Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


POLE DULLY ILA UMESAHAU HUO NDO’ UKUBWA?

NIMPE pole sana mdogo wangu Abdul Sykes kwa msiba mzito alioupata wiki mbili zilizopita, kwa kuondokewa na baba yake mzazi, mzee wetu Ebby Sykes. Ingawa kila mtu ana uchungu na kifo chake kinachomhusu, lakini kwa wengi wetu, kumpoteza baba au mama mzazi ni moja kati ya mapigo yanayotuumiza mno. Mzee Sykes alifariki Februari 15, mwaka huu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa ajili ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ukubwa wa Bunge sio ukubwa wa ufanisi

JUMAPILI iliyopita mwandishi Juvenalis Ngowi aliandika kwenye safu yake ya Wazo Jepesi katika gazeti hili, kwamba tupunguze ukubwa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ingawa yeye alilichukulia hilo...

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Steve RnB — Pole Pole (Tropical Riddim)

Baada ya tour ndefu za nje ya nchi akiwa na bendi ya In Africa, mwimbaji wa RnB Tanzania, leo September 18th, 2014, ameachia single yake mpya inayoitwa ‘Pole Pole’ ambayo iko kwenye midundo ya Reggae (Tropical Riddim). Isikilize

 

11 years ago

GPL

NATURE, UMESAHAU KUTESA KWA ZAMU?

Mkongwe wa Bongo Fleva Juma Kasimu Mohamed Kiroboto alimaarufu kama Sir Nature au Kibla. KAMA utaambiwa uwataje wasanii wa muziki wa kizazi kipya ambao wamewahi kuwa na mamia ya mashabiki wa ukweli hapa nchini, utawataja wengi. Lakini utakuwa haujaitendea haki Bongo Fleva kama katika orodha yako, litakosekana jina la Juma Kasimu Mohamed Kiroboto ambaye mashabiki wake humuita Sir Nature au Kibla. Wakati flani, Bongo Fleva...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Mtanzania

Ukubwa wa jina la Sarafina haumsumbui mumewe

??????????????????????????MUME wa mwigizaji wa Afrika Kusini aliyewahi kutamba katika filamu ya ‘Sarafina’, Leleti Khumalo ‘Sarafina’, Skhutmazo Khanyile, amesema ukubwa wa jina la mke wake huyo haumpi changamoto yoyote katika ndoa yao.

“Jina la Sarafina ni kubwa mno ndani ya Afrika Kusini na nje lakini nilipomuoa na kukubali kuwa mke wangu amekuwa mke kweli kwa maisha halisi si ya kuigiza, anapokuwa nyumbani huwa mke na akiwa kwenye sanaa huwa Sarafina hakuna changamoto yoyote kwenye ndoa yetu,’’ alieleza Khanyile...

 

11 years ago

Mwananchi

Tobo: Operesheni mpya inasaidia kupunguza ukubwa wa kidonda

>Operesheni mpya inayotumia njia ya kutoboa badala ya kupasua sasa umeanza kuzoeleka katika hospitali kubwa tatu nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani