Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukubwa wa Bunge sio ukubwa wa ufanisi

JUMAPILI iliyopita mwandishi Juvenalis Ngowi aliandika kwenye safu yake ya Wazo Jepesi katika gazeti hili, kwamba tupunguze ukubwa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ingawa yeye alilichukulia hilo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Ukubwa wa jina la Sarafina haumsumbui mumewe

??????????????????????????MUME wa mwigizaji wa Afrika Kusini aliyewahi kutamba katika filamu ya ‘Sarafina’, Leleti Khumalo ‘Sarafina’, Skhutmazo Khanyile, amesema ukubwa wa jina la mke wake huyo haumpi changamoto yoyote katika ndoa yao.

“Jina la Sarafina ni kubwa mno ndani ya Afrika Kusini na nje lakini nilipomuoa na kukubali kuwa mke wangu amekuwa mke kweli kwa maisha halisi si ya kuigiza, anapokuwa nyumbani huwa mke na akiwa kwenye sanaa huwa Sarafina hakuna changamoto yoyote kwenye ndoa yetu,’’ alieleza Khanyile...

 

11 years ago

Mwananchi

Tobo: Operesheni mpya inasaidia kupunguza ukubwa wa kidonda

>Operesheni mpya inayotumia njia ya kutoboa badala ya kupasua sasa umeanza kuzoeleka katika hospitali kubwa tatu nchini.

 

9 years ago

Raia Mwema

Utata kuhusu ukubwa/udogo wa serikali, madaktari na maprofesa

KWA mwendo wa taratibu, Rais John Magufuli ameendelea kukamilisha barala la mawaziri atakalofanya

Jenerali Ulimwengu

 

10 years ago

GPL

POLE DULLY ILA UMESAHAU HUO NDO’ UKUBWA?

NIMPE pole sana mdogo wangu Abdul Sykes kwa msiba mzito alioupata wiki mbili zilizopita, kwa kuondokewa na baba yake mzazi, mzee wetu Ebby Sykes. Ingawa kila mtu ana uchungu na kifo chake kinachomhusu, lakini kwa wengi wetu, kumpoteza baba au mama mzazi ni moja kati ya mapigo yanayotuumiza mno. Mzee Sykes alifariki Februari 15, mwaka huu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa ajili ya...

 

9 years ago

Bongo5

Msechu: Ukubwa wa Nyota unanipa wakati mgumu kuja na ngoma ya kuizidi

Peter Msechu amesema kwa jinsi wimbo wake Nyota ulivyofanya vizuri, anashindwa kupata wimbo mwingune utakaoweza kufanya vizuri zaidi yake. Msechu ameiambia Bongo5 jana kuwa licha ya kuwa tayari ana nyimbo nyingi amerekodi, anaona hazina nguvu kama Nyota iliyotangulia. “Sasa nipo kwenye maandalizi ya video mpya pia nina kazi nyingi ambazo zipo tayari lakini napata wakati […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Hutaamini ukubwa wa timu iliyomuandaa Beyonce kwenye MTV VMA

Timu iliyomuandaa Beyonce kwenye performance yake katika tuzo za MTV VMA hivi karibuni si ndogo, ni kma kijiji kizima. Jionee video hii kuona mambo ya nyumba ya jukwaa kabla Beyonce hajapanda jukwaani.

 

10 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz azungumzia ukubwa wa Ndagushima, ujio mpya na collabo ya kimataifa

Muimbaji wa ‘Ndagushima’, Ommy Dimpoz ameeleza sababu iliyoufanya wimbo wake ‘Ndagushima’ kutofanya vizuri mapema kama mashabiki wake walivyozoea kwenye nyimbo zake zilizopita huku akitoa faida na hasara ya wimbo kufanya vizuri mapema. Ommy ameiambia Bongo5 kuwa wimbo wa Ndagushima ulianza vibaya mpaka watu wake wa karibu wakamshauri atoe wimbo mpya mapema. “Katika nyimbo zangu nilizowahi […]

 

5 years ago

Michuzi

BRAZIL; NCHI YA TANO KWA UKUBWA DUNIANI IKIWA NA AIRPORT ZAIDI YA 700


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
BRAZIL ni nchi kubwa katika bara la Amerika ya Kusini, huku jina la nchi hiyo ikitokana na mti uliojulikana 'Brazilwood' kireno inaitwa Brasil ambayo ni lugha rasmi nchini humo, Brazil ni nchi pekee inayozungumza Kireno Amerika Kusini huku ikiwa na watu zaidi ya milioni 200 na imepakana na nchi zote za Amerika Kusini isipokuwa Chile na Ecuador.
 Brazil ilikuwa koloni ka wareno kwa miaka 322 kabla ya kupata uhuru wake 1822, na imekua nchi ya mwisho kabisa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani