Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunataka uongozi kwa Kinana si uongo

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahaman Kinana, ana sura nyingi, tena tata. Ni mfanyabiashara, tena mwenye kutia shaka, ambaye amewahi kutuhumiwa kusafirisha pembe za ndovu. Ni mwanasiasa anayechanganya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kinana: Tunataka CCM ya Nyerere na Karume

>Wiki hii Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete alimpongeza Kinana akisema ameanza kukirudisha chama kwenye mstari.

 

10 years ago

Dewji Blog

Watanzania tupuuze habari za Uongo, uzushi, Ukipata ujumbe wa chuki, matusi au uongo, FUTA DELETE KABISA!

1005224_161118974079176_1902408761_n

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Wasomaji wa Mo dewji blog mnaoendelea kuperuzi mtandao huu bila shaka ni wazima wa afya, tunashukuru uwepo wenu na kutembelea kwenu kwenye mtandao huu ndio faraja kwetu sote sie tunaowapasha habari na kwenu mnaopokea habari, tupo pamoja.

Tahariri ya leo Machi 10,  Tunazungumzia namna ya jinsi Tanzania tunavyopiga hatua moja hadi nyingine hasa katika masuala ya TEKOHAMA/ICT.. Hasa kupitia mitandao yaani Intaneti.

Hata hivyo licha ya kuwa huru kwa kila mmoja...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Usililinde penzi lako kwa uongo

ASALAM aleykum msomaji wa safu hii ya Urafiki na Mahusiano. Nakukaribisha katika safu hii inayotufundisha mambo mbalimbali ya kuishi vema na wapenzi wetu. Hivi wewe ni muongo? Upo katika mahusiano...

 

10 years ago

GPL

WASTARA AMUUMBUA SHIJA KWA UONGO!

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Wastara Juma amemuumbua msanii mwenzake Deogratius Shija baada ya kutoa taarifa zinazoonekana ni za uongo. Msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma Awali Wastara ambaye hivi karibuni alinyakua tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike wa mwaka kwenye tuzo za Action and Cuts, alimshukuru Mzee Majuto kwamba ndiye aliyemtoa kisanaa jambo ambalo limemhuzunisha Shija na kusema anashangaa kwa kuwa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Dk. Kitima: Tunataka Rais atakayefanya uamuzi kwa kutumia nyongo

Tunapoelekea Uchaguzi Mkuu, Mwandishi Wetu Deus Bugaywa, amefanya mahojiano na aliyekuwa makamu m

Mwandishi Wetu

 

5 years ago

Michuzi

LAZIMA TUJITAFAKARI TUNATAKA KUISHI NA CORONA KWA STAILI GANI? ...TUNAJISAHAU


Na Zainab Nyamka-Michuzi TV

IKIWA zimepita siku kadhaa toka itangazwe kwamba maambukizi ya virusi vya Corona nchini kupungua, tumeanza kushuhudia Watanzania waanza kuishi maisha yale yale...

Sijui ni nani ameturoga sisi watanzania, ina maana tumeshasahau? Au tunaendelea kuamini kuwa hautatupata tena?

Kauli  ya Rais Dkt.John Magufuli iheshimiwe na kutekelezwa ila tusisahau wajibu wetu kama wananchi watiifu kwake.Ni sawa maambukizi ya Corona yameoungua lakini tuendelee kujikinga kwani ugonjwa upo...

 

9 years ago

StarTV

Askari watatu wathibitika kufukuzwa Kigoma kwa Uenezaji Taarifa Za Uongo

Jeshi la Polisi limethibitisha kufukuzwa kazi kwa askari wake watatu mkoani Kigoma baada ya kubainika kuzusha na kueneza taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii kitendo ambacho ni kinyume na maadili ya jeshi la polisi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma ACP Fredinand Mtui amewataja askari waliotenda kosa Agosti mwaka huu kuwa ni Copro Johnson, Private Costable Justine  na Wp Mercy.

Katika  kikao  chake na waandishi  wa habari  ofini kwake kamanda mtui amesema hatua za  askari  hao...

 

5 years ago

Michuzi

WANAOTUHUMIWA KWA MAKOSA 667 WAWATUHUMU MAWAKILI WA SERIKILI KUSEMA UONGO MAHAKAMANI

  Watuhumiwa wakitoka katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo.
MSHTAKIWA Yared Jonas anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu  yenye mashtaka 667 likiwemo la wizi wa Umeme pamoja na wenzake wanne amedai kuwa hawakuwahi kutegemea kusikia mawakili wa serikali wanasema uongo mahakamani.
Mbali na Jonas, washtakiwa wengine ni Emilian Mlowe, Bashiru Ngella, Shakira Ngella na Mkama Maira.
Jonas amedai anashangaa kuona wanawabadirishia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani