Tyga matatani, ni kwa kudaiwa kumtongoza binti wa miaka 14 kwenye Instagram (Video)
Tyga yupo kwenye kiti moto. Ni kwa kudaiwa kuwa na uhusiano na msichana wa miaka 14 aliyemtafuta kupitia Instagram.
Hivi ndivyo msichana huyo alivyosema:
“I’m very upset that a story about Tyga, Kylie Jenner and me was published in OK! Magazine and I want people to know the truth. The truth is that Tyga contacted me first. He direct-messaged me on Instagram. I knew who he was, but I was surprised that he was contacting me. I thought that it could possibly be about my music but he did not...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo520 Nov
Video: Future amtumia Blac Chyna kwenye video mpya ‘Rich $ex’, aitoa kwenye birthday ya Tyga
![future na Chyna](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/future-na-Chyna-300x194.png)
Rapper Future ameachia video mpya ya wimbo wake uitwao ‘Rich $ex’, na kwenye video hiyo amemtumia Blac Chyna kama mpenzi wake.
Japo kuwa Future ambaye ni ex na baby dady wa Ciara na Chyna ambaye ni ex na baby mama wa Tyga wamekuwa wakikanusha kuwa sio wapenzi, lakini video hii inalazimisha kuamini kuwa wanatoka.
Kingnie cha kushangaza ni hiki, October 25 ambayo ni siku aliyozaliwa Ciara, ndio siku ambayo Blac Chyna alionesha tattoo ya jina la Future mkononi na kufanya watu waamini kuwa ni...
9 years ago
Bongo502 Nov
Video: Tyga amtumia tena girlfriend wake Kylie Jenner kwenye video mpya ‘Dope’d Up’
![tyga-kylie-doped-up-video](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/tyga-kylie-doped-up-video-94x94.jpg)
10 years ago
Bongo514 Feb
Drake amdiss Tyga kwenye mixtape mpya ‘If You’re Reading This It’s Too Late’ , Tyga amjibu
9 years ago
StarTV03 Nov
Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)
Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo kutokana na upelelezi wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Instagram yamtia matatani Balotelli
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3HmyEN*hGdDGxZ8VImMZdOrdLWMAVYMadMsdJfoxuAkHWN*reTbft0LRXr6LPbwldTx8GTXz2q3PI8Yq6wZXvvlAG/Lulu.jpg?width=650)
BINTI MIAKA 14 ASUTWA KWA UTAPELI
11 years ago
Habarileo13 Jul
Binti wa miaka 10 abakwa na wanaume 2 kwa zamu
JESHI la polisi mkoani Ruvuma linawatafuta wakazi wawili wa kijiji cha Silo kata ya Linda wilaya ya Nyasa kwa tuhuma za kumbaka msichana wa miaka 10 , mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya Msingi Luhekitiki wilayani humo.
10 years ago
Bongo516 Dec
Beyonce na Jay Z washtakiwa na mwimbaji wa Hungary kwa kudaiwa kutumia sauti yake bila idhini kwenye ‘Drunk In Love’
9 years ago
Bongo512 Oct
Tyga kuonekana kwenye reality Tv show ya Kardashians ‘KUWTK’, na atalipwa $25,000 kwa kila episode