Mkurabita yaendelea na Urasimishaji biashara na Rasilimali za Wanyonge katika mikoa ya Mbeya, iringa na morogoro
![](http://2.bp.blogspot.com/-SPDnDSC8MWk/VYc4rSpLKcI/AAAAAAAHiRU/oBx57ZJO1II/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
Mkurugenzi wa Liganga Blacksmith Group,akizungumza na wanahabari na kuwaonyesha bidhaa zinazotengenezwana kampuni hiyo walipoanzia na sasa walipo baada ya kupata mafunzo na kuwa wakopaji wazuri kwenye taasisi za fedha za mkoa huo.
Kemy Kiula, Mwenyekiti wa Kikundi cha wanaushirika cha trust deed of the regegistered of Tanzania, akipanga biashara na mwanaushirika mwenzake biashara zao zimerasimishwa na wameanza kujipatia mikopo.
wananchi wa morogoro eneo la kihondana viongozi wa manispaa ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMOROGORO, IRINGA, MBEYA WAPATA MABINGWA WA SAFARI POOL
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cuK5_9QQ0Jo/VgqHVJbTkLI/AAAAAAAAT_4/nzf1b9h7muY/s72-c/abbas-kandoro10.jpg)
WASIMAMIZI NA WARATIBU WA UCHAGUZI MIKOA YA IRINGA MBEYA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA UPENDELEO KWA WAGOMBEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-cuK5_9QQ0Jo/VgqHVJbTkLI/AAAAAAAAT_4/nzf1b9h7muY/s640/abbas-kandoro10.jpg)
WITO umetolewa kwa Waratibu wa uchaguzi wa mikoa ,wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi pamoja na maafisa uchaguzi wa halmashauri mikoa ya kanda za juu kusini kuhakikisha wanafanya kazi zao kwa waledi na kwa uadilifu bila kuwa na upendeleo wa chama chochote cha siasa ua mgombea.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Ndugu Abbas Kandoro wakati akifungua mafunzo ya wasimamizi wa uchaguzi na...
10 years ago
VijimamboZAIDI YA WAFANYABIASHARA 100 KUTOKA MIKOA YA MBEYA,IRINGA,NJOMBE KUHUDHURIA MAONESHO NCHINI AFRIKA KUSINI
- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2015/02/wafanyabiashara-zaidi-100-kutoka-mikoa.html#sthash.nKhTlXrj.dpuf
Mkurugenzi wa Blue Bird Burue De Change...
10 years ago
Michuzi02 Jun
NHIF YAENDELEA NA MPANGO WAKE WA KUPELEKA MADAKTARI BINGWA KATIKA MIKOA YA PEMBEZONI
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1.jpeg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2.jpeg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/33.jpg)
11 years ago
Mwananchi22 May
Urasimishaji wa biashara ni muhimu (2)
10 years ago
MichuziGEPF KWA KUSHIRIKANA NA JESHI LA MAGEREZA KUWEKEZA KWA PAMOJA KATIKA UJENZI WA ‘SHOPPING MALLS’ KATIKA MIKOA YA MOROGORO NA KILIMANJARO
11 years ago
MichuziAICC YAENDELEA KUWAKILISHA KATIKA MICHEZO YA MEI MOSI MJINI MOROGORO
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Urasimishaji biashara na faida zake kiuchumi
UCHUMI wa Tanzania umeelezwa kuimarika huku pato laifa likikuwa kwa asilimia 7, lakini ukuaji huo hauna matokeo chanya kwa mwananchi. Moja ya sababu kubwa ni kwamba watu wengi hawajarasimisha rasilimali...
11 years ago
Mwananchi15 May
Urasimishaji wa biashara ndogo ni jambo muhimu