Taasisi za kusaidia jamii zaaswa kuviinua Vipato Kwa Wananchi
Serikali imezitaka taasisi za kusaidia jamii kujikita katika kuinua vipato vya wananchi wa hali ya chini kwa kuwapa elimu na mitaji itakayowasaidia kuibua miradi mbalimbali ya kiuchumi ambayo wataitumia kuboresha vipato vyao na kuondoa umaskini.
Mifuko hiyo haina budi kuunganisha nguvu za pamoja katika kutafuta ruzuku za kuisadia jamii kwani kwa kufanya hivyo wataweza kusaidia kuboreshwa kwa huduma za kijamii, zikiwemo za elimu, afya na maji, ambazo zimekuwa adimu kupatikana kwa watu wenye...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AIFAGILIA TAASISI YA AGA KHAN KWA KUSAIDIA MAENDELEO YA JAMII
9 years ago
StarTV14 Nov
 Watanzania, taasisi zaaswa kutumia vyama vya ushirika kuimarisha uschumi endelevu
Watanzania na taasisi mbalimbali nchini zimeaswa kujenga uchumi imara na endelevu kupitia vyama vya ushirika.
Sera zilizopo hivi sasa nchini zinadaiwa kushindwa kumkomboa mwananchi kiuchumi kutokana na kutozingatia misingi na kanuni za vyama vya ushirika.
Tanzania ni miongoni mwa nchi za Afrika zilizokuwa na ushirika imara lakini kwa sasa ushirika huo unaonekana kudorora kutokana na takwimu zinazoonyesha idadi ya wanachama wa vyama vya ushirika kutoridhisha.
Ufumbuzi wa tatizo hilo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HmD9DW_SbcI/VWh2UE-9pFI/AAAAAAAHapQ/2iYZ3Fo8014/s72-c/166.jpg)
TAASISI ZA SERIKALI ZAASWA KUBINI MBINU MKAKATI KATIKA UFANISI WA KAZI-BALOZI SEIF ALI IDDI
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Watendaji wa Taasisi za Serikali wana wajibu wa kutumia vipaji walivyojaaliwa kuwa navyo katika kubuni mbinu na mikakati watakayohisi kwamba inaweza kutaleta faida na ufanisi katika maeneo yao ya kazi sambamba na Serikali Kuu kwa jumla.
Alisema faida ya ubunifu watakaoutumia watendaji hao utaongeza kasi ya uwajibikaji endapo wataendelea kushikamana baina yao katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3c7pQYFZ5DWKWcgsEauxCMtYIvIUiylHzgMu-9VXbBZbfIRviDk2xxiNTfiBLrPScDsKgzeDavEStQaRZwt1Swa/uwaznet.jpg?width=650)
GLOBAL YAPONGEZWA KWA KUSAIDIA JAMII
10 years ago
MichuziFISA USTAWI WA JAMII NA MAENDELEO YA JAMII AKITEMBELEA MRADI WA SHIRIKA LA KUSAIDIA WATOTO WA MITAANI JIJINI ARUSHA
.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VItybL-PEJ4/U4GsIeKu4sI/AAAAAAAFk3g/s4xkTrCmIhc/s72-c/unnamed+(22).jpg)
TTCL yatoa wito kwa jamii kusaidia zaidi wenye shida
![](http://4.bp.blogspot.com/-VItybL-PEJ4/U4GsIeKu4sI/AAAAAAAFk3g/s4xkTrCmIhc/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-f9KC2L_AMRo/U4GsI9E9MYI/AAAAAAAFk3k/J88OnO-EH7Q/s1600/unnamed+(23).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xblQYeTELv8/XqcrZwO73OI/AAAAAAALoZs/isrh0B5HreEyiZwA9QWaYJ5nyR9zGBwiwCLcBGAsYHQ/s72-c/4-4-1024x944.jpg)
TAASISI YA AMANI KWA WAISLAMU TANZANIA YAMPONGEZA RAIS MAGUFULI MAPAMBANO DHIDI YA CORON, YATOA RAI KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-xblQYeTELv8/XqcrZwO73OI/AAAAAAALoZs/isrh0B5HreEyiZwA9QWaYJ5nyR9zGBwiwCLcBGAsYHQ/s400/4-4-1024x944.jpg)
TAASISI ya Amani kwa Waislamu Tanzania (TIPF) kupitia Mwenyekiti wake Sadiki Godigodi imeipongeza hotuba ya Rais Dk. John Magufuli ambayo ameitoa siku za karibuni kuhusu hali halisi ya janga la ugonjwa wa Covid-19 nchini.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti huyo ni kwamba hotuba ya Rais Magufuli imejaa matumaini hususn katika matumizi ya dawa za kujifukiza huku akiwataka wataalamu wa kitaifa na kimataifa kuhakikisha wanafanyia kazi dawa hizo za asili zilizoonesha matumaini...
5 years ago
MichuziTAASISI YA BMF YAENDESHA MAFUNZO KWA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII UMMY ASHAURI TUJIFUNZE KUISHI NA CORONA
Na Karama Kenyunko, Globu ya jamiiWAZIRI wa Afya, maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto, Ummy Mwalimu amewaasa Watanzania kujifunza kuishi na Corona kwani itakuwepo kwa miezi kadhaa hivyo maisha ni lazima yaendelee na uzalishaji mali uendelee huku wananchi wakiendelea kuchukua tahadhari kwa kufuata miongozo iliyotolewa na waudumu wa afya.
Ameyasema hayo leo Mei 14, 2020 jijini Dar es Salaam alipotembelea mafunzo ya waudumu wa afya ngazi ya jamii yanayotolewa na Wizara ya afya kwa ufadhili...
11 years ago
Dewji Blog17 Jun
DC Makete atoa rai kwa jamii ya Makete kusaidia watoto yatima na waishio kwenye mazingira hatarishi
Mkuu wa wilaya ya Makete mwenye suti nyeusi (aliyesuka nywele) Mh. Josephine Matiro, mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu Helen Kijo Bisimba (kulia kwa mkuu wa wilaya) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watoto walioshiriki maadhimisho hayo.
Na Mwandishi wetu
Imeelezwa kuwa ni jukumu la kila mmoja kuwasaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi, na si kuiachia serikali ama mashirika yasiyo ya kiserikali peke yao kufanya kazi hiyo
Kauli hiyo imetolewa...