Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TTCL: Jamii isaidie wenye shida nchini

WATU binafsi na taasisi mbalimbali nchini zimetakiwa kuendelea kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu, ili kuwaendeleza na hatimaye waje kuwa na mchango kwa taifa. Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TTCL yatoa wito kwa jamii kusaidia zaidi wenye shida

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bw. Amini Mbaga (kulia) akijadiliana swala na Mwenyekiti wa kituo cha watoto cha Mama wa Huruma, Mtawa Berna Mdendemi mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. TTCL ilitoa msaada wa mifuko 70 ya sementi kuwezesha kituo hicho kuwa na majengo yake. Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bw. Amini Mbaga (kushoto) akiwasalimia watoto wa kituo cha Mama wa Huruma mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. TTCL ilitoa msaada wa...

 

10 years ago

Michuzi

JAMII YASHAURIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUSAIDIA WATU WENYE SHIDA MBALIMBALI

Jamii yashauriwa kujenga utamaduni wa kusaidia watu wenye shida mbalimbali hasa wazee, watu wenye ulemavu na watoto yatima ili waweze kujisikia wanaishi sawa na watu wengine.
Wito huo umetolewa na Meneja wa Vodacom Tanzania kanda ya Pwani Allen Nyumbo wakati alipokuwa akikabidhi msaada wa vyakula mbalimbali kwa niaba ya Taasisi yao ya Vodacom Foundation kwa wazee kutoka kaya 65 za kijiji cha Mnimbila katika jimbo la Mtama jana.
Nyumbo alisema kuwa matatizo ya wazee, walemavu, na watoto yatima...

 

10 years ago

GPL

JAMII YASHAURIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUSAIDIA WATU WENYE SHIDA MBALIMBALI‏

Meneja wa Vodacom Tanzania kanda ya Pwani Lindi, Allen Nyumbo(watatu toka kushoto) akimkabidhi Mzee Selemani Musa Mkazi wa Lindi kapu lenye vyakula mbalimbali kama msaada kwa ajili ya Mwezi mtukufu wa Ramadhani  msaada huo ulitolewa na Taasisi ya Vodacom Foundation kupitia kampeni yake  Pamoja na Vodacom.   Mkazi wa Lindi Mkoa wa Pwani Aisha Saleh(wane toka kushoto)akipokea kapu lenye… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Jamii isaidie watoto-SA

Jamii na viongozi kwa kada mbalimbali nchini wametakiwa kujenga tabia ya kusaidia na kujitolea katika kazi za jamii hasa kwa watoto wenye mahitaji maalumu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Jamii itoe ushirikiano kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini

silima

Na. Johary Kachwamba – MAELEZO, DODOMA

JAMII imetakiwa kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi nchini katika kutoa taarifa zitakazo fanikisha kukamatwa kwa wote walioshiriki mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini.

Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani  Mhe. Pereira Silima (pichani) bungeni mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Mhe. Al -Shaimaa Kwegyir, Mbunge wa Viti Maalum aliyehoji kuchelewa kwa taarifa ya kupatikana kwa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tume ya Haki za binadamu, UNESCO wataka jamii kutambua haki za watu wenye Albinism nchini

XXKamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Dkt. Kevin Lothal Mandopi  akielezea namna ya tume hiyo ilivyo mstari wa mbele kuelimisha Umma dhidi ya vitendo na ukatili kwa watu wenye Ualbinism nchini kwa wadau na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam mapema leo Juni 13.2015.

Na Andrew Chale, modewjiblog

Tume ya Haki za binadamu na Utawala bora  nchini,  leo Juni 13,2015, imeungana na watanzania wote kuadhimisha siku ya Kimataifa ya uelimishaji umma kuhusu Ualbino...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Benki yahimiza wadau kusaidia wenye shida

WADAU mbalimbali wametakiwa kuendelea kusaidia watu wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kupata huduma bora za jamii zikiwemo za elimu, malazi na afya ili kuweza kujenga jamii bora Tanzania. Mkuu...

 

11 years ago

Mwananchi

Papa Francis ataka ulimwengu kuwaombea wenye shida

>Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francis ,jana aliadhimisha sikukuu yake ya kwanza ya Krismasi  tangu kuchaguliwa kwenye wadhifa huo huku akituma ujumbe wa matumaini kwa ulimwengu na kuwaombea wenye shida.

 

5 years ago

CCM Blog

BABA WA UZAO AHIMIZA WAUMINI KUZALISHA MALI, ASEMA KANISANI SIYO MAHALA PA WENYE SHIDA NA MATATIZO NA KUSUBIRI MIUJIZA

TEGETA, Dar es Salaam
Kanisa Halisi la Mungu Baba limeonyesha kuwa miongoni mwa Taasisi za Kijamii ambazo zimeendelea kuunga mkono mwito wa Rais Dk. John Magufuli wa kuwataka Watanzania kuacha hofu dhidi ya Corona, badala yake wachape kazi za kujenga uchumi huku wakiendelea kuchukua thadhari tu dhidi ya ugonjwa huo.

Katika kuonyesha kuunga mkono mwito huo wa Rais, Kanisa hilo limekuwa likihamasisha waumini wake kufanyakazi za uzalishaji kila mmoja katika nafsi yake na kisha kuwakutanisha kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani