Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukubwa wa jina la Sarafina haumsumbui mumewe

??????????????????????????MUME wa mwigizaji wa Afrika Kusini aliyewahi kutamba katika filamu ya ‘Sarafina’, Leleti Khumalo ‘Sarafina’, Skhutmazo Khanyile, amesema ukubwa wa jina la mke wake huyo haumpi changamoto yoyote katika ndoa yao.

“Jina la Sarafina ni kubwa mno ndani ya Afrika Kusini na nje lakini nilipomuoa na kukubali kuwa mke wangu amekuwa mke kweli kwa maisha halisi si ya kuigiza, anapokuwa nyumbani huwa mke na akiwa kwenye sanaa huwa Sarafina hakuna changamoto yoyote kwenye ndoa yetu,’’ alieleza Khanyile...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ukubwa wa Bunge sio ukubwa wa ufanisi

JUMAPILI iliyopita mwandishi Juvenalis Ngowi aliandika kwenye safu yake ya Wazo Jepesi katika gazeti hili, kwamba tupunguze ukubwa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ingawa yeye alilichukulia hilo...

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE AKIOLEWA KUNA ULAZIMA AITWE JINA LA UKOO WA MUMEWE?

KARIBUNI tena na tena, wasomaji wa safu hii motomoto inayozungumzia maisha kwa ujumla. Lengo sa safu hii ni kuwekana sawa katika mazingira ya maisha ya uhusiano tunayoishi.
Mada yetu ya leo imetokana na kuzidi kushamiri kwa hoja kwamba je, mwanamke akishaoelewa kuna umuhimu wa kuitwa kwa jina la ukoo wa mumewe?Mfano, awali mwanamke aliitwa Julieth Thomas Rupia, akaolewa na Samuel Aloyce Masumbuko. Je, Julieth akishaolewa aitwe...

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE AKIOLEWA KUNA ULAZIMA AITWE JINA LA UKOO WA MUMEWE?-2

KARIBUNI tena na tena mashabiki wa safu hii ya ukweli inayozungumzia maisha kwa ujumla.
Wiki iliyopita tulianza na mada yenye kichwa cha habari hapo juu ‘Mwanamke akioelewa kuna ulazima wa kutumia jina la ukoo wa mumewe? Mada hii ni pana, nilifafanua mengi likiwemo suala la asili ya wanawake kuitwa kwa majina ya waume zao. Nikatoa mfano wa wanawake maarufu ambao wanatumia majina ya ukoo wa waume zao, wakiwemo wake wa...

 

10 years ago

GPL

SARAFINA AWAFUNDA MASTAA WANAOTUMIKA KINGONO

Staa mwenye jina kubwa duniani kutoka Sauzi, Leleti Khumalo ‘Sarafina’. Imelda Mtema, Zanzibar

Staa mwenye jina kubwa duniani kutoka Sauzi, Leleti Khumalo ‘Sarafina’ amewafunda mastaa wa kike kwa kuwataka wajitume ili kujiletea maendeleo kwa kuwa muda wa kutumiwa kingono na wanaume umepita. Akizungumza na Ijumaa mjini hapa akiwa mmoja wa wasanii waliohudhuria Tamasha la Ziff, Sarafina aliseme...

 

11 years ago

Vijimambo

NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!

Mwanamke mmoja katika wilaya ya Bunda, mkoani Mara, amemfanyia ukatili mume wake kwa kumwagia maji ya moto yaliyokuwa yametengwa kwa ajili ya kupikia ugali.Kwa mujibu wa jeshi la polisi wilayani hapa, tukio hilo lilitokea juzi, saa 4:30 usiku, katika mtaa wa Nyamakokoto, mjini Bunda, baada ya kuzuka ugomvi ulitokana na mwanamke huyo (jina linahifadhiwa) kuchelewa kurudi nyumbani.Mwanaume huyo amejeruhiwa vibaya mume wake sehemu mbalimbali za mwili wake, hali iliyopelekea kulazwa katika...

 

9 years ago

Raia Mwema

Utata kuhusu ukubwa/udogo wa serikali, madaktari na maprofesa

KWA mwendo wa taratibu, Rais John Magufuli ameendelea kukamilisha barala la mawaziri atakalofanya

Jenerali Ulimwengu

 

11 years ago

Mwananchi

Tobo: Operesheni mpya inasaidia kupunguza ukubwa wa kidonda

>Operesheni mpya inayotumia njia ya kutoboa badala ya kupasua sasa umeanza kuzoeleka katika hospitali kubwa tatu nchini.

 

10 years ago

GPL

POLE DULLY ILA UMESAHAU HUO NDO’ UKUBWA?

NIMPE pole sana mdogo wangu Abdul Sykes kwa msiba mzito alioupata wiki mbili zilizopita, kwa kuondokewa na baba yake mzazi, mzee wetu Ebby Sykes. Ingawa kila mtu ana uchungu na kifo chake kinachomhusu, lakini kwa wengi wetu, kumpoteza baba au mama mzazi ni moja kati ya mapigo yanayotuumiza mno. Mzee Sykes alifariki Februari 15, mwaka huu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa ajili ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani