Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana: Tunataka CCM ya Nyerere na Karume

>Wiki hii Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete alimpongeza Kinana akisema ameanza kukirudisha chama kwenye mstari.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tunataka uongozi kwa Kinana si uongo

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahaman Kinana, ana sura nyingi, tena tata. Ni mfanyabiashara, tena mwenye kutia shaka, ambaye amewahi kutuhumiwa kusafirisha pembe za ndovu. Ni mwanasiasa anayechanganya...

 

11 years ago

Mwananchi

Leticia: Nyerere, Karume wasiguswe

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Leticia Nyerere juzi aliwaangukia wajumbe wenzake na kuwaomba wapitishe kanuni inayozuia majina ya waasisi wa Muungano wa Tanzania kutumika kwa dhihaka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Huku ni kuwaenzi Nyerere na Karume?

WAASISI wa taifa letu, hayati Mwalimu Julius Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume, wamelifanyia taifa hili mambo mengi yasiyo na mfano. Mwenyezi Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi… Amina....

 

11 years ago

Habarileo

‘Muungano haukuwa uamuzi wa Nyerere,Karume’

BUNGE Maalumu la Katiba limeelezwa kuwa si kweli kwamba muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar uliozaa Tanzania, haukuwa na ridhaa ya wananchi kama inavyodaiwa na baadhi ya watu. Badala yake, Bunge hilo limeelezwa kwamba ukweli ni kwamba viongozi wa kitaifa wa wakati huo, Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Amaan Karume, walipata ridhaa ya wananchi kwa utaratibu uliofaa kwa wakati ule, kabla ya kufikia maridhiano wao wawili.

 

11 years ago

Mwananchi

Rashid: Muungano ulikuwa siri ya Nyerere na Karume

Bunge la Katiba, linaendelea na vikao vyake mjini Dodoma na miongoni mwa hoja kuu katika mijadala yake ni suala la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

 

11 years ago

IPPmedia

Maria Nyerere, Fatma Karume warn against tampering with Union


IPPmedia
Maria Nyerere, Fatma Karume warn against tampering with Union
IPPmedia
Maintain the Union with its original objectives said the widows of founding fathers of the United Republic of Tanzania (URT) in separate interviews in Dar es Salaam mid this week ahead of celebrations to mark 50 years of the union between former Tangayika ...
Tanzania marks 50th anniversary with midlife crisis...New Vision
Union built on strong foundationDaily News
Africa: On the Occasion of the United Republic of...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AKIONGELEA WANAOWASEMA VIBAYA KARUME NA NYERERE

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongelea wanaowasema vibaya waasisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Abeid Aman Karume na Julius Kambarage Nyerere wakati wa mahojiano na vyombo mbalimbali vya habari Ikulu jijini Dar es salaam Aprili 15, 2014. (Video na…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunataka Katiba ya Tanzania si ya CCM

BAADA ya takriban siku 40 za mivutano ya kuandaa kanuni na taratibu mbalimbali, kesho wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wataanza kupitia ibara 17 za rasimu ya Katiba mpya iliyoandaliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani