NATURE, UMESAHAU KUTESA KWA ZAMU?

Mkongwe wa Bongo Fleva Juma Kasimu Mohamed Kiroboto alimaarufu kama Sir Nature au Kibla. KAMA utaambiwa uwataje wasanii wa muziki wa kizazi kipya ambao wamewahi kuwa na mamia ya mashabiki wa ukweli hapa nchini, utawataja wengi. Lakini utakuwa haujaitendea haki Bongo Fleva kama katika orodha yako, litakosekana jina la Juma Kasimu Mohamed Kiroboto ambaye mashabiki wake humuita Sir Nature au Kibla. Wakati flani, Bongo Fleva...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MBARONI KWA KUTESA MAHAUSIGELI
11 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Baba mbaroni kwa kutesa wanaye
MATESO Hassan Mkazi wa Kijiji cha Karago, Kata ya Sunuka Wilaya ya Uvinza mkoani hapa, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuwafungia ndani watoto wake wanne...
10 years ago
CloudsFM21 Nov
WAKATI FELA ANA MPANGO WA KUMALIZA BIFU NA JUMA NATURE, NATURE ACHOMOA MCHONGO
Mkurugenzi wa kituo cha kukuza vipaji vya wasanii “Mkubwa na Wanae”, Saidi Fela ambaye pia ni kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Family, kundi ambalo lilianzishwa mwanzoni mwa miaka ya 2000 baadaye likaja kuvunjika vipande viwili likazaliwa kundi la TMK Halisi chini ya Juma Nature, hiyo ilikuwa mwaka 2006.
Hivi karibuni Said Fela amefunguka kuwa ana mpango wa kumfuata Juma Nature ili wakae chini na kushirikiana kikazi kama zamani. Lakini alipoulizwa Juma Nature kama yuko tayari kufanya kazi na...
10 years ago
Habarileo13 Mar
Jela miaka 60, viboko 12 kwa kubaka wasichana kwa zamu
MAHAKAMA ya Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, juzi imemhukumu mwanamume mmoja Festo Domisian (30), mkazi wa wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, kutumikia kifungo cha miaka 60 jela pamoja na kuchapwa viboko 12, baada ya kupatikana na hatia ya kubaka wasichana wawili kwa zamu akiwa na kisu na kumjeruhi mmoja wao.
10 years ago
GPL
POLE DULLY ILA UMESAHAU HUO NDO’ UKUBWA?
11 years ago
GPL
WATOTO WATATU WABAKWA KWA ZAMU!
11 years ago
Habarileo13 Jul
Binti wa miaka 10 abakwa na wanaume 2 kwa zamu
JESHI la polisi mkoani Ruvuma linawatafuta wakazi wawili wa kijiji cha Silo kata ya Linda wilaya ya Nyasa kwa tuhuma za kumbaka msichana wa miaka 10 , mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya Msingi Luhekitiki wilayani humo.
11 years ago
Habarileo17 Jul
Madereva bodaboda wadaiwa kubaka kwa zamu
WAENDESHA bodaboda wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, kwa tuhuma ya kumbaka msichana kwa zamu na kisha kumwekea mchanga katika sehemu zake za siri.
11 years ago
GPL
Haaa! Kumbe Dida, Kaseja, mambo kwa zamu