Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NHIF YAENDELEA NA MPANGO WAKE WA KUPELEKA MADAKTARI BINGWA KATIKA MIKOA YA PEMBEZONI

1 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Bi. Fatma Ali akizungumza na wananchi kabla ya kuzindua mpango wa kupeleka madaktari Bingwa katika mikoa ya pembezoni ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa kusafiri umbali mrefu kwenda kufuata huduma hizo katika hospitali kubwa, 22. Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bwana Raphael Mwamoto, akitoa maelezo kuhusu mpango wa Madaktari Bingwa wanaopelekwa mikoani na Mfuko huo. 3Baadhi ya wakazi wa Mtwara wakisubiri huduma za madaktari...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NHIF KUPELEKA MADAKTARI BINGWA MIKOA YA PEMBEZI WA NCHI

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Kitabibu na Kitaalam wa NHIF,Dkt. Aifena Mramba (kulia) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) wakati akizungumzia juu ya huduma ya madaktari bingwa katika mikoa ya pembezoni.Kushoto ni Meneja Masoko na Elimu kwa Umma wa NHIF,Angela Mziray.
Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unatarajia kupeleka madaktari bingwa katika mikoa ya pembezoni kwa ajili ya kutoa huduma za kitaalam kwa wakazi wa maeneo hayo.

Kupeleka kwa...

 

9 years ago

StarTV

NHIF kupeleka madaktari bingwa mikoani kusaidia kuokoa  Maisha Ya Masikini

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Parseko Kone amesema mpango wa Mfuko wa Taifa wa Bima Afya NHIF kupeleka madaktari bingwa kutoa huduma mikoani umesaidia kuokoa maisha ya wananchi masikini ambao wangeshindwa kumudu gharama za usafi na malazi kuwafuata waliko.

Dokta Kone ametoa kauli hiyo leo kwenye uzinduzi wa shughuli za madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambao wako Singida kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa kitaalamu na kutibu wanachama wa Bima ya Afya pamoja na...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF WAZINDUA MPANGO WA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA MANYARA.

 Meneja wa NHIF Mkoa wa Manyara, Innocent Mauki akiwakaribisha viongozi wa NHIF makao makuu na uongozi wa Mkoa wa Manyara, kwenye uzinduzi wa mpango wa huduma za madaktari bingwa Mkoani Manyara. 
Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, wakishuhudia Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Nkaya akizindua mpango wa huduma za madaktari bingwa mkoani humo, zilizowezeshwa na NHIF Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Nkaya Bendera akizungumza asubhi ya leo kwa kuwa mkoa huo kujiunga na mfuko wa...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF KUPIMA AFYA NA KUKUSANYA DAMU KWA USHIRIKIANO WA MPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA KATIKA MIKOA SITA

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Michael Mhando akizungumza na Waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusiana na zoezi la upimaji afya na kukusanya damu salama kwa ushirikiano na Mpango wa damu salama katika mikoa sita nchini. Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Mpango wa taifa wa Damu Salama, Rajab Mwenda.Baadhi ya maofisa wa NHIF walioshiriki mkutano huo na waandishi wa habari wakifuatilia kwa makini. **********

 

9 years ago

Michuzi

NHIF yapeleka Madaktari Bingwa Kagera, Yaonya wadanyabyifu

Na Grace Michael, Kagera
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya umesema hautawavumilia watumishi katika hospitali ya Mkoa wa Kagera wanaojihusisha na vitendo vya kughushi nyaraka za kuchukulia dawa katika maduka ya dawa na kuusababishia Mfuko kulipa fedha ambazo hazijatumika kihalali.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo Bw. Michael Mhando ameyasema hayo mjini hapa wakati akizungumza na uongozi wa Hospitali ya Mkoa wa Kagera kabla ya uzinduzi wa mpango wa Madaktari Bingwa ambao wamepelekwa na...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF YAZINDUA HUDUMA ZA MATIBABU ZINAZOTOLEWA BURE NA MADAKTARI BINGWA-TABORA

Mkuu wa mkoa wa Tabora  Bw.Ludovick Mwananzila (kulia) akikabidhi msaada wa shuka kwa Mganga mkuu wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tabora Kitete Dr.Gunini Kamba,katikati ni Katibu tawala mkoa wa Tabora Bi.Kudra Mwinyimvua.Mkuu wa mkoa wa Tabora akihutubia wakati wa Uzinduzi wa huduma ya Madaktari bingwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tabora Kitete,huduma ambayo inaratibiwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF ikiwa ni hatua ya kuwahamasisha wananchi kujiunga na Mfuko huo.
Mjumbe wa...

 

9 years ago

Michuzi

NHIF YAENDELEA NA MPANGO WA KIKOA.

????????????????????????????????????Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti, Rehani Athumani wa NHIF (katikati), akizungumza na wanachama wapya wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kupitia Mpango wa KIKOA (hawapo pichani) wakati wa hafla ya uzinduzi wa mpango huo kuwakabidhi kadi ya uanachama wapatao 25 wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kupitia Mpango mpango wa KIKOA (kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi YETU MICROFINANCE PLC, Bw.Altemius Millinga, (watatu kulia) Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii, Bw. Eugen Mikongoti. hafla...

 

9 years ago

Dewji Blog

NHIF yaendelea na mpango wa kikoa!

????????????????????????????????????Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti, Rehani Athumani wa NHIF (katikati), akizungumza na wanachama wapya wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kupitia Mpango wa KIKOA (hawapo pichani) wakati wa hafla ya uzinduzi wa mpango huo kuwakabidhi kadi ya uanachama wapatao 25 wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kupitia Mpango mpango wa KIKOA (kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi YETU MICROFINANCE PLC, Bw.Altemius Millinga, (watatu kulia) Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii, Bw. Eugen Mikongoti. hafla hiyo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) wazindua huduma za madaktari bingwa mkoani Singida!!

IMG_1247

Kaimu mkurugenzi mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF),Michael Mhando,akitoa ufafanuzi juu ya lengo la mfuko huo kutuma madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali mikoani,kuwa pamoja na mambo mengine,ni kusogeza karibu zaidi  huduma zinazotolewa na madakatari hao ambao ni adimu.Wa pili kushoto (waliokaa) ni mkuu wa mkoa wa Singida, DkParseko Kone na wa kwanza kulia ni katibu tawala mkoa wa Singida, Festo Kang’ombe. Na Nathaniel Limu [Singida] Serikali mkoani  Singida, imewataka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani