GLOBAL YAPONGEZWA KWA KUSAIDIA JAMII

Zimepita wiki tatu na siku kadhaa tangu ichapishwe habari inayomuhusu mtoto Aloyce Mhagama, mlemavu wa viungo katika Gazeti la Risasi Jumamosi Toleo namba 1087, Aprili 12 mwaka huu lenye kichwa cha habari kinachosema Mtoto: LICHA YA ULEMAVU WANGU HUU, IPO SIKU TU NITAKUWA RAIS, Kampuni ya Global Publishers inayochapisha magazeti pendwa imepongezwa kwa kusaidia jamii. Mtoto Neema Joseph aliyekuwa anasumbuliwa na jicho. ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi03 Mar
SSRA YAPONGEZWA KWA USIMAMIZI MZURI WA SEKTA YA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII NCHINI
10 years ago
Habarileo06 Oct
Tanzania yapongezwa kusaidia DRC
USHIRIKI wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Misheni ya kulinda Amani ya Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO), umeelezwa kutoa mchango mkubwa katika kurejesha hali ya Amani na utulivu katika baadhi ya maeneo ya Mashariki ya nchi hiyo.
9 years ago
StarTV23 Nov
Taasisi za kusaidia jamii zaaswa kuviinua Vipato Kwa Wananchi
Serikali imezitaka taasisi za kusaidia jamii kujikita katika kuinua vipato vya wananchi wa hali ya chini kwa kuwapa elimu na mitaji itakayowasaidia kuibua miradi mbalimbali ya kiuchumi ambayo wataitumia kuboresha vipato vyao na kuondoa umaskini.
Mifuko hiyo haina budi kuunganisha nguvu za pamoja katika kutafuta ruzuku za kuisadia jamii kwani kwa kufanya hivyo wataweza kusaidia kuboreshwa kwa huduma za kijamii, zikiwemo za elimu, afya na maji, ambazo zimekuwa adimu kupatikana kwa watu wenye...
10 years ago
MichuziFISA USTAWI WA JAMII NA MAENDELEO YA JAMII AKITEMBELEA MRADI WA SHIRIKA LA KUSAIDIA WATOTO WA MITAANI JIJINI ARUSHA
.
11 years ago
Michuzi.jpg)
TTCL yatoa wito kwa jamii kusaidia zaidi wenye shida
.jpg)
.jpg)
11 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AIFAGILIA TAASISI YA AGA KHAN KWA KUSAIDIA MAENDELEO YA JAMII
11 years ago
Dewji Blog17 Jun
DC Makete atoa rai kwa jamii ya Makete kusaidia watoto yatima na waishio kwenye mazingira hatarishi
Mkuu wa wilaya ya Makete mwenye suti nyeusi (aliyesuka nywele) Mh. Josephine Matiro, mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu Helen Kijo Bisimba (kulia kwa mkuu wa wilaya) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watoto walioshiriki maadhimisho hayo.
Na Mwandishi wetu
Imeelezwa kuwa ni jukumu la kila mmoja kuwasaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi, na si kuiachia serikali ama mashirika yasiyo ya kiserikali peke yao kufanya kazi hiyo
Kauli hiyo imetolewa...
11 years ago
Michuzi16 Jun
MKUU WA WILAYA YA MAKETE ATOA RAI KWA JAMII YA MAKETE KUSAIDIA WATOTO YATIMA NA WAISHIO KWENYE MAZINGIRA HATARISHI
11 years ago
GPLMKUU WA WILAYA YA MAKETE ATOA RAI KWA JAMII YA MAKETE KUSAIDIA WATOTO YATIMA NA WAISHIO KWENYE MAZINGIRA HATARISHI