Wajasiriamali waaswa kuzingatia viwango
WAJASIRIAMALI wadogo na wa kati nchini wametakiwa kuzalisha bidhaa bora kwa kuzingatia viwango vinavyotakiwa kwa mtumiaji. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam juzi, Msemaji wa Shirika la ViwangoTanzania...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CNV8H_qNsos/XlKbXmWYVFI/AAAAAAALe7E/wKYLpZhKNQgaN-5faV6NC7hHTBw-67yZACLcBGAsYHQ/s72-c/3ba8b1f5-4f7d-4569-8486-99f701e39935.jpg)
Wazalishaji watakiwa kuzingatia viwango
WAZALISHAJI wa bidhaa mbalimbali mkoani Singida wametakiwa kutambua kuwa suala la viwango ni la kisheria hivyo ni lazima kuthibitisha ubora wa bidhaa ili kumlinda mlaji na kupata uhakika wa soko la bidhaa wanazozizalisha.
Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Dkt Rehema Nchimbi alipokuwa akifungua mafunzo ya wazalishaji wa bidhaa za vyakula yakiwemo mafuta ya alizeti na wauzaji wa vipodozi na vyakula yaliyofanyika katika ukumbi wa...
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Wajasiriamali zingatieni viwango mpate masoko ya kimataifa
SIKU hakuna jambo baya kama kusikiliza na kulibeba kama lilivyo, kufanya hivyo kunaweza kuathiri mfumo wako wa maisha. Nazungumzia wajasiriamali wadogo wanaoingia katika soko la ajira kwa lengo kukabiliana na...
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Waandaaji wa Tuzo za filamu nchini washauriwa kuzingatia viwango na ubora wa kazi za wasanii
Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo (kushoto) akiwa katika kikao cha majadiliano na kamati ya Maandalizi ya Nyumbani Kiswahili Film Awards yaliyofanyika hivi karibuni ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi Nyumbani Kiswahili Film Awards Bw. Fadhil Francis Mfate akichangia hoja wakati wa kikao cha majadiliano kuhusu maandalizi ya Tuzo hizo yaliyofanyika katika ofisi za Bodi ya Filamu hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni...
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wananchi waaswa kuzingatia usafi wa mazingira
Afisa Afya wa Manispaa ya Temeke Bw.Willium Muhemu akifafanua kwa waandishi wa habari mafanikio yaliyofikiwa na Manispaa hiyo katika kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi pamoja na watu wote wanaochafua mazingira,Kulia ni Afisa Uhusiano wa Manispa hiyo Bi. Joyce Nsumba.(Picha zote na FRANK MVUNGI-maelezo).
Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke Bw.Ernest Mamuya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu hatua...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Askari JWTZ waaswa kuzingatia mafunzo
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CrxqT9YQTn4/VTjqBEPIGAI/AAAAAAAHSxU/hzZwbPx6kD8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-23%2Bat%2B3.45.43%2BPM.png)
Wakandarasi waaswa kuacha tabia ya kujenga majengo chini ya viwango
![](http://2.bp.blogspot.com/-CrxqT9YQTn4/VTjqBEPIGAI/AAAAAAAHSxU/hzZwbPx6kD8/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-23%2Bat%2B3.45.43%2BPM.png)
WAKANDARASI wameaswa kuacha tabia ya kujenga majengo ya serikali pamoja na wananchi chini ya viwango kwalengo la kupata faida kubwa na kuleta hasara kubwa katika nchi.
Aidha serikali inafanya kila linalowezekana ili kulipa madeni ya wakandarasi wazalendo ikiwemo kupata mikopo ya riba nafuu kwaajili ya kuwezesha wakandarasi kupata zabuni za ujenzi wa majengo makubwa zaidi yanayojengwa na wageni kutoka nchi za nje.
Kauli hiyo ilitolewa jana Jijini hapa na Katibu...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Xa-yJtOOCwQ/Vg53srDXxWI/AAAAAAAH8WI/CjUgItHUsbY/s72-c/4.jpg)
WASIMAMIZI WAASWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xa-yJtOOCwQ/Vg53srDXxWI/AAAAAAAH8WI/CjUgItHUsbY/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_f1sCC9bEaU/Vg53r0iKktI/AAAAAAAH8WA/_E3mLl6dXo8/s640/2.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZXR5sma9c1M/VhDKV4nr7gI/AAAAAAAAH8M/Hf54Tz9JhQY/s72-c/Dr%2BManoj%2BAgarwal.jpg)
WATANZANIA WAASWA KUZINGATIA AFYA BORA YA MOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZXR5sma9c1M/VhDKV4nr7gI/AAAAAAAAH8M/Hf54Tz9JhQY/s320/Dr%2BManoj%2BAgarwal.jpg)
Na Mwandishi Wetu,Dar Es Salaam, Oktoba 2015:IkiwazimepitasikutatutokakuhadhimishwasikuyaMoyodunianimwakahuu, Watanzaniawameshauriwakufanyamaamuzibinafsikatikakujaliafyayamoyo. KaulimbiuyaSikuyaMoyodunianimwaka2015 inahusukuchaguaafyabora yamoyokwakilamtunakilamahali. Piainalengakuonyeshamatokeoambayomazingirayetuyanawezakuletajuuyauwezowetuwakufanyamaamuzi...
10 years ago
StarTV07 Jan
Wakaguzi hesabu za Serikali waaswa kuzingatia sheria.
Na Jackson Monela,
Morogoro.
Wakaguzi na Wadhibiti wa Hesabu za Serikali nchini wametakiwa kuzingatia sheria na kanuni za ukaguzi wa mahesabu katika utendaji kazi ikiwa ni pamoja na kufuata maadili ya kazi zao.
Rai hiyo imetolewa na Kaimu Katiba Tawala Mkoa wa Morogoro Lucas Mwaisaka katika ufunguzi wa mafunzo kwa wakaguzi wakuu wa kanda na mikoa.
Amesema wakaguzi wengi wamekuwa wakifanya ukaguzi kwa makini lakini tatizo limekuwepo katika uandikaji wa ripoti zinazohusiana na kaguzi...