Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkurabita yaendelea na Urasimishaji biashara na Rasilimali za Wanyonge katika mikoa ya Mbeya, iringa na morogoro

 Mkurugenzi wa Liganga Blacksmith Group,akizungumza na wanahabari na kuwaonyesha bidhaa zinazotengenezwana kampuni hiyo walipoanzia na sasa walipo baada ya kupata mafunzo na kuwa wakopaji wazuri kwenye taasisi za fedha za mkoa huo. Kemy Kiula, Mwenyekiti wa Kikundi cha wanaushirika cha trust deed of the regegistered of Tanzania, akipanga biashara na mwanaushirika mwenzake biashara zao zimerasimishwa na wameanza kujipatia mikopo.  wananchi wa morogoro eneo la kihondana viongozi wa manispaa ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MOROGORO, IRINGA, MBEYA WAPATA MABINGWA WA SAFARI POOL

Mweka hazina wa chama cha pool taifa (TAPA), Zaholo Ligalu (kushoto), akimkabidhi nahodha wa klabu ya Anatori ya Morogoro  Shilingi 800/000/= baada ya kuibuka mabingwa. Baadhi ya wachezaji wa pool wa klabu ya Anatory ya Morogoro wakishangilia fedha za ushindi. KLABU za Anatory ya Morogoro, Ngija Masters ya Iringa na Break Point ya Mbeya… ...

 

9 years ago

Michuzi

WASIMAMIZI NA WARATIBU WA UCHAGUZI MIKOA YA IRINGA MBEYA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA UPENDELEO KWA WAGOMBEA

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro (PICHA MAKTABA)Na Kahema Emanuel,Mbeya
WITO umetolewa kwa Waratibu  wa uchaguzi wa mikoa ,wasimamizi  wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi pamoja na maafisa uchaguzi wa halmashauri mikoa ya kanda za juu kusini  kuhakikisha wanafanya kazi zao kwa waledi na kwa uadilifu bila kuwa na upendeleo wa chama chochote cha siasa ua mgombea.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Ndugu Abbas Kandoro wakati akifungua mafunzo ya wasimamizi wa uchaguzi na...

 

10 years ago

Vijimambo

ZAIDI YA WAFANYABIASHARA 100 KUTOKA MIKOA YA MBEYA,IRINGA,NJOMBE KUHUDHURIA MAONESHO NCHINI AFRIKA KUSINI

Makamu Mwenyekiti Chama cha wafanyabiashara wa Kilimo na Viwanda Mkoa wa Mbeya ( TCCIA)wa Kwanza kulia Ndugu Emire Mahinza akizungumza na waandishi wa habri juu ya safari hiyo akiwa pamoja na Makamu Rais wa TCCIA Tanzania wa Pili kulia Ndugu Julius Kaijage pamoja na Mkurugenzi wa Blue Bird Burue De Change ya jijiji Mbeya Ndugu Janko Ndigo
- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2015/02/wafanyabiashara-zaidi-100-kutoka-mikoa.html#sthash.nKhTlXrj.dpuf
Mkurugenzi wa Blue Bird Burue De Change...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF YAENDELEA NA MPANGO WAKE WA KUPELEKA MADAKTARI BINGWA KATIKA MIKOA YA PEMBEZONI

1 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Bi. Fatma Ali akizungumza na wananchi kabla ya kuzindua mpango wa kupeleka madaktari Bingwa katika mikoa ya pembezoni ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa kusafiri umbali mrefu kwenda kufuata huduma hizo katika hospitali kubwa, 22. Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bwana Raphael Mwamoto, akitoa maelezo kuhusu mpango wa Madaktari Bingwa wanaopelekwa mikoani na Mfuko huo. 3Baadhi ya wakazi wa Mtwara wakisubiri huduma za madaktari...

 

11 years ago

Mwananchi

Urasimishaji wa biashara ni muhimu (2)

Binadamu anapozaliwa hupewa jina ambalo humtambulisha au humtofautisha na binadamu wenzingine. Hata hivyo kutokana na mabadiliko ya sayansi, teknolojia na kijamii baadhi ya watoto hupewa majina hata wangali tumboni mwa mama zao! 

 

10 years ago

Michuzi

GEPF KWA KUSHIRIKANA NA JESHI LA MAGEREZA KUWEKEZA KWA PAMOJA KATIKA UJENZI WA ‘SHOPPING MALLS’ KATIKA MIKOA YA MOROGORO NA KILIMANJARO

Wawakilishi kutoka katika Mfuko wa GEPF pamoja na kampuni za PSM Archtect, M/S Interconsult Ltd na Matawana Consulting Group wakijadiliana kabla ya kutiliana saini kwa mkataba wa makubaliano katika Ujenzi wa 'Shopping mallas' katika mikoa ya Morogoro na Kilimanjaro.Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa GEPF, Daud Msangi (alieketi kulia) pamoja na Meneja wa Mradi kutoka PSM Archtect Co Ltd,Peter Matinde wakifurahia jambo pamoja na wawakilishi kutoka taasisi zao,wakati wa kutiliana saini...

 

11 years ago

Michuzi

AICC YAENDELEA KUWAKILISHA KATIKA MICHEZO YA MEI MOSI MJINI MOROGORO

 Mwakilishi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Rutunda Boniface (wa pili kushoto) akiwa katika mstari tayari kwa ajili ya kuanza mbio za baiskeli za Kilomita 15 katika michezo ya Mei Mosi inayoendelea mjini Moorogoro. Rashid Habib Rashid wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) kushoto akipambana na mpinzani wake kutoka Ofisi ya Rais katika mchezo wa karata, ikiwa ni sehemu ya michezo ya Mei Mosi inayoendelea mjini Moorogoro. (Picha na Rodney Thadeus wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Urasimishaji biashara na faida zake kiuchumi

UCHUMI wa Tanzania umeelezwa kuimarika huku pato laifa likikuwa kwa asilimia 7, lakini ukuaji huo hauna matokeo chanya kwa mwananchi. Moja ya sababu kubwa ni kwamba watu wengi hawajarasimisha rasilimali...

 

11 years ago

Mwananchi

Urasimishaji wa biashara ndogo ni jambo muhimu

Urasimishaji biashara, yaani kuifanya biashara itambulike kisheria, ni hatua muhimu sana katika maendeleo ya biashara na taifa kwa ujumla, ingawa wajasiriamali wengi hawajarasimisha biashara zao kwa kuwa baadhi yao hawajua hatua mbalimbali zinazotakiwa kufuatwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani