Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM imeangamia kwa kumpuuza Nyerere na Warioba 

NIMEANDIKA mara nyingi kuelekeza watu kuwa tunavyoenda siko, wengine wametukejeli, wengine wametuona kuwa maadui kwa kuwa hatuandiki yanayowapendeza. Maneno ya Jaji Joseph Warioba aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Polisi mashakani kwa kumpuuza mwathiriwa

Polisi watatu nchini Afrika Kusini, wameachishwa kazi kwa muda kwa tuhuma za kukataa kumuokoa mshukiwa wa wizi aliyekuwa anashambuliwa na umma.

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini Nyerere hana mrithi wa urais CCM ?

Mwalimu Nyerere ameacha sifa nyingi za uongozi katika historia ya Tanzania. Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassani Mwinyi alimwita mlima na yeye akajiita kichuguu na wengine tumebaki na Baba wa Taifa kama neno la jumla la heshima yake kitaifa. Hata wanawe humwita Baba wa Taifa na siyo baba yao. Hili nalo ni kumpambanua kwa haiba na wababa wengine wa familia na koo za Kiafrika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wamejifunza kwa Nyerere muundo wa Muungano peke yake?

IJUMAA iliyopita nilipata nafasi ya kusikiliza japo kwa muda mfupi kinachondelea huko Dodoma kwenye Bunge Maalumu la Katiba. Alikuwa akizungumza mwanamama. Hapana, alikuwa akizungumza kwa kusoma. Alionekana haelewi barabara kile...

 

9 years ago

Michuzi

CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma: MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO

Chama cha Mapinduzi hakijaridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye baadhi ya majimbo. Katika majimbo manne kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa utaratibu wa uchaguzi, hasa katika kujumlisha matokeo, uliopelekea wabunge wa upinzani kutangazwa washindi. Majimbo hayo ni Iringa Mjini, Mikumi, Ndanda na Kawe. 
Wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo haya wamevuruga uchaguzi. Kutokana na utata uliokuwa umejitokeza wakati wa zoezi la kujumlisha kura, CCM iliomba kura zihesabiwe upya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM wamtelekeza Nyerere

SERIKALI inadaiwa kutelekeza Makumbusho ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere hali inayopekea kukabiliwa na ukata mkubwa wa fedha za kujiendesha ambapo kwa sasa haina huduma ya maji safi na...

 

9 years ago

TheCitizen

‘Nyerere would have quit CCM’

Former East African Community (EAC) secretary general Juma Mwapachu, who quit the ruling CCM on Tuesday, said yesterday that the Father of the Nation, Mwalimu Julius Nyerere, would have taken the same move if he was alive.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lini CCM imemuenzi Mwalimu Nyerere?

YAPO mambo ukiyasikia ama kuyaona kutoka kwa wanasiasa na watawala wetu fulani ambao taifa linawaamini kuwa wanayo busara ya hali ya juu, unaweza kuangua sio tu kicheko bali kilio cha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

FALSAFA YA NYERERE: CCM wamechonga sanamu

MWALIMU Julius Nyerere ndiye muasisi wa siasa ya Ujamaa na Kujitegemea na ndiye aliyeongoza Chama cha Waafrika wa Tanganyika (TANU) na hatimaye kupatikana uhuru kwa maridhiano. Mwalimu Nyerere alikuwa mtu...

 

11 years ago

Mwananchi

Kinana: Tunataka CCM ya Nyerere na Karume

>Wiki hii Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete alimpongeza Kinana akisema ameanza kukirudisha chama kwenye mstari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani