Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Instagram yamtia matatani Balotelli

Shirikisho la soka FA linachunguza ujumbe wa Instagram wa mshambuliaji wa Liverpool Mario Balotell unaodaiwa kuwa ni wa kibaguzi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Sketi fupi yamtia Polisi matatani

Koplo wa polisi aliyezua mjadala kutokana na sketi iliyombana makalio amekwenda Kortini kuzuia asiadhibiwe

 

10 years ago

BBCSwahili

'Selfie' yamtia matatani Miss Lebanon

Picha ya 'selfie' ya mrembo wa Lebanon akiwa karibu na mwenzake wa Israel kwenye mitandao ya kijamii mambo imewakera wengi Lebanon

 

11 years ago

Habarileo

Sketi fupi yamtia matatani polisi

OFISA wa Polisi mwanamke nchini Kenya, Linda Okello amepewa onyo kali kwa kuvaa sketi, iliyokuwa imembana, kiasi cha kuonesha umbo lake.

 

9 years ago

Bongo5

Tyga matatani, ni kwa kudaiwa kumtongoza binti wa miaka 14 kwenye Instagram (Video)

0104-kylie-tyga-ok-magazine-sub-underage-girl-ok-magazine-4

Tyga yupo kwenye kiti moto. Ni kwa kudaiwa kuwa na uhusiano na msichana wa miaka 14 aliyemtafuta kupitia Instagram.

Hivi ndivyo msichana huyo alivyosema:

“I’m very upset that a story about Tyga, Kylie Jenner and me was published in OK! Magazine and I want people to know the truth. The truth is that Tyga contacted me first. He direct-messaged me on Instagram. I knew who he was, but I was surprised that he was contacting me. I thought that it could possibly be about my music but he did not...

 

9 years ago

Bongo5

Instagram yaboresha huduma yake ya ‘Instagram Direct’

Habari njema kwa watumiaji wa mtandao wa kushare picha wa Instagram ni kuwa, huduma ya ‘Instagram Direct’ sasa imeboreshwa zaidi. Instagram Direct ni huduma inayowawezesha watumiaji kuweza kutumiana picha, video na ujumbe binafsi kwa mtu mmoja, au kundi la watu atakaowachagua mwenyewe bila mtu mwingine kuona. Hivi sasa kuna ki mshale kimeongezwa pembeni mwa icon […]

 

9 years ago

Bongo Movies

Wolper Ndoa Yamtia ‘Uchizi’

CHIZIKA! Wakati hekeheka za maandalizi zikipamba juu ya ndoa ya karne ya staa wa sinema za Kibongo, Wolper, mwanadada huyo anaonekana kuingiwa na ‘uchizi’ juu ya suala hilo ambapo muda wote anawaza ni kwa namna gani ataweza kuweka historia juu ya shughuli yake. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, hivi karibuni ndani ya Ukumbi wa Jozi

Village, jijini Dar, Wolper alisema: “akili haijakaa sawa kabisa, nawaza juu ya ndoa yangu ambayo muda si mrefu itatimia, silali, sili na sipumui vizuri, kila kitu...

 

9 years ago

BBCSwahili

Maoni ya facebook yamtia mashakani

Mahakama ya Singapore imemuhukumu muuguzi mmoja kutoka nchini Ufilipino kifungo cha miezi minne kwa kuchapisha maoni ya uchochezi kuhusu taifa hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Rushwa barabarani yamtia kichefuchefu JK

Rais Jakaya Kikwete amekiagiza Kikosi cha Usalama Barabarani kufanya mabadiliko ya teknolojia katika utendaji wake ili kuondoa mianya ya rushwa.

 

10 years ago

Michuzi

Mahakama ya Kisutu yamtia hatiani Macha

Na Mwandishi Wetu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imetoa uamuzi katika kesi inayomkabili mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Hans Aingaya Macha (pichani) kuwa ana kesi ya kujibu.
Uamuzi huo, umetolewa na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Devotha Kisoka katika kesi inayomkabili mfanyabiashara huyo ya kugushi hati ya kiwanja cha Ramadhan Balenga chenye namba 183 kilichopo Kigogo, mkataba wa mauziano na hati ya uhamishaji miliki.
Akitoa uamuzi huo jana, Hakimu Devotha alisema baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani