Askari watatu wathibitika kufukuzwa Kigoma kwa Uenezaji Taarifa Za Uongo
Jeshi la Polisi limethibitisha kufukuzwa kazi kwa askari wake watatu mkoani Kigoma baada ya kubainika kuzusha na kueneza taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii kitendo ambacho ni kinyume na maadili ya jeshi la polisi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma ACP Fredinand Mtui amewataja askari waliotenda kosa Agosti mwaka huu kuwa ni Copro Johnson, Private Costable Justine na Wp Mercy.
Katika kikao chake na waandishi wa habari ofini kwake kamanda mtui amesema hatua za askari hao...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Faini itapunguza uenezaji wa habari za uongo kuhusu Covid19?
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-H9Rx0ezWo_U/Xs37g3RMOzI/AAAAAAAAntI/xMqyvgk_lLgIIfv6Q_gSyo8U2hPDKY9LwCLcBGAsYHQ/s72-c/thumbnail%2B%25285%2529.jpg)
STOP KUTUMIA NAMBA YA TAHADHARI YA MAJANGA YA MOTO KWA KUTOA TAARIFA ZA UONGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-H9Rx0ezWo_U/Xs37g3RMOzI/AAAAAAAAntI/xMqyvgk_lLgIIfv6Q_gSyo8U2hPDKY9LwCLcBGAsYHQ/s400/thumbnail%2B%25285%2529.jpg)
KAGERA
Wananchi Mkoani Kagera wametakiwa kuacha mara moja tabia ya kutoa taarifa zisizo za kweli kwa kutumia namba ya tahadhali inayotumika kutoa taarifa kwa jeshi la zimamoto na uokoaji.
kauli hiyo imetolewa na mkaguzi wa jeshi la zimamoto na uokoaji mkoani Kagera Thomas Majuto wakati akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ambapo amesema kuwa baadhi ya wananchi wamekuwa wakitumia vibaya namba ya tahadhali inatumika kutoa taarifa za majanga yakiwemo ya ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0NnbyC9fgxg/Xn3m8An5VzI/AAAAAAALlSg/23AuC6e-pvUhOseL5DzpwNFXwdr81r-8ACLcBGAsYHQ/s72-c/39a1c201-bb67-4b73-aa44-3876b031b88d.jpg)
JESHI LA POLISI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM YAWASHIKILIA MUME,MKE KWA TUHUMA ZA KUENEZA TAARIFA ZA UONGO KUHUSU CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linawashikilia watu wawili ambao ni mume na mke kwa tuhuma na kueneza taarifa za uongo kwa wananchi kuhusu ugonjwa COVID-19(Corona) na kwamba watafikishwa mahakamani wakati wowote.
Akizungumza leo Machi 27 mwaka 2020 ,Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amesema watu hao wamekamatwa Machi 20 mwaka huu saa saba mchana wakiwa kwenye daladala aina ya Toyota DCM...
9 years ago
StarTV15 Aug
JWTZ lakanusha taarifa za Chadema kwa askari kunyanganywa kadi zao.
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ limekanusha taarifa zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwamba limewanyang’anya kadi za kupigia kura Maafisa na Askari wake
Taarifa hizo za kunyang’anywa kadi zimetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA , John Mnyika.
Akikanusha taarifa hiyo kwa waandishi wa habari katika Makao Makuu ya Jeshi hilo Mkurugenzi wa habari na uhusiano wa Jeshi la Wananchi JWTZ Kanali Ngemela...
9 years ago
Habarileo07 Nov
Taarifa za uongo Whatsapp zawapandisha kizimbani
WATU wanne wakiwemo ndugu watatu, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya kusambaza taarifa za uongo kwenye mtandao wa Whatsapp, kuwa nchi inaingia kwenye machafuko wakati wa uchaguzi.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Rk2KSuo_Hiw/VfQL1eM35EI/AAAAAAAH4Nc/t2b04FC6ch4/s72-c/IMG_20150912_115432.jpg)
Taarifa za uongo kuhusu Rambirambi za Msiba wa Mama yake Aslay
Mtu huyo anatumia namba 0716281999 na amesajili kwa jina la Aslay Isihaka tunawaomba wadau na mashabiki wa Yamoto Band na Aslay wapuuze tariifa siyo za ukweli na hakuna utaratibu wa kutuma rambirambi katika simu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Rk2KSuo_Hiw/VfQL1eM35EI/AAAAAAAH4Nc/t2b04FC6ch4/s640/IMG_20150912_115432.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9L7nU0qkQW0/XlX-pvBFHNI/AAAAAAALfd4/Qd0dCe8uPG4Opd6o7YLwLeAAoSEoQS9mwCLcBGAsYHQ/s72-c/38fd253c-bc76-4487-88e4-328b0978cd93.jpg)
WANANCHI KIGOMA WAMEKUWA NA MWAMKO MKUBWA KUTOA TAARIFA ZA UKATILI WA KIJINSIA KWA WAKATI MADAWATI YA JINSIA YA POLISI
WANANCHI wa Mkoa wa Kigoma wamekuwa na mwamko wa kutoa taarifa kwa wakati kwenye madawati ya jinsia ya polisi juu ya matukio mbalimbali ya ukatili wa kijinsia na watoto yanayowatokea.
Akisoma taarifa kwa kwa balozi wa umoja wa ulaya Manfredo Fanti,Mkuu wa dawati la jinsia ofisi za Kigoma mjini Inspeta Doris alisema kuwa kutokana na elimu ambayo wameitoa kuhusu ukatili wa jinsia na watoto pamoja na umuhimu wa kutoa taarifa kwa wakati mara wanaposhuhudia tukio...
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Nape; Wanaotaka urais CCM, wapambe wao wanaoneza taarifa za uongo kuadhibiwa
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari, Katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar, kuhusu moja ya maamuzi ya Kamati Kuu ya CCM, ya kuwataka wanaotaka kuwania urais kupitia CCM na wapambe wao kuacha kueneza taarifa za uongo kwenye vyombo vya habari na kwamba atakayebainika kufanya hivyo atachukulia hatua kali za kinidhamu.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akisisitiza jambo katika mkutano huo na waandishi uliofanyika katika Ofisi...
10 years ago
VijimamboCCM HAITARUHUSU WANUNUA URAIS 2015 WAPAMBE WAO WANAOENEZA TAARIFA ZA UONGO KUADHIBIWA