NHIF YAENDELEA NA MPANGO WAKE WA KUPELEKA MADAKTARI BINGWA KATIKA MIKOA YA PEMBEZONI
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Bi. Fatma Ali akizungumza na wananchi kabla ya kuzindua mpango wa kupeleka madaktari Bingwa katika mikoa ya pembezoni ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa kusafiri umbali mrefu kwenda kufuata huduma hizo katika hospitali kubwa,
2. Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bwana Raphael Mwamoto, akitoa maelezo kuhusu mpango wa Madaktari Bingwa wanaopelekwa mikoani na Mfuko huo.
Baadhi ya wakazi wa Mtwara wakisubiri huduma za madaktari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vPpi-w0_jKw/VO8bNVdGLpI/AAAAAAAAqZc/LmrvzBlYYkQ/s72-c/DSC_0254.jpg)
NHIF KUPELEKA MADAKTARI BINGWA MIKOA YA PEMBEZI WA NCHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vPpi-w0_jKw/VO8bNVdGLpI/AAAAAAAAqZc/LmrvzBlYYkQ/s1600/DSC_0254.jpg)
Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unatarajia kupeleka madaktari bingwa katika mikoa ya pembezoni kwa ajili ya kutoa huduma za kitaalam kwa wakazi wa maeneo hayo.
Kupeleka kwa...
9 years ago
StarTV17 Dec
NHIF kupeleka madaktari bingwa mikoani kusaidia kuokoa  Maisha Ya Masikini
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Parseko Kone amesema mpango wa Mfuko wa Taifa wa Bima Afya NHIF kupeleka madaktari bingwa kutoa huduma mikoani umesaidia kuokoa maisha ya wananchi masikini ambao wangeshindwa kumudu gharama za usafi na malazi kuwafuata waliko.
Dokta Kone ametoa kauli hiyo leo kwenye uzinduzi wa shughuli za madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambao wako Singida kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa kitaalamu na kutibu wanachama wa Bima ya Afya pamoja na...
10 years ago
MichuziNHIF WAZINDUA MPANGO WA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA MANYARA.
Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, wakishuhudia Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Nkaya akizindua mpango wa huduma za madaktari bingwa mkoani humo, zilizowezeshwa na NHIF
10 years ago
MichuziNHIF KUPIMA AFYA NA KUKUSANYA DAMU KWA USHIRIKIANO WA MPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA KATIKA MIKOA SITA
9 years ago
MichuziNHIF yapeleka Madaktari Bingwa Kagera, Yaonya wadanyabyifu
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya umesema hautawavumilia watumishi katika hospitali ya Mkoa wa Kagera wanaojihusisha na vitendo vya kughushi nyaraka za kuchukulia dawa katika maduka ya dawa na kuusababishia Mfuko kulipa fedha ambazo hazijatumika kihalali.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo Bw. Michael Mhando ameyasema hayo mjini hapa wakati akizungumza na uongozi wa Hospitali ya Mkoa wa Kagera kabla ya uzinduzi wa mpango wa Madaktari Bingwa ambao wamepelekwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-e1lpdEO_e64/VPRxz3uhFWI/AAAAAAAAMdY/xtkPLd7OIXU/s72-c/NHIF%2BTABORA.5.jpg)
NHIF YAZINDUA HUDUMA ZA MATIBABU ZINAZOTOLEWA BURE NA MADAKTARI BINGWA-TABORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-e1lpdEO_e64/VPRxz3uhFWI/AAAAAAAAMdY/xtkPLd7OIXU/s1600/NHIF%2BTABORA.5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DAusR2we7DY/VPRw8wZCiBI/AAAAAAAAMdI/i59TF8Und3w/s1600/NHIF%2BTABORA.3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aY2L5iPTmPM/VPRwoq4HKCI/AAAAAAAAMdA/LYUiHUkZcO8/s1600/NHIF%2BTABORA.2.jpg)
9 years ago
Michuzi21 Oct
NHIF YAENDELEA NA MPANGO WA KIKOA.
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/DSC_0019.jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
NHIF yaendelea na mpango wa kikoa!
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti, Rehani Athumani wa NHIF (katikati), akizungumza na wanachama wapya wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kupitia Mpango wa KIKOA (hawapo pichani) wakati wa hafla ya uzinduzi wa mpango huo kuwakabidhi kadi ya uanachama wapatao 25 wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kupitia Mpango mpango wa KIKOA (kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi YETU MICROFINANCE PLC, Bw.Altemius Millinga, (watatu kulia) Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii, Bw. Eugen Mikongoti. hafla hiyo...
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) wazindua huduma za madaktari bingwa mkoani Singida!!