Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Benki yahimiza wadau kusaidia wenye shida

WADAU mbalimbali wametakiwa kuendelea kusaidia watu wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kupata huduma bora za jamii zikiwemo za elimu, malazi na afya ili kuweza kujenga jamii bora Tanzania. Mkuu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TTCL yatoa wito kwa jamii kusaidia zaidi wenye shida

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bw. Amini Mbaga (kulia) akijadiliana swala na Mwenyekiti wa kituo cha watoto cha Mama wa Huruma, Mtawa Berna Mdendemi mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. TTCL ilitoa msaada wa mifuko 70 ya sementi kuwezesha kituo hicho kuwa na majengo yake. Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bw. Amini Mbaga (kushoto) akiwasalimia watoto wa kituo cha Mama wa Huruma mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. TTCL ilitoa msaada wa...

 

10 years ago

Michuzi

JAMII YASHAURIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUSAIDIA WATU WENYE SHIDA MBALIMBALI

Jamii yashauriwa kujenga utamaduni wa kusaidia watu wenye shida mbalimbali hasa wazee, watu wenye ulemavu na watoto yatima ili waweze kujisikia wanaishi sawa na watu wengine.
Wito huo umetolewa na Meneja wa Vodacom Tanzania kanda ya Pwani Allen Nyumbo wakati alipokuwa akikabidhi msaada wa vyakula mbalimbali kwa niaba ya Taasisi yao ya Vodacom Foundation kwa wazee kutoka kaya 65 za kijiji cha Mnimbila katika jimbo la Mtama jana.
Nyumbo alisema kuwa matatizo ya wazee, walemavu, na watoto yatima...

 

10 years ago

GPL

JAMII YASHAURIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUSAIDIA WATU WENYE SHIDA MBALIMBALI‏

Meneja wa Vodacom Tanzania kanda ya Pwani Lindi, Allen Nyumbo(watatu toka kushoto) akimkabidhi Mzee Selemani Musa Mkazi wa Lindi kapu lenye vyakula mbalimbali kama msaada kwa ajili ya Mwezi mtukufu wa Ramadhani  msaada huo ulitolewa na Taasisi ya Vodacom Foundation kupitia kampeni yake  Pamoja na Vodacom.   Mkazi wa Lindi Mkoa wa Pwani Aisha Saleh(wane toka kushoto)akipokea kapu lenye… ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Basata yahimiza wadau wa sanaa kufuata kanuni

BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata) limetoa msisitizo kwa waandaaji wa matamasha na mashindano ya Sanaa na urembo kuzingatia kanuni na taratibu zilizopo katika kuendesha matukio yao. Msisitizo huo umetolewa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Benki yahimiza wanafunzi kujenga tabia ya kusoma vitabu

BENKI ya Afrika Tanzania imewataka wanafunzi nchini kujijengea tabia ya kusoma vitabu kama njia kuu itakayowawezesha kukuza upeo wao kiakili na kuweza kuchanganua mambo mbalimbali. Meneja Mwandamizi wa benki hiyo,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TTCL: Jamii isaidie wenye shida nchini

WATU binafsi na taasisi mbalimbali nchini zimetakiwa kuendelea kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu, ili kuwaendeleza na hatimaye waje kuwa na mchango kwa taifa. Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA


Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii

UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu  Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.

Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Papa Francis ataka ulimwengu kuwaombea wenye shida

>Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francis ,jana aliadhimisha sikukuu yake ya kwanza ya Krismasi  tangu kuchaguliwa kwenye wadhifa huo huku akituma ujumbe wa matumaini kwa ulimwengu na kuwaombea wenye shida.

 

11 years ago

Michuzi

TWA NA BENKI YA WANAWAKE TANZANIA (TWB) WAFANYA MAFUNZO KITUO CHA KINAMAMA WENYE WATOTO WENYE UGONJWA WA MTINDIO WA UBONGO NA MGONGO WAZI CHAWAWAKI KIGAMBONI

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) Bi. Margaret Chacha akizungumza na kikundi cha kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa mtindio wa ubongo na mgongo wazi kituo cha kigamboni(Chawawaki), wakati ya mafunzo ya ujasiriamali na kuwaelimisha juu ya fursa zinazotolewa na benki ya TWB, Mafunzo hayo yaliandaliwa na Taasisi ya Tanzania Women Of Achievement(TWA)  Mwenyekiti wa Tanzania Women Of Achievement(TWA) Bi.Sadaka Gandi akizungumza na kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani