Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FALSAFA YA NYERERE: CCM wamechonga sanamu

MWALIMU Julius Nyerere ndiye muasisi wa siasa ya Ujamaa na Kujitegemea na ndiye aliyeongoza Chama cha Waafrika wa Tanganyika (TANU) na hatimaye kupatikana uhuru kwa maridhiano. Mwalimu Nyerere alikuwa mtu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Sanamu la Mwalimu Nyerere kujengwa Makao Makuu ya AU,Addis Ababa.

Na Shamimu Nyaki – WHUSM

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inaratibu ujenzi wa Sanamu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika viwanja vya jengo la Amani na Ulinzi la Julius Nyerere lililopo katika Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU) Jijini Addis Ababa, Ethiopia.

Akizungumza wakati wa uwasilishaji wa Hotuba ya Makadirio ya Bajeti kwa mwaka 2020/2021 Bungeni Jijini Dodoma, Waziri wa Habari,...

 

10 years ago

GPL

MIAKA 38 YA CCM NA FALSAFA YA RAIS BORA LAZIMA ATOKE CCM

Rais wa awamu ya nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete. CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mwishoni mwa wiki iliyopita kimeadhimisha miaka 38 tangu kuzaliwa kwake katika kaya hii. Mazuri na mabaya yake sitayajadili leo bali nitaangalia jambo moja nalo ni IMANI.
2015 ni mwaka wa uchaguzi. CCM kama chama tawala kinaingia kwenye kinyan’ganyiro hicho kikiamini falsafa ya ya kiongozi wake wa kwanza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM NA BUNGE LA KATIBA: Falsafa ya Interahamwe

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) hakikutaka, hakitaki na hakitotaka mabadiliko! Ndiyo maana kilipinga kuandikwa kwa katiba mpya! Huu ni ukweli wa kihistoria na usiopingika. CCM imekuwa ikizuia kwa nguvu zote mabadiliko...

 

9 years ago

TheCitizen

‘Nyerere would have quit CCM’

Former East African Community (EAC) secretary general Juma Mwapachu, who quit the ruling CCM on Tuesday, said yesterday that the Father of the Nation, Mwalimu Julius Nyerere, would have taken the same move if he was alive.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM wamtelekeza Nyerere

SERIKALI inadaiwa kutelekeza Makumbusho ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere hali inayopekea kukabiliwa na ukata mkubwa wa fedha za kujiendesha ambapo kwa sasa haina huduma ya maji safi na...

 

11 years ago

Mwananchi

Kinana: Tunataka CCM ya Nyerere na Karume

>Wiki hii Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete alimpongeza Kinana akisema ameanza kukirudisha chama kwenye mstari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lini CCM imemuenzi Mwalimu Nyerere?

YAPO mambo ukiyasikia ama kuyaona kutoka kwa wanasiasa na watawala wetu fulani ambao taifa linawaamini kuwa wanayo busara ya hali ya juu, unaweza kuangua sio tu kicheko bali kilio cha...

 

11 years ago

GPL

STEVE NYERERE AUKWAA UKAMANDA CCM

Baadhi ya mastaa wa Bongo Muvi wakiwasili eneo la tukio, Wanachama wa CCM na watu wengine Wakiingia eneo hilo huku wakiwa wameongozana na Steve Nyerere Steve Nyerere akiwasalimia wananchi…

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM imeangamia kwa kumpuuza Nyerere na Warioba 

NIMEANDIKA mara nyingi kuelekeza watu kuwa tunavyoenda siko, wengine wametukejeli, wengine wametuona kuwa maadui kwa kuwa hatuandiki yanayowapendeza. Maneno ya Jaji Joseph Warioba aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani