TTCL yatoa wito kwa jamii kusaidia zaidi wenye shida
![](http://4.bp.blogspot.com/-VItybL-PEJ4/U4GsIeKu4sI/AAAAAAAFk3g/s4xkTrCmIhc/s72-c/unnamed+(22).jpg)
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bw. Amini Mbaga (kulia) akijadiliana swala na Mwenyekiti wa kituo cha watoto cha Mama wa Huruma, Mtawa Berna Mdendemi mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. TTCL ilitoa msaada wa mifuko 70 ya sementi kuwezesha kituo hicho kuwa na majengo yake.
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bw. Amini Mbaga (kushoto) akiwasalimia watoto wa kituo cha Mama wa Huruma mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. TTCL ilitoa msaada wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 May
TTCL: Jamii isaidie wenye shida nchini
WATU binafsi na taasisi mbalimbali nchini zimetakiwa kuendelea kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu, ili kuwaendeleza na hatimaye waje kuwa na mchango kwa taifa. Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mtphyytB6MI/VZ5y97c7HWI/AAAAAAAHoCs/IDjRoRetdmE/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
JAMII YASHAURIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUSAIDIA WATU WENYE SHIDA MBALIMBALI
Wito huo umetolewa na Meneja wa Vodacom Tanzania kanda ya Pwani Allen Nyumbo wakati alipokuwa akikabidhi msaada wa vyakula mbalimbali kwa niaba ya Taasisi yao ya Vodacom Foundation kwa wazee kutoka kaya 65 za kijiji cha Mnimbila katika jimbo la Mtama jana.
Nyumbo alisema kuwa matatizo ya wazee, walemavu, na watoto yatima...
10 years ago
GPLJAMII YASHAURIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUSAIDIA WATU WENYE SHIDA MBALIMBALI
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Benki yahimiza wadau kusaidia wenye shida
WADAU mbalimbali wametakiwa kuendelea kusaidia watu wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kupata huduma bora za jamii zikiwemo za elimu, malazi na afya ili kuweza kujenga jamii bora Tanzania. Mkuu...
10 years ago
GPLTIGO YATOA DOLA 150,000 KWA HOSPITALI YA CCBRT KUSAIDIA WATOTO WENYE MIGUU ILIYOPINDA
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Mtaka ataka jamii kusaidia wenye uhitaji
MKUU wa Wilaya (DC) ya Mvomero, Anthony Mtaka, ameitaka jamii kubadilika na kuwasaidia watu wenye kuhitaji misaada mbalimbali badala ya kujinufaisha wenyewe kwa mambo yasiyo na tija. Mtaka alitoa kauli...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkyfCv3zf7WqDOBvRiOdwdGzeg2u2lAB22L8MomAsEH2yYNS8Il69oWoh3eOqrQiax8yvPRdHqOflY2e9yL299pE/KCB1.jpg?width=650)
BENKI YA KCB YAJIKITA ZAIDI KUSAIDIA JAMII
10 years ago
GPLBAJAJ YENYE WITO KWA WALIMWENGU WENYE KUKATA TAMAA
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/GfibLpFIDb8/default.jpg)