Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASIMAMIZI NA WARATIBU WA UCHAGUZI MIKOA YA IRINGA MBEYA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA UPENDELEO KWA WAGOMBEA

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro (PICHA MAKTABA)Na Kahema Emanuel,Mbeya
WITO umetolewa kwa Waratibu  wa uchaguzi wa mikoa ,wasimamizi  wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi pamoja na maafisa uchaguzi wa halmashauri mikoa ya kanda za juu kusini  kuhakikisha wanafanya kazi zao kwa waledi na kwa uadilifu bila kuwa na upendeleo wa chama chochote cha siasa ua mgombea.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Ndugu Abbas Kandoro wakati akifungua mafunzo ya wasimamizi wa uchaguzi na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wasimamizi watakiwa kuacha upendeleo

OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa ya Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imewataka wasimamizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, kuacha upendeleo kwa wagombea, ushabiki wa kisiasa kwa vyama vya siasa ama wagombea wa vyama na hivyo kutakiwa kuwashirikisha wadau wa uchaguzi hasa viongozi wa vyama vya siasa vilivyopo katika maeneo yao.

 

9 years ago

StarTV

Waratibu, wasimamizi watakiwa kuzingatia sheria

Waratibu, wasimamizi wa uchaguzi na wasaidizi wao katika majimbo mbalimbali nchini wametakiwa kuhakikisha wanazifahamu vyema sheria, kanuni na taratibu zinazotawala mchakato huo na kuzizingatia ipasavyo wakati wote wa utekekelezaji wa majukumu waliyopewa.

Lengo ni kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu ujao unakuwa huru na haki kwa kusimamia vyema zoezi la upigaji kura, kuhesabu, kujumlisha na kutangaza matokeo ili kudumisha amani na utulivu uliopo.

Zikiwa zimebaki siku 24 kabla ya kufanyika kwa...

 

5 years ago

Michuzi

WARATIBU WA TARURA WA MIKOA WATAKIWA KUFANYA UKAGUZI WA MARA KWA MARA KATIKA MADARAJA NA BARABARA

Na. Erick Mwanakulya Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amewataka Waratibu wote wa TARURA nchini kufanya ukaguzi wa mara kwa mara katika barabara na madaraja ili kubaini maeneo yanayohitaji ukarabati na kuyafanyia kazi kabla ya kuleta madhara. Mhandisi Seff ameyasema hayo, alipokutana na Waratibu wa TARURA wa Mikoa jijini Dodoma katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi za TARURA Makao Makuu zilizopo Mtumba, ikiwa ni sehemu ya kikao kazi...

 

9 years ago

Dewji Blog

WASIMAMIZI WA UCHAGUZI SINGIDA: Watakiwa kusimamia shughuli zao kwa kuzingatia Haki,Uadilifu na kutopendela chama!

SAM_0215 Mkuu wa wilaya ya Singida,Bwana Saidi Amanzi(aliyesimama) akifungua semina ya siku mbili kwa wasimamizi 42 kutoka jimbo la Singida kaskazini.(Picha  zote  na Jumbe Ismailly).

Na. Jumbe Ismailly

[SINGIDA] MKUU wa Wilaya ya Singida,Saidi Amanzi amewaagiza wasimamizi wa uchaguzi wa wilaya hiyo kuhakikisha wanakwenda kusimamia shughuli za uchaguzi kwa kuzingatia haki,uadilifu,bila upendeleo na kwa kutoegemea upande wowote.

Mkuu wa wilaya huyo alitoa agizo hilo kwenye ufunguzi wa semina ya siku...

 

9 years ago

Mwananchi

Wasimamizi wa uchaguzi watakiwa kutoa matokeo haraka

Umoja wa waangalizi wa ndani wa uchaguzi (Cemot) umewataka wasimamizi wa uchaguzi kutoa matokeo haraka katika maeneo ambayo zoezi la kuhesabu kura limeshakamilika ili kuondoa hali ya mashaka na sintofahamu miongoni mwa wananchi.

 

10 years ago

Michuzi

Mkurabita yaendelea na Urasimishaji biashara na Rasilimali za Wanyonge katika mikoa ya Mbeya, iringa na morogoro

 Mkurugenzi wa Liganga Blacksmith Group,akizungumza na wanahabari na kuwaonyesha bidhaa zinazotengenezwana kampuni hiyo walipoanzia na sasa walipo baada ya kupata mafunzo na kuwa wakopaji wazuri kwenye taasisi za fedha za mkoa huo. Kemy Kiula, Mwenyekiti wa Kikundi cha wanaushirika cha trust deed of the regegistered of Tanzania, akipanga biashara na mwanaushirika mwenzake biashara zao zimerasimishwa na wameanza kujipatia mikopo.  wananchi wa morogoro eneo la kihondana viongozi wa manispaa ya...

 

9 years ago

StarTV

Kuelekea uchaguzi mkuu Wananchi watakiwa kuwahoji wagombea Wao

Zikiwa zimesalia siku chache kupiga kura, watanzania wamekumbushwa  kuendelea kuwahoji wagombea katika dakika hizi za lala salama ili waweze kumbaini mgombea mwenyenia ya kuleta maendeleo ya kweli.

Kitendo cha kuwahoji wagombea bila kujali itikadi ya vyama vyao kinatoa fursa kwa wananchi kumtambua kila mgombea  katika kuchochea mabadiliko.

 Ni katika mdahalo ulioandaliwa na taasisi ya Wazo huru ukiwakutanisha wabunge wa jimbo la Nyamagana lengo likiwa ni kushindanisha sera za vyama...

 

10 years ago

Vijimambo

ZAIDI YA WAFANYABIASHARA 100 KUTOKA MIKOA YA MBEYA,IRINGA,NJOMBE KUHUDHURIA MAONESHO NCHINI AFRIKA KUSINI

Makamu Mwenyekiti Chama cha wafanyabiashara wa Kilimo na Viwanda Mkoa wa Mbeya ( TCCIA)wa Kwanza kulia Ndugu Emire Mahinza akizungumza na waandishi wa habri juu ya safari hiyo akiwa pamoja na Makamu Rais wa TCCIA Tanzania wa Pili kulia Ndugu Julius Kaijage pamoja na Mkurugenzi wa Blue Bird Burue De Change ya jijiji Mbeya Ndugu Janko Ndigo
- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2015/02/wafanyabiashara-zaidi-100-kutoka-mikoa.html#sthash.nKhTlXrj.dpuf
Mkurugenzi wa Blue Bird Burue De Change...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani