TTCL: Jamii isaidie wenye shida nchini
WATU binafsi na taasisi mbalimbali nchini zimetakiwa kuendelea kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu, ili kuwaendeleza na hatimaye waje kuwa na mchango kwa taifa. Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VItybL-PEJ4/U4GsIeKu4sI/AAAAAAAFk3g/s4xkTrCmIhc/s72-c/unnamed+(22).jpg)
TTCL yatoa wito kwa jamii kusaidia zaidi wenye shida
![](http://4.bp.blogspot.com/-VItybL-PEJ4/U4GsIeKu4sI/AAAAAAAFk3g/s4xkTrCmIhc/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-f9KC2L_AMRo/U4GsI9E9MYI/AAAAAAAFk3k/J88OnO-EH7Q/s1600/unnamed+(23).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mtphyytB6MI/VZ5y97c7HWI/AAAAAAAHoCs/IDjRoRetdmE/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
JAMII YASHAURIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUSAIDIA WATU WENYE SHIDA MBALIMBALI
Wito huo umetolewa na Meneja wa Vodacom Tanzania kanda ya Pwani Allen Nyumbo wakati alipokuwa akikabidhi msaada wa vyakula mbalimbali kwa niaba ya Taasisi yao ya Vodacom Foundation kwa wazee kutoka kaya 65 za kijiji cha Mnimbila katika jimbo la Mtama jana.
Nyumbo alisema kuwa matatizo ya wazee, walemavu, na watoto yatima...
10 years ago
GPLJAMII YASHAURIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUSAIDIA WATU WENYE SHIDA MBALIMBALI
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Jamii isaidie watoto-SA
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Jamii itoe ushirikiano kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini
Na. Johary Kachwamba – MAELEZO, DODOMA
JAMII imetakiwa kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi nchini katika kutoa taarifa zitakazo fanikisha kukamatwa kwa wote walioshiriki mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini.
Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Pereira Silima (pichani) bungeni mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Mhe. Al -Shaimaa Kwegyir, Mbunge wa Viti Maalum aliyehoji kuchelewa kwa taarifa ya kupatikana kwa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi,...
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Tume ya Haki za binadamu, UNESCO wataka jamii kutambua haki za watu wenye Albinism nchini
Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Dkt. Kevin Lothal Mandopi akielezea namna ya tume hiyo ilivyo mstari wa mbele kuelimisha Umma dhidi ya vitendo na ukatili kwa watu wenye Ualbinism nchini kwa wadau na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam mapema leo Juni 13.2015.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Tume ya Haki za binadamu na Utawala bora nchini, leo Juni 13,2015, imeungana na watanzania wote kuadhimisha siku ya Kimataifa ya uelimishaji umma kuhusu Ualbino...
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Benki yahimiza wadau kusaidia wenye shida
WADAU mbalimbali wametakiwa kuendelea kusaidia watu wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kupata huduma bora za jamii zikiwemo za elimu, malazi na afya ili kuweza kujenga jamii bora Tanzania. Mkuu...
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Papa Francis ataka ulimwengu kuwaombea wenye shida
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-O8nDvKK8t8w/XtYxCT2ymsI/AAAAAAACL6o/wZVb4JL2mXcCxkbF-WKT2INPX9BBqRiaQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200602_124802.jpg)
BABA WA UZAO AHIMIZA WAUMINI KUZALISHA MALI, ASEMA KANISANI SIYO MAHALA PA WENYE SHIDA NA MATATIZO NA KUSUBIRI MIUJIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-O8nDvKK8t8w/XtYxCT2ymsI/AAAAAAACL6o/wZVb4JL2mXcCxkbF-WKT2INPX9BBqRiaQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200602_124802.jpg)
Kanisa Halisi la Mungu Baba limeonyesha kuwa miongoni mwa Taasisi za Kijamii ambazo zimeendelea kuunga mkono mwito wa Rais Dk. John Magufuli wa kuwataka Watanzania kuacha hofu dhidi ya Corona, badala yake wachape kazi za kujenga uchumi huku wakiendelea kuchukua thadhari tu dhidi ya ugonjwa huo.
Katika kuonyesha kuunga mkono mwito huo wa Rais, Kanisa hilo limekuwa likihamasisha waumini wake kufanyakazi za uzalishaji kila mmoja katika nafsi yake na kisha kuwakutanisha kwa...