Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Binti wa miaka 10 abakwa na wanaume 2 kwa zamu

JESHI la polisi mkoani Ruvuma linawatafuta wakazi wawili wa kijiji cha Silo kata ya Linda wilaya ya Nyasa kwa tuhuma za kumbaka msichana wa miaka 10 , mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya Msingi Luhekitiki wilayani humo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Mtoto wa miaka 14 abakwa na vijana watano kwa zamu

>Vijana watano wanadaiwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 14 kwa zamu hadi kuzirai. Mtoto huyo alikuwa akitokea Kata ya Nyamatere kusherehekea matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Manispaa ya Musoma.

 

10 years ago

GPL

BINTI MIAKA 8 ABAKWA, AUAWA, ATUPWA!

Stori: Emanuel Madafa,Mbeya
Inauma sana! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi ya Ruanda Nzovwe jijini hapa, Elika Mkumbwa mwenye umri wa miaka 8 anadaiwa kubakwa, kuuawa na kutupwa kwenye jumba bovu (pagale) eneo la Mtaa wa Ilomba Village. Makamanda wa Polisi wakiutoa mwili wa mtoto, Elika Mkumbwa kutoka kwenye  jumba bovu.
Akizungumzia tukio hilo lililojiri hivi karibuni,...

 

10 years ago

StarTV

Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.

Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)

Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo  kutokana na  upelelezi  wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...

 

10 years ago

Habarileo

Jela miaka 60, viboko 12 kwa kubaka wasichana kwa zamu

Pingu.MAHAKAMA ya Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, juzi imemhukumu mwanamume mmoja Festo Domisian (30), mkazi wa wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, kutumikia kifungo cha miaka 60 jela pamoja na kuchapwa viboko 12, baada ya kupatikana na hatia ya kubaka wasichana wawili kwa zamu akiwa na kisu na kumjeruhi mmoja wao.

 

10 years ago

GPL

BINTI MIAKA 14 ASUTWA KWA UTAPELI

Chande Abdallah na Deogratius Mongela
Binti wa miaka (14) aliyefahamika kwa jina la Latifa amejikuta akisutwa kwa utapeli baada ya kunaswa na OFM akijifanya ni mtoto asiye na wazazi wala ndugu wa kumsaidia.Binti huyo aliwasimulia waandishi wetu kuwa baba yake alimtelekeza kwa majirani huko Dodoma maeneo ya Kibaigwa kwa kile alichodai kuwa baba yake alikuwa na madeni yaliyosababisha mali zake kupigwa mnada na yeye kusakwa ndiyo...

 

10 years ago

GPL

BINTI AGOMA KUFUNGA ANASWA NA WANAUME 2

Dustan Shekidele, Moro Ni ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani! Katika hali ya kushangaza, binti aliyejitambulisha kuwa ni mtoto wa Mzee Abass (20), mkazi wa jijini Tanga anadaiwa kugoma kufunga kisha kutoroka kwao na kunaswa geto na wanaume wawili mkoani hapa. Soma zaidi hapa ===>bit.ly/1BPPJMT

 

9 years ago

Bongo5

Tyga matatani, ni kwa kudaiwa kumtongoza binti wa miaka 14 kwenye Instagram (Video)

0104-kylie-tyga-ok-magazine-sub-underage-girl-ok-magazine-4

Tyga yupo kwenye kiti moto. Ni kwa kudaiwa kuwa na uhusiano na msichana wa miaka 14 aliyemtafuta kupitia Instagram.

Hivi ndivyo msichana huyo alivyosema:

“I’m very upset that a story about Tyga, Kylie Jenner and me was published in OK! Magazine and I want people to know the truth. The truth is that Tyga contacted me first. He direct-messaged me on Instagram. I knew who he was, but I was surprised that he was contacting me. I thought that it could possibly be about my music but he did not...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bibi wa miaka 81 abakwa

MKAZI wa kijiji cha Luteba, wilayani hapa, jina linahifadhiwa (81) amedaiwa kubakwa na watu wasiojulikana na kumsababishia maumivu makali. Akisimulia mkasa huo Bibi huyo, alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa miaka 3 abakwa Afghanistan

Mtoto Neelofar yuko katika hali mahututi, baada ya kubakwa na anahitaji matibabu ambayo anaweza kupokea tu hospitalini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani