Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NATURE, UMESAHAU KUTESA KWA ZAMU?

Mkongwe wa Bongo Fleva Juma Kasimu Mohamed Kiroboto alimaarufu kama Sir Nature au Kibla. KAMA utaambiwa uwataje wasanii wa muziki wa kizazi kipya ambao wamewahi kuwa na mamia ya mashabiki wa ukweli hapa nchini, utawataja wengi. Lakini utakuwa haujaitendea haki Bongo Fleva kama katika orodha yako, litakosekana jina la Juma Kasimu Mohamed Kiroboto ambaye mashabiki wake humuita Sir Nature au Kibla. Wakati flani, Bongo Fleva...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MBARONI KWA KUTESA MAHAUSIGELI

Na Joseph Ngilisho Arusha Mwanamke mmoja, Anna Livingstone Mushi (38), mkazi wa Oldadai wilayani Arumeru, ametiwa mbaroni na polisi kwa madai ya kuwapiga mijeledi ya waya wa umeme, kuwachoma na pasi mgongoni na kuwakata makalio mahausigeli wake wawili. Anna Livingstone Mushi akiwa chini ya ulinzi. Wasichana hao Rehema Musa (20), mkazi wa Singida na mwenzake, Jesca Mathiasi (15), mkazi wa Mkoa wa Kilimanjaro wamelazwa katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baba mbaroni kwa kutesa wanaye

MATESO Hassan Mkazi wa Kijiji cha Karago, Kata ya Sunuka Wilaya ya Uvinza mkoani hapa, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuwafungia ndani watoto wake wanne...

 

10 years ago

CloudsFM

WAKATI FELA ANA MPANGO WA KUMALIZA BIFU NA JUMA NATURE, NATURE ACHOMOA MCHONGO

Mkurugenzi wa kituo cha kukuza vipaji vya wasanii “Mkubwa na Wanae”, Saidi Fela ambaye pia ni kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Family, kundi ambalo lilianzishwa mwanzoni mwa miaka ya 2000 baadaye likaja kuvunjika vipande viwili likazaliwa kundi la TMK Halisi chini ya Juma Nature, hiyo ilikuwa mwaka 2006.Hivi karibuni Said Fela amefunguka kuwa ana mpango wa kumfuata Juma Nature ili wakae chini na kushirikiana kikazi kama zamani. Lakini alipoulizwa Juma Nature kama yuko tayari kufanya kazi na...

 

10 years ago

Habarileo

Jela miaka 60, viboko 12 kwa kubaka wasichana kwa zamu

Pingu.MAHAKAMA ya Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, juzi imemhukumu mwanamume mmoja Festo Domisian (30), mkazi wa wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, kutumikia kifungo cha miaka 60 jela pamoja na kuchapwa viboko 12, baada ya kupatikana na hatia ya kubaka wasichana wawili kwa zamu akiwa na kisu na kumjeruhi mmoja wao.

 

10 years ago

GPL

POLE DULLY ILA UMESAHAU HUO NDO’ UKUBWA?

NIMPE pole sana mdogo wangu Abdul Sykes kwa msiba mzito alioupata wiki mbili zilizopita, kwa kuondokewa na baba yake mzazi, mzee wetu Ebby Sykes. Ingawa kila mtu ana uchungu na kifo chake kinachomhusu, lakini kwa wengi wetu, kumpoteza baba au mama mzazi ni moja kati ya mapigo yanayotuumiza mno. Mzee Sykes alifariki Februari 15, mwaka huu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa ajili ya...

 

11 years ago

GPL

WATOTO WATATU WABAKWA KWA ZAMU!

Stori:Chande Abdallah na Deogratius Mongela
Inaumiza kusikia! Watoto watatu ambao ni majirani wamejikuta wakiingia kwenye kadhia ya kubakwa kwa zamu na watoto wenzao ambapo mmoja anadaiwa kuwa na umri wa miaka 17 huku mwingine akiwa na umri wa miaka 14 ambaye pia ni denti wa darasa la nne. Watoto watatu wadogo waliobakwa kwa zamu na watoto wenzao. Tukio hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni maeneo ya Mbagala-Mianzini...

 

11 years ago

Habarileo

Binti wa miaka 10 abakwa na wanaume 2 kwa zamu

JESHI la polisi mkoani Ruvuma linawatafuta wakazi wawili wa kijiji cha Silo kata ya Linda wilaya ya Nyasa kwa tuhuma za kumbaka msichana wa miaka 10 , mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya Msingi Luhekitiki wilayani humo.

 

11 years ago

Habarileo

Madereva bodaboda wadaiwa kubaka kwa zamu

WAENDESHA bodaboda wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, kwa tuhuma ya kumbaka msichana kwa zamu na kisha kumwekea mchanga katika sehemu zake za siri.

 

11 years ago

GPL

Haaa! Kumbe Dida, Kaseja, mambo kwa zamu

Juma Kaseja.  Na Khadija Mngwai
IMEBAINIKA kuwa, kumbe Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amempangia mechi za kudaka kipa wa timu hiyo, Juma Kaseja, ambapo atapokezana na wenzake kwa kila mmoja kupewa mechi tatu huku yeye akiwa wa mwisho katika orodha hiyo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani