Polisi mashakani kwa kumpuuza mwathiriwa
Polisi watatu nchini Afrika Kusini, wameachishwa kazi kwa muda kwa tuhuma za kukataa kumuokoa mshukiwa wa wizi aliyekuwa anashambuliwa na umma.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
Polisi mashakani kwa kucheza densi India
Mgogoro umeibuka nchini India baada ya polisi mwanamke nchini humo kucheza densi ukumbini na muigizaji maarufu Shah Rukh Khan
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
CCM imeangamia kwa kumpuuza Nyerere na WariobaÂ
NIMEANDIKA mara nyingi kuelekeza watu kuwa tunavyoenda siko, wengine wametukejeli, wengine wametuona kuwa maadui kwa kuwa hatuandiki yanayowapendeza. Maneno ya Jaji Joseph Warioba aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya...
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Sketi yamtia mashakani polisi Kenya
Afisaa mmoja wa polisi mwanamke amepewa onyo kali kwa kuvalia sketi iliyokuwa imembana kiasi cha kuonyesha umbo lake.
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Kocha mashakani kwa kuwabagua wachezaji
Kocha wa klabu moja ya kandanda nchini Ufaransa anakabiliwa na shutuma kali kufuatia matamshi yake ya ubaguzi
10 years ago
BBCSwahili19 May
Misri mashakani kwa unyanyasaji wa kijinsia
Shirika la haki za binaadamu lenye makao yake mjini Paris linasema kuwa vikosi vya usalama nchini Misri vinatumia unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wale wanaokomatwa
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Mwathiriwa wa ubakaji kufidiwa Zimbabwe
Mahakama ya juu zaidi nchini Zimbabwe imeagiza serikali kumlipa fidia mwathiriwa wa ubakaji aliyekataliwa kuavya mimba yake
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Mwathiriwa wa Westgate kuhusu shambulio Paris
Dorcas Mumbua ni mmoja wa walionusurika shambulio la kigaidi katika jumba la kibiashara la Westgate jijini Nairobi Septemba 21, 2013. Alichukuliaje mashambulio mjini Paris?
11 years ago
BBCSwahili02 May
Chunga usiwe mwathiriwa wa mapenzi mitandaoni
Polisi nchini Ufilipino, wamewakamata washukiwa wa uhalifu katika mitandao ambao ni sehemu ya kikundi cha watu wanaowahadaa watu kwa njia ya mapenzi.
10 years ago
Vijimambo28 Jan
KUKAMATWA KWA PROFESA LIPUMBA: DEMOKRASIA IKO MASHAKANI
Ndugu zangu, hivi punde nimeongea na Maharagande Mbarala na Bonifasia Mapunda
wamenijulisha kuwa, Profesa Lipumba na Manaibu Wakurugenzi wawili wa Chama Cha Wananchi CUF (Shaweji Mketo na Abdul Kambaya), pamoja na walinzi wa Profesa Lipumba, wamekamatwa na polisi. Pia, nimeongea na mhe. Joram Bashange, Mkurugenzi wa Fedha wa CUF, tayari yuko Central Police lakini hajaruhusiwa kuwaona viongozi. Mawakili wa CUF wanaelekea polisi pia.
KUMBUKIZI YA MWAKA 2001
Ukamataji huo uliotumia nguvu kubwa...
wamenijulisha kuwa, Profesa Lipumba na Manaibu Wakurugenzi wawili wa Chama Cha Wananchi CUF (Shaweji Mketo na Abdul Kambaya), pamoja na walinzi wa Profesa Lipumba, wamekamatwa na polisi. Pia, nimeongea na mhe. Joram Bashange, Mkurugenzi wa Fedha wa CUF, tayari yuko Central Police lakini hajaruhusiwa kuwaona viongozi. Mawakili wa CUF wanaelekea polisi pia.
KUMBUKIZI YA MWAKA 2001
Ukamataji huo uliotumia nguvu kubwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania