Sketi yamtia mashakani polisi Kenya
Afisaa mmoja wa polisi mwanamke amepewa onyo kali kwa kuvalia sketi iliyokuwa imembana kiasi cha kuonyesha umbo lake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo30 Apr
Sketi fupi yamtia matatani polisi
OFISA wa Polisi mwanamke nchini Kenya, Linda Okello amepewa onyo kali kwa kuvaa sketi, iliyokuwa imembana, kiasi cha kuonesha umbo lake.
11 years ago
BBCSwahili04 Jun
Sketi fupi yamtia Polisi matatani
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Maoni ya facebook yamtia mashakani
11 years ago
BBCSwahili09 May
Kanda ya ngono yamtia mashakani mwalimu mkuu
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Mali ya uma yamtia mashakani waziri mkuu
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
'Tattoo' yamtia mashakani Muingereza Sri Lanka
9 years ago
StarTV03 Nov
Polisi Kigoma yamtia mbaroni James Charles  kwa kujifanya JWTZ
Polisi mkoani wa Kigoma wamefanikiwa kumkamata mtu mmoja mkazi kwa kijiji cha Mwamila wilaya ya Uvinza James Charles kwa tuhuma za kujifanya kuwa ni askari wa jeshi la wananchi wa Tanzaniua JWT, akitumia fursa hiyo kujipatia fedha kinyume cha sheria
James Charles aliyekamatwa kufuatia taarifa zilizotolewa na raia wema kwa jeshi hilo anatuhumiwa kufanya kazi za afisa uhamiaji jambo ambalo pia ni kosa kisheria .
Akizungumza na waandishi wa habari ofini kwake kamanda wa polisi mkoa...
9 years ago
StarTV18 Dec
Polisi wilayani Bunda yamtia mbaroni mwanamke mmoja kwa vitendo vya ukatili
Polisi wilayani Bunda mkoani Mara inamshikilia mwanamke mmoja kwa tuhuma ya kumchoma moto mtoto wa kaka yake sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo sehemu za siri kwa madai ya kuiba mboga chunguni.
Mwanamke anayeshiliwa na Polisi ametambuliwa kwa jina la Jenipher Mtaki mwenye miaka 22 mkazi wa Migungani wilayani Bunda.
Tukio hilo ambalo limetokea desemba 15 mwaka huu, majira ya saa za usiku katika eneo la Migungani mjini Bunda, liligunduliwa na wasamalia wema waliotoa taarifa kwa Rebeca Kibore...
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Polisi mashakani kwa kumpuuza mwathiriwa