Tunataka uongozi kwa Kinana si uongo
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahaman Kinana, ana sura nyingi, tena tata. Ni mfanyabiashara, tena mwenye kutia shaka, ambaye amewahi kutuhumiwa kusafirisha pembe za ndovu. Ni mwanasiasa anayechanganya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Kinana: Tunataka CCM ya Nyerere na Karume
10 years ago
Dewji Blog10 Mar
Watanzania tupuuze habari za Uongo, uzushi, Ukipata ujumbe wa chuki, matusi au uongo, FUTA DELETE KABISA!
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Wasomaji wa Mo dewji blog mnaoendelea kuperuzi mtandao huu bila shaka ni wazima wa afya, tunashukuru uwepo wenu na kutembelea kwenu kwenye mtandao huu ndio faraja kwetu sote sie tunaowapasha habari na kwenu mnaopokea habari, tupo pamoja.
Tahariri ya leo Machi 10, Tunazungumzia namna ya jinsi Tanzania tunavyopiga hatua moja hadi nyingine hasa katika masuala ya TEKOHAMA/ICT.. Hasa kupitia mitandao yaani Intaneti.
Hata hivyo licha ya kuwa huru kwa kila mmoja...
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Usililinde penzi lako kwa uongo
ASALAM aleykum msomaji wa safu hii ya Urafiki na Mahusiano. Nakukaribisha katika safu hii inayotufundisha mambo mbalimbali ya kuishi vema na wapenzi wetu. Hivi wewe ni muongo? Upo katika mahusiano...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOoahnSaMCwz8koZ4YOJAkRgHNDrQh91-kkwVH*-3wdKu09x0oa9PK6U3rNfIoY1*6dHbowu*3VPtEaTRJxFNOne/wasarapdf.jpg)
WASTARA AMUUMBUA SHIJA KWA UONGO!
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Dk. Kitima: Tunataka Rais atakayefanya uamuzi kwa kutumia nyongo
Tunapoelekea Uchaguzi Mkuu, Mwandishi Wetu Deus Bugaywa, amefanya mahojiano na aliyekuwa makamu m
Mwandishi Wetu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M0uTlRh0GcI/Xs9uWwrQ8oI/AAAAAAALr0E/eSEch24cnFQDQcxr5Jtb5xvTxRNoI2EvgCLcBGAsYHQ/s72-c/EDdEGvdWwAEj_j9-660x400.jpg)
LAZIMA TUJITAFAKARI TUNATAKA KUISHI NA CORONA KWA STAILI GANI? ...TUNAJISAHAU
Na Zainab Nyamka-Michuzi TV
IKIWA zimepita siku kadhaa toka itangazwe kwamba maambukizi ya virusi vya Corona nchini kupungua, tumeanza kushuhudia Watanzania waanza kuishi maisha yale yale...
Sijui ni nani ameturoga sisi watanzania, ina maana tumeshasahau? Au tunaendelea kuamini kuwa hautatupata tena?
Kauli ya Rais Dkt.John Magufuli iheshimiwe na kutekelezwa ila tusisahau wajibu wetu kama wananchi watiifu kwake.Ni sawa maambukizi ya Corona yameoungua lakini tuendelee kujikinga kwani ugonjwa upo...
9 years ago
StarTV27 Nov
Askari watatu wathibitika kufukuzwa Kigoma kwa Uenezaji Taarifa Za Uongo
Jeshi la Polisi limethibitisha kufukuzwa kazi kwa askari wake watatu mkoani Kigoma baada ya kubainika kuzusha na kueneza taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii kitendo ambacho ni kinyume na maadili ya jeshi la polisi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma ACP Fredinand Mtui amewataja askari waliotenda kosa Agosti mwaka huu kuwa ni Copro Johnson, Private Costable Justine na Wp Mercy.
Katika kikao chake na waandishi wa habari ofini kwake kamanda mtui amesema hatua za askari hao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LcbHbLBU0FY/XsKGVSukiOI/AAAAAAALqq0/RQPmXVHwtN4RhXZXxc-BTwiB78SPa5ubQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.37.51%2BPM.jpeg)
WANAOTUHUMIWA KWA MAKOSA 667 WAWATUHUMU MAWAKILI WA SERIKILI KUSEMA UONGO MAHAKAMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-LcbHbLBU0FY/XsKGVSukiOI/AAAAAAALqq0/RQPmXVHwtN4RhXZXxc-BTwiB78SPa5ubQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.37.51%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vE4wyvqDQ8g/XsKGU9l0dyI/AAAAAAALqqw/tzAkByH2KZcHkH1aOh0bgkNUEdjAhSvHACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.37.53%2BPM.jpeg)
MSHTAKIWA Yared Jonas anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu yenye mashtaka 667 likiwemo la wizi wa Umeme pamoja na wenzake wanne amedai kuwa hawakuwahi kutegemea kusikia mawakili wa serikali wanasema uongo mahakamani.
Mbali na Jonas, washtakiwa wengine ni Emilian Mlowe, Bashiru Ngella, Shakira Ngella na Mkama Maira.
Jonas amedai anashangaa kuona wanawabadirishia...