Waratibu, wasimamizi watakiwa kuzingatia sheria
Waratibu, wasimamizi wa uchaguzi na wasaidizi wao katika majimbo mbalimbali nchini wametakiwa kuhakikisha wanazifahamu vyema sheria, kanuni na taratibu zinazotawala mchakato huo na kuzizingatia ipasavyo wakati wote wa utekekelezaji wa majukumu waliyopewa.
Lengo ni kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu ujao unakuwa huru na haki kwa kusimamia vyema zoezi la upigaji kura, kuhesabu, kujumlisha na kutangaza matokeo ili kudumisha amani na utulivu uliopo.
Zikiwa zimebaki siku 24 kabla ya kufanyika kwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cuK5_9QQ0Jo/VgqHVJbTkLI/AAAAAAAAT_4/nzf1b9h7muY/s72-c/abbas-kandoro10.jpg)
WASIMAMIZI NA WARATIBU WA UCHAGUZI MIKOA YA IRINGA MBEYA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA UPENDELEO KWA WAGOMBEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-cuK5_9QQ0Jo/VgqHVJbTkLI/AAAAAAAAT_4/nzf1b9h7muY/s640/abbas-kandoro10.jpg)
WITO umetolewa kwa Waratibu wa uchaguzi wa mikoa ,wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi pamoja na maafisa uchaguzi wa halmashauri mikoa ya kanda za juu kusini kuhakikisha wanafanya kazi zao kwa waledi na kwa uadilifu bila kuwa na upendeleo wa chama chochote cha siasa ua mgombea.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Ndugu Abbas Kandoro wakati akifungua mafunzo ya wasimamizi wa uchaguzi na...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Xa-yJtOOCwQ/Vg53srDXxWI/AAAAAAAH8WI/CjUgItHUsbY/s72-c/4.jpg)
WASIMAMIZI WAASWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xa-yJtOOCwQ/Vg53srDXxWI/AAAAAAAH8WI/CjUgItHUsbY/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_f1sCC9bEaU/Vg53r0iKktI/AAAAAAAH8WA/_E3mLl6dXo8/s640/2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
WASIMAMIZI WA UCHAGUZI SINGIDA: Watakiwa kusimamia shughuli zao kwa kuzingatia Haki,Uadilifu na kutopendela chama!
Mkuu wa wilaya ya Singida,Bwana Saidi Amanzi(aliyesimama) akifungua semina ya siku mbili kwa wasimamizi 42 kutoka jimbo la Singida kaskazini.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na. Jumbe Ismailly
[SINGIDA] MKUU wa Wilaya ya Singida,Saidi Amanzi amewaagiza wasimamizi wa uchaguzi wa wilaya hiyo kuhakikisha wanakwenda kusimamia shughuli za uchaguzi kwa kuzingatia haki,uadilifu,bila upendeleo na kwa kutoegemea upande wowote.
Mkuu wa wilaya huyo alitoa agizo hilo kwenye ufunguzi wa semina ya siku...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-0Nw7hzIETds/Vg68r_D1Y-I/AAAAAAAD_N8/-pKDh0Yusbc/s72-c/1.jpg)
UCHAGUZI MKUU MAANDALIZI KANDA YA ZIWA YAENDELEA VIZURI, Wasimamizi waaswa kuzingatia Sheria, kanuni na taratibu
![](http://3.bp.blogspot.com/-0Nw7hzIETds/Vg68r_D1Y-I/AAAAAAAD_N8/-pKDh0Yusbc/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-slyTEiBm3Bc/Vg68r0Bya8I/AAAAAAAD_OE/EUQRDciXQq0/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RxGR7XVJ_os/Vg68r4LSkbI/AAAAAAAD_OA/Hwd_l-Iqlfo/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-de1bJwf0LE0/Vg68sMyCYFI/AAAAAAAD_OQ/JHUZKJYPUvc/s640/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SlJTwZgjf9U/Vg68sYBlD9I/AAAAAAAD_OM/Czdgf5_U9wY/s640/5.jpg)
Imefahamika kwamba maandalizi muhimu ya uchaguzi mkuu kwa mikoa ya kanda ya ziwa yanaendelea...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-E1shGurwDYw/VW7I2SAc4DI/AAAAAAAHbjc/0eHWliO4Y3M/s72-c/picha%2Bn0.%2B1.jpg)
Makampuni, Wachimbaji madini watakiwa kuzingatia Sheria za Mazingira
Kampuni za uchimbaji madini, utafutaji mafuta na gesi wakiwemo wachimbaji wadogo nchini, wametakiwa kuzingatia sheria na kanuni za uhifadhi wa mazingira wakati wanapotekeleza shughuli zao, ili kuwezesha rasilimali zinazopatikana ardhini ziweze kuwa endelevu kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
Rai hiyo imetolewa na na Mhandisi wa Mazingira kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Ephraim Mushi wakati wa Maadhimisho ya siku ya Mazingira duniani yanayoendelea...
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
MAAFISA WA TUME YA UCHAGUZI: Watakiwa kufanyakazi zao kwa kuzingatia Sheria na taratibu!
baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku mbili kwa maafisa wa tume ya uchaguzi yaliyofanyika katika shule ya msingi Ikungi mchanganyiko
Na.Jumbe Ismailly.
[Ikungi-SINGIDA] Mkuu wa wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida ametoa wito kwa maafisa wa tume ya uchaguzi ngazi ya kata kuhakikisha viongozi watakaopatikana katika uchaguzi mkuu ujao wa Rais,wabunge na madiwani ni wale ambao wanatakiwa na wananchi na siyo wanaotakiwa na viongozi wa vyama vya siasa.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa wilaya ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xhOlC1v97nk/VCLT4p3rZ2I/AAAAAAAGlis/5D0m5COz2W4/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
SERIKALI YAWATAKA WASIMAMIZI NA WADADISI WA UTAFITI WA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA NCHINI KUZINGATIA WELEDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-xhOlC1v97nk/VCLT4p3rZ2I/AAAAAAAGlis/5D0m5COz2W4/s1600/unnamed%2B(85).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vtc5J0DTJXI/VCLT40NZ3dI/AAAAAAAGlik/vQVqBb9F6NY/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-neU-d-apMgk/VCLT4oU8akI/AAAAAAAGlig/JiiL9jV3wfU/s1600/unnamed%2B(87).jpg)
10 years ago
Habarileo07 Nov
Wasimamizi watakiwa kuacha upendeleo
OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa ya Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imewataka wasimamizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, kuacha upendeleo kwa wagombea, ushabiki wa kisiasa kwa vyama vya siasa ama wagombea wa vyama na hivyo kutakiwa kuwashirikisha wadau wa uchaguzi hasa viongozi wa vyama vya siasa vilivyopo katika maeneo yao.
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Wasimamizi wa uchaguzi watakiwa kutoa matokeo haraka