafisa wa tume ya uchaguzi yaliyofanyika katika shule ya msingi Ikungi mchanganyiko
Na.Jumbe Ismailly.
[Ikungi-SINGIDA] Mkuu wa wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida ametoa wito kwa maafisa wa tume ya uchaguzi ngazi ya kata kuhakikisha viongozi watakaopatikana katika uchaguzi mkuu ujao wa Rais,wabunge na madiwani ni wale ambao wanatakiwa na wananchi na siyo wanaotakiwa na viongozi wa vyama vya siasa.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa wilaya ya...
9 years ago
StarTV01 Oct
Waratibu, wasimamizi watakiwa kuzingatia sheria
Waratibu, wasimamizi wa uchaguzi na wasaidizi wao katika majimbo mbalimbali nchini wametakiwa kuhakikisha wanazifahamu vyema sheria, kanuni na taratibu zinazotawala mchakato huo na kuzizingatia ipasavyo wakati wote wa utekekelezaji wa majukumu waliyopewa.
Lengo ni kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu ujao unakuwa huru na haki kwa kusimamia vyema zoezi la upigaji kura, kuhesabu, kujumlisha na kutangaza matokeo ili kudumisha amani na utulivu uliopo.
Zikiwa zimebaki siku 24 kabla ya kufanyika kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ex1tb59m_Zk/VGbrppMeyFI/AAAAAAAGxUc/KX6jFKbP1TQ/s72-c/basata_logo.jpg)
BASATA LAWATAKA WAANDAAJI WA MASHINDANO/MATUKIO YA SANAA KUZINGATIA KANUNI NA TARATIBU ZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ex1tb59m_Zk/VGbrppMeyFI/AAAAAAAGxUc/KX6jFKbP1TQ/s1600/basata_logo.jpg)
Pia,amewataka waandaaji wa mashindano na matamasha katika vitongoji kuwa makini katika kusimamia taratibu kwani ndiyo wanaoandaa washiriki ambao baadaye wanakuja kushiriki kwenye ngazi ya...
9 years ago
MichuziKUELEKEA UCHAGUZI MKUU, TAMWA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA ZIWA
Wanahabari watapata fursa ya Kujadili yale yanayoendelea katika kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Octoba 25 mwaka huu na nanma Vyombo vya Habari/ Waandishi wa Habari wanavyoripoti habari za Uchaguzi Mkuu kwa kuzingatia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-axw1HP5NbYQ/XqwAQKhcHQI/AAAAAAALowQ/fU3N-qhdLA0I4BQCfpMXfbtN4spouQfnACLcBGAsYHQ/s72-c/a5c323a6-d09a-449b-91b7-86477f6b933f.jpg)
Kagurumjuli awataka BVR Kits Operators, wandishi waSaidizi kuzingatia kanuni na taratibu katika uboreshaji awamu ya pili daftari la mpigakura.
![](https://1.bp.blogspot.com/-axw1HP5NbYQ/XqwAQKhcHQI/AAAAAAALowQ/fU3N-qhdLA0I4BQCfpMXfbtN4spouQfnACLcBGAsYHQ/s640/a5c323a6-d09a-449b-91b7-86477f6b933f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MnknabWLYzg/XqwARkq4BVI/AAAAAAALowU/5rCse9uaY-0uIxzHY-ELOlKSaNPM9Zv4gCLcBGAsYHQ/s640/d6b363db-571b-4a89-ac0d-14fa7e841ce2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-cKengaOQx5s/XqwAQOqUTrI/AAAAAAALowI/6f6LMh5U8d81rr0gZqOSu3wKjGpr2p1wACLcBGAsYHQ/s640/85def334-f6d5-408b-857c-e6c1727e64c5.jpg)
Watumishi wa BVR Oparetas Kts na waandishi wa saidizi wakiwa kwenye mafunzo ya namna ya kutumia mashine hizo pindi watakapokuwa kwenye majukumu ya kuwahudumia wananchi watakaofika kuhakiki taarifa zao ili waweze kupata kitambulisho cha mpiga kura.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ilnMkyxbX8k/XqwAQI1jLVI/AAAAAAALowM/1ehw_uo0Hb0o6-qMLi5vEGWGrTv7QcFrQCLcBGAsYHQ/s640/c9ef0a25-435c-4ec7-b97e-4740133b31b7.jpg)
Afisa mwandikishaji ambaye ndio Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Bwana Aron Kagurumjuli akizungumza na watumishi hawapo pichani waliokuwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura katika shule ya msingo...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5Ci5pngqRg8/U9t0F0cU67I/AAAAAAAF8OM/jzKRXrAFz68/s72-c/pic+no.+1.jpg)
WATUMISHI WA UMMA WAASWA KUZINGATIA KANUNI ZA MAADILI YA UTENDAJI KAZI ILI KUJENGA UTAWALA BORA.
Rai hiyo imetolewa na Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji (Mst.) Salome Kaganda wakati akizindua filamu ya “The Minister” iliyoandaliwa na Kampuni ya Equity Links Enterprises (ELE) katika ukumbi wa CENTURY CINEMAX THEATRE Jijini Dar es Salaam.
Mhe. Kaganda alifafanua kuwa katika utumishi wa umma kuna Kanuni za Maadili ya utendaji ...