KUNA ULAZIMA WOWOTE WANANDOA KUFICHANA VIPATO VYAO?-2
![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq-vKsfLbCBpW6X4lOHYvbFNCR23Lc8iPNR*h8-FCWlOVOHL8P9lL67LLYnBHP*JLHzXEVSQFT6GIi*qekHpXsZY/b.jpg?width=650)
NI wikiendi nyingine tunakutana katika eneo letu la kupata darasa huru la uhusiano. Bila shaka mpenzi msomaji uko vizuri na unaendelea na maisha kama kawaida, karibu!Wiki iliyopita tuliianza mada yenye kichwa cha habari kilichopo hapo juu. Tuliweza kujadili kama kuna umuhimu wowote wanandoa kufichana vipato vyao. Niliishia pale nilipoonesha tabia za wanawake ambao wanaficha mapato yao ili wayatumie katika vitu vyao binafsi na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aRRMkt7UURWg7kD3YSCJnh6JCHUfYzC34CsUyUrw5NtRqhf-XLqzj-rJhSFPKguQT882xXp*fAuUz1E3bUsC8vC/A.jpg?width=650)
KUNA ULAZIMA WOWOTE WANANDOA KUFICHANA VIPATO VYAO?
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HPL5vosY_ac/VBFW5Z5oQEI/AAAAAAAGixY/XRROZF9d91o/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Watanzania waaswa kutunza vipato vyao wawe na maisha bora
![](http://4.bp.blogspot.com/-HPL5vosY_ac/VBFW5Z5oQEI/AAAAAAAGixY/XRROZF9d91o/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVIApSFc8Dtef94foYuNO89fmmM4tVS34IQuvImNyg*JOxZAaoM1Oau60L14ucnmtaWb8vRUlIiFHI0hXfLshu2t/mke.jpg)
MWANAMKE AKIOLEWA KUNA ULAZIMA AITWE JINA LA UKOO WA MUMEWE?-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDKwYG4GNniWc5vCDiss5n6BH37DfkmxZpkIpmL8tPo2CVvHJg*B8fPr5zkx3BCeyrukdlP3*aPfBV1AyXECz9Hk/mahaba.jpg)
MWANAMKE AKIOLEWA KUNA ULAZIMA AITWE JINA LA UKOO WA MUMEWE?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu1olEQnFCxY12prQNbX0YywIHvVfi0JwNL-Xk7sDQEDIoRXs6nguE5NeKrdoENctxzSbHVQ9UaNNgfPbsbxVyAl/constipation530x450.jpg?width=650)
JE, KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA TUMBO KUJAA GESI NA MIUNGURUMO KWA MWANAUME KATIKA TENDO LA NDOA?
9 years ago
StarTV23 Nov
Taasisi za kusaidia jamii zaaswa kuviinua Vipato Kwa Wananchi
Serikali imezitaka taasisi za kusaidia jamii kujikita katika kuinua vipato vya wananchi wa hali ya chini kwa kuwapa elimu na mitaji itakayowasaidia kuibua miradi mbalimbali ya kiuchumi ambayo wataitumia kuboresha vipato vyao na kuondoa umaskini.
Mifuko hiyo haina budi kuunganisha nguvu za pamoja katika kutafuta ruzuku za kuisadia jamii kwani kwa kufanya hivyo wataweza kusaidia kuboreshwa kwa huduma za kijamii, zikiwemo za elimu, afya na maji, ambazo zimekuwa adimu kupatikana kwa watu wenye...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KcOHm_n-31E/U_MarajqlKI/AAAAAAAGArY/UjO1jGuNT6Q/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Wazazi wana wajibu na ulazima wa kuhakikisha watoto wao wanapata elimu bora - Balozi Seif Ali Iddi
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa nasaha hizo wakati akizunghumza na Uongozi wa Kamati ya Skuli, walimu, Wazazi na Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Kinyasini Wilaya ya Kaskazini “A “ mara baada ya kuikagua na kuangalia maendeleo na changamoto zinazoikabili skuli hiyo.
Balozi Seif alisema elimu...
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Ma-RC, DC wakati wowote
*Elimu, uzoefu na ukada kutumika kwenye mchujo mpya
*Wazee, wagonjwa na walioshindwa uchaguzi mkuu kutupwa
Na Elias Msuya
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema wakati wowote kuanzia sasa uteuzi mpya wa wakuu wa mikoa na wilaya utafanyika.
Amesema watakaoteuliwa baada ya kuapishwa watasainishwa tamko la ahadi ya uadilifu kwa viongozi wa umma.
Akizungumza jana Ikulu ya Magogoni katika hafla ya kuapishwa kwa makatibu na manaibu katibu wakuu, Waziri Mkuu alisema Serikali imeamua kudhibiti...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3tIV4vY4Jr9CXAPEIjO1GfEamQHrF7pt2Plm75ThucB3G7UueOKZTtF4YKViqZWnXvoX1OB5TBBZSQ97KCw09CXJV*fqm5z/IMG20150727WA0049.jpg?width=550)