Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAMKE AKIOLEWA KUNA ULAZIMA AITWE JINA LA UKOO WA MUMEWE?

KARIBUNI tena na tena, wasomaji wa safu hii motomoto inayozungumzia maisha kwa ujumla. Lengo sa safu hii ni kuwekana sawa katika mazingira ya maisha ya uhusiano tunayoishi.
Mada yetu ya leo imetokana na kuzidi kushamiri kwa hoja kwamba je, mwanamke akishaoelewa kuna umuhimu wa kuitwa kwa jina la ukoo wa mumewe?Mfano, awali mwanamke aliitwa Julieth Thomas Rupia, akaolewa na Samuel Aloyce Masumbuko. Je, Julieth akishaolewa aitwe...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWANAMKE AKIOLEWA KUNA ULAZIMA AITWE JINA LA UKOO WA MUMEWE?-2

KARIBUNI tena na tena mashabiki wa safu hii ya ukweli inayozungumzia maisha kwa ujumla.
Wiki iliyopita tulianza na mada yenye kichwa cha habari hapo juu ‘Mwanamke akioelewa kuna ulazima wa kutumia jina la ukoo wa mumewe? Mada hii ni pana, nilifafanua mengi likiwemo suala la asili ya wanawake kuitwa kwa majina ya waume zao. Nikatoa mfano wa wanawake maarufu ambao wanatumia majina ya ukoo wa waume zao, wakiwemo wake wa...

 

10 years ago

GPL

KUNA ULAZIMA WOWOTE WANANDOA KUFICHANA VIPATO VYAO?-2

NI wikiendi nyingine tunakutana katika eneo letu la kupata darasa huru la uhusiano. Bila shaka mpenzi msomaji uko vizuri na unaendelea na maisha kama kawaida, karibu!Wiki iliyopita tuliianza mada yenye kichwa cha habari kilichopo hapo juu. Tuliweza kujadili kama kuna umuhimu wowote wanandoa kufichana vipato vyao. Niliishia pale nilipoonesha tabia za wanawake ambao wanaficha mapato yao ili wayatumie katika vitu vyao binafsi na...

 

10 years ago

GPL

KUNA ULAZIMA WOWOTE WANANDOA KUFICHANA VIPATO VYAO?

NIANZE kwa kumshukuru Mungu wa Mbinguni kwa kunikutanisha na wewe msomaji wangu katika safu hii ya Show The Love. Huu ndiyo uwanja pekee ambao tunaweza kupashana masuala mbalimbali yahusuyo mapenzi.
Niwashukuru wale wote mnaotuma maoni yenu kuashiria mnaguswa na mada ambazo tumekuwa tukizijadili katika safu hii kila Jumamosi. Cha msingi ni kujifunza na kuyafanyia kazi yale yote ambayo tumekuwa tukiyajadili ili kudumisha maisha...

 

9 years ago

Mtanzania

Ukubwa wa jina la Sarafina haumsumbui mumewe

??????????????????????????MUME wa mwigizaji wa Afrika Kusini aliyewahi kutamba katika filamu ya ‘Sarafina’, Leleti Khumalo ‘Sarafina’, Skhutmazo Khanyile, amesema ukubwa wa jina la mke wake huyo haumpi changamoto yoyote katika ndoa yao.

“Jina la Sarafina ni kubwa mno ndani ya Afrika Kusini na nje lakini nilipomuoa na kukubali kuwa mke wangu amekuwa mke kweli kwa maisha halisi si ya kuigiza, anapokuwa nyumbani huwa mke na akiwa kwenye sanaa huwa Sarafina hakuna changamoto yoyote kwenye ndoa yetu,’’ alieleza Khanyile...

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE AMTETEA MUMEWE KWA UBAKAJI

Thompson akiwa na mkewe Adriana. Adriana Ford kushoto akiwa na Thompson .…

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke alivyokubali mtoto apewe jina la Arsenal

Shabiki mmoja wa Arsenal alifanikiwa kumshawishi mkewe wampe mtoto wao jina la Arsenal bila mwanamke huyo kugundua hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Hivi kuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke?

Kati ya vitu vinavyowachanganya watu wengi ni swali kwamba: Je, mwanaume na mwanamke wanaweza kubaki kuwa marafiki na wasijiingize katika uhusiano wa kimapenzi?

 

9 years ago

MillardAyo

Nyumbani kwa Chris Brown kuna nini?!.. Nyingine ya mwanamke kuvamia nyumba yake imenifikia!

Miezi kadhaa iliyopita, Chris Brown aliziandika headlines baada ya taarifa kusambaa kuwa kuna mwanamke alivamia nyumba yake na kujikaribisha mpka ndani pamoja na kuchora kuta za nyumba za staa huyo na maandishi yaliyosema ‘I Love You Chris’… hiyo ilikuwa miezi saba iliyopita, kuna nyingine mpya inayofanana na hiyo pia! Siku ya jumanne tarehe 22 December […]

The post Nyumbani kwa Chris Brown kuna nini?!.. Nyingine ya mwanamke kuvamia nyumba yake imenifikia! appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani