Sketi fupi yamtia Polisi matatani
Koplo wa polisi aliyezua mjadala kutokana na sketi iliyombana makalio amekwenda Kortini kuzuia asiadhibiwe
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo30 Apr
Sketi fupi yamtia matatani polisi
OFISA wa Polisi mwanamke nchini Kenya, Linda Okello amepewa onyo kali kwa kuvaa sketi, iliyokuwa imembana, kiasi cha kuonesha umbo lake.
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Sketi yamtia mashakani polisi Kenya
10 years ago
BBCSwahili14 Jul
Sketi fupi zawaponza wanawake Morocco
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Waliovalia sketi fupi waachiliwa huru Morocco
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Instagram yamtia matatani Balotelli
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
'Selfie' yamtia matatani Miss Lebanon
9 years ago
StarTV03 Nov
Polisi Kigoma yamtia mbaroni James Charles  kwa kujifanya JWTZ
Polisi mkoani wa Kigoma wamefanikiwa kumkamata mtu mmoja mkazi kwa kijiji cha Mwamila wilaya ya Uvinza James Charles kwa tuhuma za kujifanya kuwa ni askari wa jeshi la wananchi wa Tanzaniua JWT, akitumia fursa hiyo kujipatia fedha kinyume cha sheria
James Charles aliyekamatwa kufuatia taarifa zilizotolewa na raia wema kwa jeshi hilo anatuhumiwa kufanya kazi za afisa uhamiaji jambo ambalo pia ni kosa kisheria .
Akizungumza na waandishi wa habari ofini kwake kamanda wa polisi mkoa...
9 years ago
StarTV18 Dec
Polisi wilayani Bunda yamtia mbaroni mwanamke mmoja kwa vitendo vya ukatili
Polisi wilayani Bunda mkoani Mara inamshikilia mwanamke mmoja kwa tuhuma ya kumchoma moto mtoto wa kaka yake sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo sehemu za siri kwa madai ya kuiba mboga chunguni.
Mwanamke anayeshiliwa na Polisi ametambuliwa kwa jina la Jenipher Mtaki mwenye miaka 22 mkazi wa Migungani wilayani Bunda.
Tukio hilo ambalo limetokea desemba 15 mwaka huu, majira ya saa za usiku katika eneo la Migungani mjini Bunda, liligunduliwa na wasamalia wema waliotoa taarifa kwa Rebeca Kibore...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Polisi Stakishari matatani